Nilikuwa napita pita mkuu nikakutana na 'hili kaburi' nikaamua kulifukua. I'm curious, Ndoa bado upo ndani yake? How are things? Samahani lakiniPray for me MMU Members in the next week's Event
Halafu amekuombea dua mbaya why kwani siumecomment unachotaka why akuombee ufe.I would really appreciate it if you would stay outta my hair..THANK YOU!
Usisahau kubeba kahela ka emergencyNawshukuru wooote kwa michango yenu,mlioniombea Mabaya mmeshindwa,mlionitania mmenipa faraja kubwa sana,mlionionea wivu Kunyweni sumu.
Nhskabidhiwa Rasmi,sasa nntatangaza ndoa fastaaa,na nitaomba support yenu pia wana MMU.
Cheers
Hii ni post ya miaka 9 iliyopita mkuuUsisahau kubeba kahela ka emergency
Mwenyewe nataka sana kujua maisha ya ndoa yako vipi leoVipi mke unamuonaje katika kipind hik cha miaka 9 ya ndoa?
Sent using Gun Trigger
Duuuuh sukuangalia muda 😂😂😂Hii ni post ya miaka 9 iliyopita mkuu