Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Mkuu kubali bwana kule juu ulipodai manabii wote walitokana na Kabila la Yuda na Benjamin ulikosea. Umeonyeshwa hapo kuwa Musa anatokana na kabila la Levi (Lawi). Na kwa mujibu wa Waisrael hakuna nabii mkubwa aliyewahi kutokea Israel kushinda Musa
Mkuu nabii mkubwa kabisa ni yohana mbatizaji
 
He never had two wives,Ishmael ni mtoto haramu.
Usimtukane Ibrahim, Yeye hajafanya zinaa bali Ismael alimzaa kwa ridhaa ya mkewe, na kwa mujibu wa mila za wakati huo hiyo ilikuwa halali. Ni vyema kukaa kimya kuliko kutamka yale usiyo na uhakika nayo ili tu kuridhisha nafsi yako.
 
Yaah uzao Wa Mattatias ulishndwa baada ya kufa Seleucid kama sijakosea ndipo wakapewa autonomy kwa mazungumzo si vita.
Hapana pitia tena historia.
Mattatias aliwashinda Waselucid kwa kutumia Guerrila Warfare.

Haya weka huo mstari wa Biblia yako ya kiorthodoksi na sisi tusome kuona kwamba Wamakabayo walishindwa vita.
 
Hapana pitia tena historia.
Mattatias aliwashinda Waselucid kwa kutumia Guerrila Warfare.

Haya weka huo mstari wa Biblia yako ya kiorthodoksi na sisi tusome kuona kwamba Wamakabayo walishindwa vita.
Mattatias hakushinda kuteka Yudea.. Hata vita hakuongoza aliongoza Mwana Judas. Mattatias yeye aliuliwa na Wagriki ndo ikaanza vuguvugu la Nyundo/ Maccabees.

Yudas aliteka Jerusalem. Kisha Judea ilipatikana kwa Mazungumzo baada ya vita kutoisha kwa mika mingi sana


Kifungu jioni nko Downtown
 
Hawa Isra-elites hawa ni Shida,halafu chukizo la uharibifu limesimama pasipolipasa ndo maana JF na Dunia imezizima
 
Unajua Mungu hajaanzisha Dini. Hao manabii walileta ujumbe Wa Mungu. Nikisema dini namaanisha tamaduni na taratibu za kuabudu katika iman Fulani.

Mungu alituletea iman si tamaduni.

Watu kwa tamaduni zetu tuamini Mungu.

Hata Judaism pia iliabzishwa na wayahudi kwa tamaduni zao hakuna Nabii iliyeanzisha Judaism.

Ukristo ni nini.

Ukiristo ni imani iliyojijenga katika kutambua na kukiri Yesu ndiyo masiha.

Tofauti yetu na Wayahudi ni hilo tu wao hawatambui Yesu ni Masiha na bado wanamsubili masiha..

Waislam wao tunatofauti kubwa kiiman
Kwa kiwango kikubwa waislam na wayahudi imani zao zinaendana kwa maana ya kwamba wanamwabudu MUNGU mmoja tu muumba wa mbingu na nchi. Wakristo na waislam wapo tofauti sana labda mashahidi wa Jehova ndio wanaendana kiasi na waislam na wayahudi. Vilevile iman ya wakristo na wayahudi haziendani hata kidogo. Kwa waislam na wayahudi Yesu si MUNGU lkn kwa wakristo Yesu ni mungu mkuu! Kwa waislam Yesu ni neno la MUNGU na ni mtume lkn kwa wayahudi Yesu ni mtoto wa zinaa! Nadhani umeanza kupatapata picha japo kidogo.
 
12 Abramu akakaa katika nchi ya Kanaani, na Lutu akakaa katika miji ya lile Bonde; akajongeza hema yake mpaka Sodoma.
Mwanzo 13 :12

14 Bwana akamwambia Abramu, alipokwisha kutengana na Lutu, Inua sasa macho yako, ukatazame kutoka hapo ulipo, upande wa kaskazini, na wa kusini na wa mashariki na wa magharibi;
Mwanzo 13 :14

15 maana nchi hii yote uionayo, nitakupa wewe na uzao wako hata milele.
Mwanzo 13 :15
 
Mattatias hakushinda kuteka Yudea.. Hata vita hakuongoza aliongoza Mwana Judas. Mattatias yeye aliuliwa na Wagriki ndo ikaanza vuguvugu la Nyundo/ Maccabees.

Yudas aliteka Jerusalem. Kisha Judea ilipatikana kwa Mazungumzo baada ya vita kutoisha kwa mika mingi sana


Kifungu jioni nko Downtown
The Maccabees walishinda na kuutwa Jerusalemu na ndiyo ukawa mwanzo wa sherehe ya Hanukkah kama unaifahamu.
 
3 Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.
Mwanzo 15 :3

4 Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.
Mwanzo 15 :4

5 Akamleta nje, akasema, Tazama sasa mbinguni, kazihesabu nyota, kama ukiweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.
Mwanzo 15 :5

7 Kisha akamwambia, Mimi ni Bwana, niliyekuleta kutoka Uru wa Wakaldayo nikupe nchi hii ili uirithi.
Mwanzo 15 :7

8 Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitairithi?
Mwanzo 15 :8

13 Bwana akamwambia Abramu, Ujue hakika ya kwamba uzao wako utakuwa mgeni katika nchi isiyo yake, watawatumikia watu wale, nao watateswa muda wa miaka mia nne.
Mwanzo 15 :13

14 Hata na taifa lile, watakaowatumikia, nitawahukumu; baadaye watatoka na mali mengi.
Mwanzo 15 :14

15 Lakini wewe utakwenda kwa baba zako kwa amani, utazikwa katika uzee mwema.
Mwanzo 15 :15

16 Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana haujatimia uovu wa Waamori bado.
Mwanzo 15 :16
 
1 Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.
Mwanzo 16 :1

2 Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, Bwana amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16 :2

3 Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.
Mwanzo 16 :3

4 Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
Mwanzo 16 :4

5 Sarai akamwambia Abramu, Ubaya ulionipata na uwe juu yako; nimekupa mjakazi wangu kifuani mwako, naye alipoona kwamba amepata mimba, mimi nimekuwa duni machoni pake. Bwana na ahukumu kati ya mimi na wewe.
Mwanzo 16 :5

6 Naye Abramu akamwambia Sarai, Tazama, mjakazi wako yu mkononi mwako, mtendee lililo jema machoni pako. Sarai akamtesa, naye akakimbia kutoka mbele yake.
Mwanzo 16 :6
 
7 Malaika wa Bwana akamwona kwenye chemchemi ya maji katika jangwa, chemchemi iliyoko katika njia ya kuendea Shuri.
Mwanzo 16 :7

8 Akamwambia, Hajiri, wewe mjakazi wa Sarai, unatoka wapi, nawe unakwenda wapi? Akanena, Nakimbia mimi kutoka mbele ya bibi yangu Sarai.
Mwanzo 16 :8

9 Malaika wa Bwana akamwambia, Rudi kwa bibi yako, ukanyenyekee chini ya mikono yake.
Mwanzo 16 :9

10 Malaika wa Bwana akamwambia, Hakika nitauzidisha uzao wako, wala hautahesabika kwa jinsi utakavyokuwa mwingi.
Mwanzo 16 :10

11 Malaika wa Bwana akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana Bwana amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16 :11

12 Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
Mwanzo 16 :12

13 Akaliita jina la Bwana aliyesema naye, Wewe U Mungu uonaye, kwani alisema, Hata hapa nimemwona yeye anionaye?
Mwanzo 16 :13

14 Kwa hiyo kisima kile kiliitwa Beer-lahai-roi.Tazama,kiko kati ya kadeshi na beredi.
Mwanzo 16 :14

15 Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.
Mwanzo 16 :15
 
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.
Mwanzo 17 :11

12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
Mwanzo 17 :12

13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
Mwanzo 17 :13

14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.
Mwanzo 17 :14

15 Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
Mwanzo 17 :15

16 Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.
Mwanzo 17 :16

17 Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?
Mwanzo 17 :17

18 Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
Mwanzo 17 :18

19 Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.
Mwanzo 17 :19

20 Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
Mwanzo 17 :20

21 Bali agano langu nitalifanya imara kwa Isaka, ambaye Sara atakuzalia majira kama haya mwaka ujao.
Mwanzo 17 :21
 
17 Bwana akanena, Je! Nimfiche Ibrahimu jambo nilifanyalo,
Mwanzo 18 :17

18 akiwa Ibrahimu atakuwa taifa kuu, hodari, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?
Mwanzo 18 :18

19 Kwa maana nimemjua ya kwamba atawaamuru wanawe, na nyumba yake baada yake waishike njia ya Bwana, wafanye haki na hukumu, ili kwamba Bwana naye akamtimizie Ibrahimu ahadi zake.
Mwanzo 18 :19
 
9 Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.
Mwanzo 21 :9

10 Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.
Mwanzo 21 :10

11 Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Ibrahimu, kwa ajili ya mwanawe.
Mwanzo 21 :11

12 Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.
Mwanzo 21 :12

13 Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.
Mwanzo 21 :13

17 Mungu akasikia sauti ya kijana. Malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, Una nini, Hajiri? Usiogope, maana Mungu amesikia sauti ya kijana huko aliko.
Mwanzo 21 :17

18 Ondoka, ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa.
Mwanzo 21 :18

19 Mungu akamfumbua macho, naye akaona kisima cha maji; akaenda akakijaza kiriba maji, akamnywesha kijana.
Mwanzo 21 :19

20 Mungu akawa pamoja na huyo kijana, naye akakua, akakaa katika jangwa, akawa mpiga upinde.
Mwanzo 21 :20

21 Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.
Mwanzo 21 :21
 
Wayahudi kwa propaganda, Walipiga propaganda kuwa yale Makabila 10 yamepotea ili kumuondolea uhalali mtu yeyote wa Samaria kurejea ktk ardhi zao na kudai uanzishwaji upya wa tawala hiyo.

Tekniki hiyohiyo ya kutotambua uwepo wa Wapinzani wao wanajaribu kuitumia tena leo kwa kudai eti hakujawahi kuwa na kitu kinachoitwa Palestine pale middle east, wakati biblia yao wenyewe inaelezea jinsi toka enzi za Abraham akiwepo mfalme wa Wsfilisti aitwaye Abimeleki.

Warumi walipoamua kuuita ile Ardhi Palestina, Walirejea jina la wakaazi wa pale kabla hata Abraham hajahamia
 
Back
Top Bottom