New Release Diamond ft Mr. Flavor

New Release Diamond ft Mr. Flavor

Mkuu kwani muziki wanaoimba wanaigeria sasa ndiyo mziki wao wa asili?
hapana mkuu sio mziki wao wa asili,ndo maana nikaaminisha tumwache dogo aimbe mziki as long as unatufurahisha maana kila nyimbo haikosi wakosoaji kila staili atayoimba maana atleast anaonekana anatupa nafasi ya kuonekana maana kila sekta tumeshindwa si mpira wala nn ni heri huyu anayetupasifa kuliko wanaomponda alafu hamna cha maana wanacho kifanya
 
Hongera zake... ingawa katika kazi zake binafsi naona hii ya kawaida, maybe its my taste.., mpaka leo kwangu naona Ukimwona is one of his best work

Mkuu unazingumziaje nyimbo za Diamond za zamani kabla hajawa wa kimataifa na hizi sasa?
 
hahahahahaaa sio kwa kuchanganyikiwa huko, eti unahisi umeshaiona tena, yani full mawingu unaona maruwe ruwe, huamini kama ni yeye tena katoa kitu kipya kikali hivyo sio, unatamani kiwe ni ile ile uliokwishaona eeh???. hihihii hii ni nyingine mekuu dangote katika UBOURAAAAA wake.
mwenzako anasema hivi..

  • Duh! Yaani idea ikiwa ni ya video za nyuma ndo tayari keshaishiwa?! And what about wanaofanya re-mix za nyimbo zao za zamani au nyimbo za wengine?! Hao unawaitaje??!!! By the way, ikiwa idea aliipenda lakini anafahamu by the time ilitoka kwa mara ya kwanza, alikuwa too local na kwa sasa kv anapata attention mbali zaidi ya East Africa, ameamua ku-revive the very same idea.. tatizo lipo wapi hapo? Haya mambo mbona hata kwenye Films yapo, kwa mfano, Homeland, American TV Series ni Prison of War ya Israel... unataka kusema Howard Gordon and Alex Gansa wameishiwa??!!​



 
Mkuu unazingumziaje nyimbo za Diamond za zamani kabla hajawa wa kimataifa na hizi sasa?

Ukilinganisha zamani na sasa ni kweli umaarufu umeongezeka..., lakini haimaanishi kwamba kila anachokitoa sasa ni bora kuliko cha zamani in my opinion nikipanga Top 10 Best Diamond Tunes sidhani kama huu tauweka (Kumbuka sisemi Greatest Hits bali Best Tune) nyimbo inaweza ku-Hit kutokana na Exposure na Umataifa n.k. lakini haimaanishi inazidi ubora zile ambazo haziku-Hit
 
Ukilinganisha zamani na sasa ni kweli umaarufu umeongezeka..., lakini haimaanishi kwamba kila anachokitoa sasa ni bora kuliko cha zamani in my opinion nikipanga Top 10 Best Diamond Tunes sidhani kama huu tauweka (Kumbuka sisemi Greatest Hits bali Best Tune) nyimbo inaweza ku-Hit kutokana na Exposure na Umataifa n.k. lakini haimaanishi inazidi ubora zile ambazo haziku-Hit

Mkuu mie pia niko pamoja na wewe kabisa. Lakini kwanini unafikiri nyimbo zake za zamani bado ni bora kuliko anazotoa sasa?
 
Mkuu mie pia niko pamoja na wewe kabisa. Lakini kwanini unafikiri nyimbo zake za zamani bado ni bora kuliko anazotoa sasa?

Hapana sijasema za sasa sio Bora kama za zamani..., sababu hata tampata wapi ya sasa naona ni bora sana.., hata ile Featuring na Hadija imetulia.... POINT yangu ni kuwa huu ni wa Kawaida ukilinganisha na kazi zake nyingine.., kwangu mimi hata ile Number One na promo zote ilikuwa ya kawaida sana...., lakini maybe its just my taste ni vitu vilivyotulia
 
Na Flavour ameimba kikabila lake ki Igbo...anasema pia


Baby I love you.....hadi raha
 
Hapana sijasema za sasa sio Bora kama za zamani..., sababu hata tampata wapi ya sasa naona ni bora sana.., hata ile Featuring na Hadija imetulia.... POINT yangu ni kuwa huu ni wa Kawaida ukilinganisha na kazi zake nyingine.., kwangu mimi hata ile Number One na promo zote ilikuwa ya kawaida sana...., lakini maybe its just my taste ni vitu vilivyotulia

Yeah nyimbo za sasa kwa mie naweza sema kwamba zina taste ya kinigeria.
 
Alikiba anatakiwa amshukuru Diamond sana kwa kumrudishA kwenye chart.yaan mwezanko anafanya ubunifu kama huu alafu watu wanakuja kukubeba wewe kwa sababu wanamchukia jamaa
 
Alikiba anatakiwa amshukuru Diamond sana kwa kumrudishA kwenye chart.yaan mwezanko anafanya ubunifu kama huu alafu watu wanakuja kukubeba wewe kwa sababu wanamchukia jamaa

Tabu yao bado wana chuki na Diamond, jana hawajalala wanafikiria bado wamshushaje ili kumpaisha aliekaa kijiweni anyanyuke

Ndio wanaokazania kudonoa madislike, kuandika ----- wakati kazi wanaiona bali wivu na roho mbaya zimewajaaa.

Now wamwangalie tu D akizidi kuwika huko nje ya nchi kwa raha zake.
 
Tabu yao bado wana chuki na Diamond, jana hawajalala wanafikiria bado wamshushaje ili kumpaisha aliekaa kijiweni anyanyuke

Ndio wanaokazania kudonoa madislike, kuandika ----- wakati kazi wanaiona bali wivu na roho mbaya zimewajaaa.

Now wamwangalie tu D akizidi kuwika huko nje ya nchi kwa raha zake.

Ila Dimondo aatakiwa awashukuru haters...Coz ndio wanamfanya ajitume zaidi...

Akipendwa na kila mtu ataridhika na kujisahau
 
Ila Dimondo aatakiwa awashukuru haters...Coz ndio wanamfanya ajitume zaidi...

Akipendwa na kila mtu ataridhika na kujisahau

Aliisemaga wanampa kiki ya kujisukuma pia ila anafanya kazi sana kujinyanyua mwenyewe, bali wivu wa hawa watanzania na chuki zao ni mbaya sana wanatia aibu nchi yetu ni wamezidisha sanaaaaaa

Wasichana na wanawake wengine wa kiTanzania ji janga la taifa kwa jinsi wanavyofanya na maansishi yao maneno machafu hadi kinyaaaaaa esp ukute kwenye post ya msanii anayependwa na watu wengi D, wa nje wanashangaaa hawaamini lakini tatizo umaskini, wivu, chuki duh shame
 
Back
Top Bottom