New Release Diamond ft Mr. Flavor

New Release Diamond ft Mr. Flavor

Hii video inavutia na audio inachezeka, anastahili pongezi.

Dakika chache tu baada ya release viewers wamefika hao
 

Attachments

  • 1432921928706.jpg
    1432921928706.jpg
    37.7 KB · Views: 690
Yap YouTube inachukua mda kucheki views 'legit' ....ila inakalibia laki mbili sasa !! Mmmhm wapiii kibakuli 😂😝

hahahaaaa eti kibakuli, sio kibagiaaa 😂😂😂
 
SOUNDCITY TV- SOUTH AFRICA
"Flavour has recorded new music with Diamond Platnumz. The Nigerian Highlife singer teams up with the Tanzanian entertainer to drop a new single which they have entitled ‘Nana'. This new collaboration marks a new high for Diamond who has also recorded new music with Psquare.

Earlier this year, Diamond had released a song with Iyanya titled ‘Nakupenda'. A video for the song has been shot, but it is yet to be released."


 
Kawaida tu hakuna jipya. Ktk nyimbo itakayopotea haraka masikioni ni hii mnayosifia. Mnatakiwa mseme ukweli sio kusifia tu kisa team.
 
Kawaida tu hakuna jipya. Ktk nyimbo itakayopotea haraka masikioni ni hii mnayosifia. Mnatakiwa mseme ukweli sio kusifia tu kisa team.

Mkuu your wrong hii audio ni kali sana....
 
Kwanza ni nadclare interest mimi ni TeamKiba Damu damu.

Nipo safarini network inasumbua lakini nimejaribu kuipitia kidogo ila kiukwel huu wimbo ni mkali kuanzia Audio mpaka video, lakini ngoja kwanza badae nitaipitia tena vizuri ili nibaini mapungufu yake maana nimeona jamaa kacope script nyingi za wimbo wake wa moyo wangu kitu ambacho kineondoa radha nzima ya hii video yani kama mtu umewahi kuona video ya Diamond moyo wangu basi ukiona hii utakeleka sana maana ni cppy and paste, pia mr.flavor kambeba sana diamond yani kama bila mr.flavor basi sijui huu wimbo ungeishiwa kuchezwa bar tu na uswahilini.

Lastly, ila haka kajamaa kidogo kanajua mziki japo bado sana kumfikia kingKiba for real, maana kwa mziki huu wa kubebwa na davido mara mr.flavor basi diamond kumfikia kingkiba ni miaka 1000.

#KINGKIBAFOREVER
 
Back
Top Bottom