VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kuna vurugu kubwa katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam hasa Mdigree(karibu na jengo la Utawala) hapa UD ambapo wanafunzi wanashinikiza kuachiwa mara moja kwa wenzao walio mahabusu.Wameapa kutositisha mgomo hadi kieleweke.CHADEMA walivyo na damu ya kunguni,watatwishwa na zigo hili...