Next week: Ukweni for the first time

Bramo unachotakiwa kaka ni ku Relax... na uwachukulie kama ndugu zako... after all ndio mwaungana... Hakikisha umevalia vizuri but usizidishe saana, alafu kama ni mpenzi wa Perfume... Please just a drop - usimiminie nyiiiingi, na kama ni mtu wa swagger fulani hivi... nakusihi usilete pose saana.... Hata hivo kuenda kwa Wakwe siku zoote lazima onesha nidham... kama uko saaana nervous technique moja wapo ni kutanisha mikono yako mbele (yaani ka kwa adabu fulani...) sio kifuani - usawa wa chini ya kitovu.... wakati wa kutoka kutanisha mikono yako nyuma.... Kwa wale wanaoelewa it speaks volumes about the mchumba... Make a KILLING first impression... it will last siku zooote ktk akili yao... BEST OF LUCK...
Halafu ukute wakwe hawana complications aisee hata ukiwa nervous unaweza ku-relax kidogo.
 
Karibu kijana usiogope jiandae vya kutosha..maana utagharamikia mengi....Aaaahhh usiogope nimekutisha tu,nitakutetea maana u mpole na hauna makuu!!
 
Unanikumbusha tangazo la jamaa anayejiamini na GX100 yake kumbe wakwe makomplikesheni kibao! But i hope Bramo will be happy at the end.


Wale Wakwe wezi tu! lol... BTW i Love that car, naona vijana weengi Dar ndio mtindo....
 
All the best, kama ni mikoa na kaskazini kuna baridi sana, angalia usije patwa na ngiri ukakosa mchumba bure, soma nyakati ndugu.
 
Mi najua dawa ya jambo lolote ni kujiamini!Unapojiamini hata unaekutana nae atajua huyu ni mtu kamili,vaa vile unavyoona ni sawa!I mean kawaida,usijali watakavyokuona kwan is none of your bussines kwani huwezi mtu kufikiri,cha kuzingatia uvae kama nguo husika zinavyotakiwa!
 
Awwww Bramo you will just be fine.....how i wish one day na mie nimpeleke mtu kwetu nimtambulishe......you only need to relax and try as much as possible to be yourself that day. Goodluck buddy
JS what are you waiting for???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom