News updates: UDSM kwawaka moto muda huu

ndo tunataka mambo haya yatokee pia kuna bomu jingine kama halitalipuka december sijui kuna idadi kubwa ya vijana hawana ajira sasa mtapiga mabomu fungueni magala yote
 
Nyie bana!!
kuimba hakusaidii...mkigoma na kesho tena chuo kitafungwa, then hao jamaa zenu watatokaje sasa huko maabusu??

Hebu ingieni ofisini kwa huyo mkuu wenu wa chuo mumchomoe akawawekee wanafunzi dhamana bana!!

akikataa mtieni mboko.

Solidrity ya kuimba haisaidii..........take action, na msiwe waoga kama tetere. Wakija FFU kimbilieni in one direction, then wafanyieni mbaya hao mafala!!
 
mi siwalaumu wanafunzi kugoma coz wamechoka na nchi mbovu ni aibu mwanafunzi wa chuo kikuu kupiga simu na kusema kwamba yupo club coz umeme haupo juoni kwa hiyo hawezi kujisomea hii inamaanisha tunaandaa madansa na siyo wataalamu. tafakari kuhusu hili huyu raisi tuliye nae anazingatia nini katika maendeleo ya taifa hili? na anaitakia nini Tanzania yetu?
 
Acheni sheria ichukue mkondo wake. Acheni kuchanganya sheria na siasa.

Polisi wana kosa gani kuwakamata wahalifu. Wanaoandamana hovyo bila sababu ya msingi. Polisi wana wajibu wa kulinda usalama wa raia. Lazma iwashughulikie wote wanaojaribu kuhatarisha usalama wa watu wengine na nchi kwa ujumla.

Polisi hawajawavamia ktk vyumba vyao na kuwakamata. Walikuwa wanafanya uhalifu.

Nyie tulieni msome, acheni kutumiwa na wanasiasa uchwara.

kinyesi hiki!
 
Acheni sheria ichukue mkondo wake. Acheni kuchanganya sheria na siasa.

Polisi wana kosa gani kuwakamata wahalifu. Wanaoandamana hovyo bila sababu ya msingi. Polisi wana wajibu wa kulinda usalama wa raia. Lazma iwashughulikie wote wanaojaribu kuhatarisha usalama wa watu wengine na nchi kwa ujumla.

Polisi hawajawavamia ktk vyumba vyao na kuwakamata. Walikuwa wanafanya uhalifu.

Nyie tulieni msome, acheni kutumiwa na wanasiasa uchwara.

sasa mzee kuna wahalifu zaidi ya watuhumiwa wa ufisadi nashukuru kwamba unawajua isihi nafsi yako ilifahamu hilo tumia jitihada zaidi kuelewa mtu aliyetumia unga wa ndele c rahisi kuelewa!nenda taratbu mi naamin unaenda kuelewa hvi karbuni!
 
hapo wapambane hadi wenzao watakapotolewa mahabusu, lakini kugoma ili kesho wafukuzwe haina maana kwa sababu hakutakuwa na wa kuwatetea tena walio mahabusu
 
Nyie bana!!
kuimba hakusaidii...mkigoma na kesho tena chuo kitafungwa, then hao jamaa zenu watatokaje sasa huko maabusu??

Hebu ingieni ofisini kwa huyo mkuu wenu wa chuo mumchomoe akawawekee wanafunzi dhamana bana!!

akikataa mtieni mboko.

Solidrity ya kuimba haisaidii..........take action, na msiwe waoga kama tetere. Wakija FFU kimbilieni in one direction, then wafanyieni mbaya hao mafala!!

Mbata kama mzee mwinyi!!!
 
Nyie madogo hebu tupeni some action bana!!
Acheni kuimba kama wanakwaya!!
 
Mpaka kieleweke. Tatizo la nchii hii ukidai haki unaonekana ni mhalifu.
 
Andaeni mabomu ya machozi na nyie muwarushie kwanza nilipita juzi nikakuta kokoto nyingi sana hapo mdigrii okoteni hizo ni silaha tosha, wapuuzi kweli hawa kama hao wenzao huko bungeni

kaamanda sijui nikupe jina gani alshabib aitoshi
wanatakiwa waende kwa yule mshenzi wao prncp wamchape makofi kwanza..angekuwa enzi zile prf naniino rahisi alikuwa na bibi Bar med pale nyuma ya church ya kakobe ukitaka kumchapa makofi unamuwahi tu baba wa watu alikuwa akilewa anaingizwa guest ile bar nasiki imefungwa kwa maombi na kakobe sijapta sikunyingi..hao ma prof ni wazinzi na walevi na mnajua vikao vyao pale chini klabu yao nenden mkachape makofi wakiwa na wake zao nimesema narudia alshabab sio lazima watoke mbeya na arusha hata wewe wa mliman sinza ni shababbbbbbbbbbbbbbbbbbbbu toshaaaaa
 
Acheni sheria ichukue mkondo wake. Acheni kuchanganya sheria na siasa.

Polisi wana kosa gani kuwakamata wahalifu. Wanaoandamana hovyo bila sababu ya msingi. Polisi wana wajibu wa kulinda usalama wa raia. Lazma iwashughulikie wote wanaojaribu kuhatarisha usalama wa watu wengine na nchi kwa ujumla.

Polisi hawajawavamia ktk vyumba vyao na kuwakamata. Walikuwa wanafanya uhalifu.

Nyie tulieni msome, acheni kutumiwa na wanasiasa uchwara.[/QU
HIVI HUWA UNALIPWA NINI?AU UNAPEWA MANENO YA KUANDIKA HATA KAMA HAUPENDI?HAPO MWALIFU NI NANI?KUANDAMANA NAKO NI KOSA?AMA KWELI UMEFIKA MUDA NA WAKATI HATA WA KUTUMIA NGUVU KUDAI HAKI MAANA MAANDAMANO MNAONA NI UHALIFU!WEWE NA WANAOKUTUMA MTAJIBEBA WAKATI HUO.
 
Toka enzi za mwalimu, migomo mingi ya wanafunzi imekuwa ikidhibitiwa kirahisi mno hasa ile inayokosa strategy. Tunajua kitakachofuta ni wanafunzi kutimuliwa chuoni kwa muda na wale waanzislishi watakusanywa kama kuku na kuingizwa katika mtego wa kutishiwa kufukuzwa chuo baada ya kutakiwa kila mmoja kujieleza na kula kiapo cha Utii wa Serikali ya Chuo na ya Magamba (Wataandika tu barua za kuomba kurejea chuo na kuambatisha na Affidavit za Utii wa kutorudia tena mgomo).

Hili la wanafunzi kufikishwa Mahakamani sasa linafanyika si mara ya kwanza. Hao akina Bashiru Ally, Deus Kibamba, Kitila Mkumbo nk wanaliwahi kuwa waanga wa kadhia kama hizo za kugoma goma na kufikishwa Kisutu baada ya chuo kufungwa..shida ni staili inayotumika kudai haki huko vyuoni..wanafunzi wanaweza kudhibitiwa kirahisi tu wakigoma au kufanya maandamano..hawana mwelekeo mwingine wa kukimbia zaidi ya mwabwenini, wao wanapogoma huwa wanakuwa katika njia panda ya kuchagua kusoma au kucha masomo tofauti na raia wa kawaida ambao hawana chochote wanachopteza. Mmejionea ya Mbeya wamachinga walioamua kupambana, Serikali ilikosa mbadala wa kujadiliana nao kuhusu hoja zao ingekuwa ni wanafunzi wangewafukuza chuo wote kisha kuita mmoja mmoja...wangekuwa ni wafanyakazi wangewafukuza kazi, wangekuwa wanachama wa CCM wangewasimamisha uanachama lakini hawa ni "wamachnga" hawana wanaloweza kutishiwa zaidi ya kufikishwa mahakamani, na kama mjuavyo ilivyongumu kuthibitisha madai ya kufanya maandamano..kesi huwa zinaisha kwa upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka lolote. Hivyo kuishia na kumaliza fedha za umma tu kuendesha mashtaka yasiyo na tija!!
 
Serikali ijitahidi kusikiliza vilio vya wanafunzi bila kutumia nguvu, ili kutatua matatizo yao kwani yanatatulika. Hii nchi ni yetu sote ikiwemo na hao wanavyuo, hivyo ni haki yao kusikilizwa. Waziri Shukuru jitahidi kuwasiliana nao!!!
 
Toka enzi za mwalimu, migomo mingi ya wanafunzi imekuwa ikidhibitiwa kirahisi mno hasa ile inayokosa strategy. Tunajua kitakachofuta ni wanafunzi kutimuliwa chuoni kwa muda na wale waanzislishi watakusanywa kama kuku na kuingizwa katika mtego wa kutishiwa kufukuzwa chuo baada ya kutakiwa kila mmoja kujieleza na kula kiapo cha Utii wa Serikali ya Chuo na ya Magamba (Wataandika tu barua za kuomba kurejea chuo na kuambatisha na Affidavit za Utii wa kutorudia tena mgomo).

Hili la wanafunzi kufikishwa Mahakamani sasa linafanyika si mara ya kwanza. Hao akina Bashiru Ally, Deus Kibamba, Kitila Mkumbao nk wanaliwahi kuwa waanga wa kadhia kama hizo za kugoma goma na kufikishwa Kisutu baada ya chuo kufungwa..shida ni staili inayotumika kudai haki huko vyuoni..wanafunzi wanaweza kudhibitiwa kirahisi tu wakigoma au kufanya maandamano..hawana mwelekeo mwingine wa kukimbia zaidi ya mwabwenini, wao wanapogoma huwa wanakuwa katika njia panda ya kuchagua kusoma au kucha masomo tofauti na raia wa kawaida ambao hawana chochote wanachopteza. Mmejionea ya Mbeya wamachinga walioamua kupambana, Serikali ilikosa mbadala wa kujadiliana nao kuhusu hoja zao kwani Serikali haikuwa na mbadala
Mimi nafikiri kinachosababisha migoma ni ukandamizaji unaotokana na sheria zinazo walinda Wakubwa!!!
Watoto wote wa Vigogo siku hizi hawsomi hapa nchini , Shule za kata hakuna mtoto yoyote wa serikali hapo ,Sasa kazi iliyopo ni kuleta migomo ili vyuo vyote nchini vifungwe halafu wasomi hawa ni nguvu kubwa ya maandamano ya kudai katiba mpya !!!
 
Acheni sheria ichukue mkondo wake. Acheni kuchanganya sheria na siasa.

Polisi wana kosa gani kuwakamata wahalifu. Wanaoandamana hovyo bila sababu ya msingi. Polisi wana wajibu wa kulinda usalama wa raia. Lazma iwashughulikie wote wanaojaribu kuhatarisha usalama wa watu wengine na nchi kwa ujumla.

Polisi hawajawavamia ktk vyumba vyao na kuwakamata. Walikuwa wanafanya uhalifu.

Nyie tulieni msome, acheni kutumiwa na wanasiasa uchwara.

Hivi kudai mkopo ili usome ni kutumiwa na wanasiasa??? Penye ukweli tukubali jamani
 
Hawa vijana wanakabiliwa na matatizo makubwa sana, hawawezi kusoma vizuri kutokana na kucheleweshewa mikopo yao. Wana haki ya kulalamika na hata kugoma ili wasikilizwe. Sidhani kama ni sahihi kuwapiga maomu na kuwakamata. Serikali lazima ijifunze namna ya kutatua matatizo ya mara kwa mara ya wanafunzi ili wasome kwa utulivu, kwa manufaa ya taifa letu.
 
Mmenichanganya! Kuna thread ina read "Wamebana wameachia ..." ikielezea kuwa waliokuwa segerea wameachiwa na wapo Rev Square wakiwashukuru wenzao kwa kuwapigania! Hapa mnasema kwenye Mdigrii wanafunzi wamekusanyika wakidai wenzao waachiwe! NANI ANASEMA UKWELI?
 
Back
Top Bottom