Miss neddy nimekupenda ghafla..ulosema yote yana ukweli.Wanawake hawabweteki wana majukumu mengi ya kifamilia zaidi ya kupet hao wanaume.Nyumba ndogo anapewa kila hitaji lakini mke hujihangaikia mwenyewe kukamilisha mahitaji yake na wakati mwingine ya kifamilia.Hivo huwezi kuwafananisha machangudoa (nyumba ndogo) na mke.