binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,119
- 34,444
Hapana sijasema za sasa sio Bora kama za zamani..., sababu hata tampata wapi ya sasa naona ni bora sana.., hata ile Featuring na Hadija imetulia.... POINT yangu ni kuwa huu ni wa Kawaida ukilinganisha na kazi zake nyingine.., kwangu mimi hata ile Number One na promo zote ilikuwa ya kawaida sana...., lakini maybe its just my taste ni vitu vilivyotulia
Naanza kwa ku declare interest kuwa mi ni shabiki wa Diamond. Hii audio ya #nana ni ya kawaida kabisa kiasi kwamba siwezi kuifananisha na nyimbo zake kama #ukimuona , #kesho , #Natakakulewa #mbagala #ntampatawapi #Nasemanawe na zingine nyingi nzuri, BUT trust me hii nyimbo itafanya vizuri sana SIO kwasababu amemshirikisha #Mr flavour Nooo ila ni kwasababu ameifanya video at the best level kiasi kwamba kwa soko la Africa itauzika sana.
Kuhusu video the guy hajawahi kukosea hata kidogo. Kavaa uhusika, kadance vizuri sana keep it up Bro, u still shining. #Nimaoniyangu !