Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
Sijui, lakini habari kama hizi ungekuwa unatupasia sisi akina yakhe tuzifikishe mahali kama hapa kwanza, au unasemaje? Kwa mstakabali wa mambo mazito ya taifa, habari kama hii tunaiweka wapi, A au Z?
Hii ni kwa maoni yangu tu, pengine kwa kukuonea gere! Hii haina maana kuwa huruhusiwi kushiriki katika mambo kama haya, lakini inapozidi kiasi (? sijui kipimo gani); hapo linakuwa tatizo.
Nisamehe kama nimekosea.
"habari hizi zina unyeti wa usalama wa taifa".....yaani wakina "maalim kisisina" nao siku hizi kwenye ma-corridor makuu?. Ama kweli TZ ipo kwenye karne ya 21!!.