Never underestimate the power of nyumba ndogo

Never underestimate the power of nyumba ndogo

umeona eeeh Ntakasi mtoa mada lazima atakuwa team nyumba ndogo ndo mana anawatetea sana huyu
Nadhani sio Hoja ya kumteta au kumtetea yeyote.. Tunaongelea fact Za Maisha.. Nionyeshe weak point tujenge palipo bomoka pamoja.. Ivi unadhani nani anafurahia Kuwa Na Nyumbandogo? Kama yote anayoyataka anayapata Ndani?!?. May be amejiskia Kuwa Na another women apart Na Mkewe Sasa huyu ni Mhuni tu Malaya. Malaya ni Mtu asiye Na specific person, Leo huyu kesho yule.. Lakini Nyumbandogo Mtu anazaa Hadi three children there.. ! Hii ni zaidi ya tunavyo fikiri tutafakari zaidi.. Mie naumia wale Watoto Kule nje watapata malezi ya UPANDE mmoja wa mzazi this pain more
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na nyumba ndogo sio ujanja wala nini sana sana ni kujidhalilisha mwenyewe mwanaume inaonesha hukuwa unajua mwanamke wa aina gani unamtaka maishani,na kwa maisha ya sasa hivi unaweza ukamuonja mara nyingi tu kujua yaliyomo yamo.na anazo criteria za kuwa mke wako??,kuwa na nyumba ndogo sio suluhisho.,na haimsaidii mke wako cha msingi jaribu kumbadilisha awe na tabia unazozipenda ukishindwa unaweza kumwambia hata indirect. Way

ohooooooooo BIG UP sana wewe ni REAL MAN under the sun
 
Unacheka!sasa kama hao nyumba ndogo wanajua mahabati c waolewe?au kama ww mkeo anabweteka unadhani ni wote?poor you!mi nyumba ndogo hanisumbui kichwa changu coz hata wanaume c kwamba mnawaridhisha sana wake zenu,tunawavumia tu,eti masage ndio ikupeleke nyumba ndogo c ni ulimbukeni huo?na huyo nyumba ndogo angekua anaweza sana angeachwa mke aolewe yeye,lkn ndio lle ya shiiiii mke wangu anapiga nyamaza inahusuuuuuu!hahaaaaa mjipe moyo ila mke atabaki kua mke,kama nyumba ndogo anajua mahaba angekua na mme wake halali akamfanyia analoweza na c kugeuzwa shortcat na wapita njia!mwisho wa cku ataachwa tu mume atatulia na mke wake,na nyie wanaume jijazeni ujinga utadhani mmetufungia mita wake zenu,tunaweza sana kutoka na sisi so mkae mkijua nyumba ndogo hazitusumbui,toka nitoke,dawa ya moto ni moto,mtaishia kutuua kwa bastola ilhali nyie ndio tatizo!nyooooooo!nyumba ndogo my foot!

team inspector laddy
 
Last edited by a moderator:
Ktk nguvu kubwa ambazo mwanamke anazo basi, moja wapo ipo ktk "ulimi" wake. Mwanamke aliyeolewa (na ukute kasoma) hii kwake ataona ni kujidhalilisha,wakati kwa nyumba ndogo kwake hio ndio fursa.Ndipo tunapo toa hata siri za ndani;unajua mkewangu hanipigiagi simu,haonyeshi kufurahia tendo,ni mtu wa kulalama kila siku,sio mtu wa kuapreciate na n.k, basi hiyo nyumba faraja itakuwa ikifanya yote ambayo mke hafanyi.Amin kuna wanaume wanajenga nyumba au kunua gari kwa nyumba faraja hata kabla ya familia zao
Big up umenipata, akili ya Mwanaume hupeleka Moyo wake, sio Siri Za familia tu hata zake zote hummwagia Yule ampaye faraja hata kama ni temporary.. Hii Ndo naiita Nguvu ya mwanamke.. Nguvu ya Mwanamke iko katika kuutumia uanauke wake Kwa mwanaume.. Wanawake wengi ni Kama wanaume, Tabia Za Ubishi,ugomvi, kujifanya bize Na Kazi, kuutojali hizi ni Tabia Za kiume, Na alway like poles repel.. While unlike pole attract.. Mwanaume akiziona Tabia hizo Kwa Mkewe lazima azikimbie kiaina..

Mwanamke ni gentle, flexible, laini, Mkimya flan, anajianini .. Na lazima mwanaume ampende.. And that is exactly what side women do.. Kwenye Vitabu vya Dini tulisoma Mwanamke tu Delilah Kwa kutumia uanamke wake, love, flexble, nyororo Na all time yuko bize Za the Great powerfull man Samson, aliyewashinda thousand of men but this simple women akamteka.. Mwanamke ana Nguvu sana akiutumia uanamke wake Na si ubabe
 
mbona kila mtu amesesikia....?

nahisi wanamaanisha kwamba ujumbe wameusiki na wataufanyia kazi,mtoa thread kalipa ya jana wanume tulivipigwa kijembe hatuwezi mechi hatufanyi mazoezi full kitambi,attractless miili
 
hawa madem zetu wa kibongo tena hasa mwenye digrii mama yangu usipokua na nyumba ndogo utaumia kichwa!!! hawana time ya ku show love and they are so demanding, much know they act like they hav tonnes of potential while u pay all the bills na hasa ni wazuri wa kuficha makucha ukishamuweka ndani basi ndo utamjua yy nani!! ubishi, mdomo kupika hawajui hamna hata mtoto anataka house girl etc dawa yao ni nyumba ndogo ukitoka job unapitia unapikiwa mambo na unapewa mapenz c kawaida ukirud home aaaah mnaangalia tv unamuangalia tu wala hubishani nae kuepusha shari uku unaendelea kuchat whatsup na nyumba yako ndogo hata kulala unachelewa unajifanya unaangalia mpira au una kazi za ofcn ili umkute kashalala ujitupe zako kesho uwai job!!!

wanaume wa kizazi chetu hatujui kuacha kwa talaka fujo kibao ila tunaweza kwenda nao sawa kwa jeuri na ubishi wao kwa kuwatafutia wasaidizi!!!
 
Wakuu naona tumeanza mwaka na kale kamjada ketu pendwa kabisa....hahaha
 
Mimi hapa naendelea kusoma tu taratibu mnakasha huu unavyoendelea

CC Asprin
 
Last edited by a moderator:
hivi pale ni nani hasa anaechoka na uwajibikaji wa mke na mume. mi huwa nasikiaga mume ndo huwa anachoka zaidi na kama ni mume sasa kinachomfanya mke asiwajibike ni nini?
 
Watu Nyie ni wabishi, Na mbishi hafaidi hata siku moja, bakieni ivo ivo..! Mpaka yawakute..! Na yako mlangoni usilie

ahahahahhahahahahhaha unafikir ni jipya saaaaa au linatisha saaaana!
ntakuwa ndo nimejua leo basi kuwa kays ltd wanatangeneza vingine zaidi ya toilet pepa!
hahahahhaa na umri uuu?
 
hivi pale ni nani hasa anaechoka na uwajibikaji wa mke na mume. mi huwa nasikiaga mume ndo huwa anachoka zaidi na kama ni mume sasa kinachomfanya mke asiwajibike ni nini?
Nashanga Ndo Nawe yaone
 
Unacheka!sasa kama hao nyumba ndogo wanajua mahabati c waolewe?au kama ww mkeo anabweteka unadhani ni wote?poor you!mi nyumba ndogo hanisumbui kichwa changu coz hata wanaume c kwamba mnawaridhisha sana wake zenu,tunawavumia tu,eti masage ndio ikupeleke nyumba ndogo c ni ulimbukeni huo?na huyo nyumba ndogo angekua anaweza sana angeachwa mke aolewe yeye,lkn ndio lle ya shiiiii mke wangu anapiga nyamaza inahusuuuuuu!hahaaaaa mjipe moyo ila mke atabaki kua mke,kama nyumba ndogo anajua mahaba angekua na mme wake halali akamfanyia analoweza na c kugeuzwa shortcat na wapita njia!mwisho wa cku ataachwa tu mume atatulia na mke wake,na nyie wanaume jijazeni ujinga utadhani mmetufungia mita wake zenu,tunaweza sana kutoka na sisi so mkae mkijua nyumba ndogo hazitusumbui,toka nitoke,dawa ya moto ni moto,mtaishia kutuua kwa bastola ilhali nyie ndio tatizo!nyooooooo!nyumba ndogo my foot!

Heeeeheeeee......Aisee Lunch yangu ya leo ni full maraha....wape wape!
 
Unacheka!sasa kama hao nyumba ndogo wanajua mahabati c waolewe?au kama ww mkeo anabweteka unadhani ni wote?poor you!mi nyumba ndogo hanisumbui kichwa changu coz hata wanaume c kwamba mnawaridhisha sana wake zenu,tunawavumia tu,eti masage ndio ikupeleke nyumba ndogo c ni ulimbukeni huo?na huyo nyumba ndogo angekua anaweza sana angeachwa mke aolewe yeye,lkn ndio lle ya shiiiii mke wangu anapiga nyamaza inahusuuuuuu!hahaaaaa mjipe moyo ila mke atabaki kua mke,kama nyumba ndogo anajua mahaba angekua na mme wake halali akamfanyia analoweza na c kugeuzwa shortcat na wapita njia!mwisho wa cku ataachwa tu mume atatulia na mke wake,na nyie wanaume jijazeni ujinga utadhani mmetufungia mita wake zenu,tunaweza sana kutoka na sisi so mkae mkijua nyumba ndogo hazitusumbui,toka nitoke,dawa ya moto ni moto,mtaishia kutuua kwa bastola ilhali nyie ndio tatizo!nyooooooo!nyumba ndogo my foot!
Inspector sio wote..
Wapo baadhi ila ni something goes to 90 % . pili acheni ubabe, Realy ubabe ni tendency ya mwanaume, Kama umeshafika Kuwa Na mume slow, mpole unamvutatwende embu mtengenezee ili Akufumanie uone Moto wake..Ivi unajua Mwanamke anaweza kumfumania mumewe Na mambo ikasettle poa tu si mwanaume kumfumania Mke wake.. Usijaribu ukali wa sumu Kwa kuinywa, usibeze bastola ya Mchina inaua..!?
 
hawa madem zetu wa kibongo tena hasa mwenye digrii mama yangu usipokua na nyumba ndogo utaumia kichwa!!! hawana time ya ku show love and they are so demanding, much know they act like they hav tonnes of potential while u pay all the bills na hasa ni wazuri wa kuficha makucha ukishamuweka ndani basi ndo utamjua yy nani!! ubishi, mdomo kupika hawajui hamna hata mtoto anataka house girl etc dawa yao ni nyumba ndogo ukitoka job unapitia unapikiwa mambo na unapewa mapenz c kawaida ukirud home aaaah mnaangalia tv unamuangalia tu wala hubishani nae kuepusha shari uku unaendelea kuchat whatsup na nyumba yako ndogo hata kulala unachelewa unajifanya unaangalia mpira au una kazi za ofcn ili umkute kashalala ujitupe zako kesho uwai job!!!

wanaume wa kizazi chetu hatujui kuacha kwa talaka fujo kibao ila tunaweza kwenda nao sawa kwa jeuri na ubishi wao kwa kuwatafutia wasaidizi!!!
Sio wote
 
Wanaume ni watu wa ajabu sana, mara nyingi hugeuza lawama na kuyakuza sana mapungufu ya wanawake kuliko kujiangalia wao wenyewe. Kisingizio mke wangu kabadilika tangu nimuoe, je alibadilika from nowhere?? Lazima kutakwua na sababu ya hayo mabadiliko, wanawake tunavumilia mengi sana kwa wanaume, ila wanaume akiona udhaifu flani tu, mbiiiiooooo kwa nyumba ndogo badala ya kukaa chini na mkewe na kutafuta solution, yeye wala hata hajali...

Mwanaume huyo huyo anayeona solution ni nyumba ndogo akipatwa na tatizo anarudi mbiioooo kwa mkewe, let say anaumwa, anahitaji kulishwa, kuogeshwa na sometimes anakuwa unconsious ila mkewe anamvumilia kwa kukaa karibu naye katika kipindi chote cha ugonjwa. Hapo nyumba ndogo haihusiki, apone sasa huyo mwanaume, break ya kwanza nyumba ndogo. WANAUME HAMNA SHUKRANI AISEE.... Mkeo anahakikishwa unakula vizuri, unavaa vizuri, unalala pazuri lakini yeye akikosea kitu kidogo tu unahamia kwa nyumba ndogo.......... OOOOOOOOOohhhhhhhhhhhhhhh Mungu awarehemu aisee!!!

Wapendeni wake zenu kama mlivyokuwa mnawapenda wakati wa uchumba, make hakuna aliyeoa kwa kulazimishwa bali ulimfuata binti wa watu wewe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!
 
.......jamaa anatafuta sababu ya kuwa na nyumba ndogo..........natoa TAMKO...rukhsaaa
 
shame on you men who cheat on your wives and God will punishi you nyumba ndogo.wew kama mwanamke kweli kwa nini usitafute mumeo umfanyie hayo unayofanya kwa waume za watu na kwa nin ukuolewa?mfyuuuuu pub***c toilets
 
Wapendeni wake zenu kama mlivyokuwa mnawapenda wakati wa uchumba, make hakuna aliyeoa kwa kulazimishwa bali ulimfuata binti wa watu wewe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!

siwezi kupenda kama kipindi cha uchumba mda ule msukumo ulikua kuimpress ili nikupate tu ila maisha halisi ni tofauti kabisa na enzi za uchumba!!! time & cost zile mwanaume alizokua anaingia kipindi cha uchumba sio sustainable in a long run so get used to it!!! kila cku nikutoe out, weekend bagamoyo au zenji, shopping kila wiki za nguo, ukija geto napika chakula unakula tu, nyumba safi nk ni kuigiza tu ili nikupate ishi kama maisha ya kwenu yalivyo ya kila cku ustake kuja kuanzisha style mpya ya maisha kwangu!!!
 
shame on you men who cheat on your wives and God will punishi you nyumba ndogo.wew kama mwanamke kweli kwa nini usitafute mumeo umfanyie hayo unayofanya kwa waume za watu na kwa nin ukuolewa?mfyuuuuu pub***c toilets

......we are always shamed.......mtuokoe na hii aibu jamani....
 
Back
Top Bottom