bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,737
- 10,364
HahahahahahaWapalestina wasusie uchaguzi
HahahahahahaWapalestina wasusie uchaguzi
He never had two wives,Ishmael ni mtoto haramu.
All in all the land belong to Israelites.Saladini alikuwa Sultan wa eneo lote la Mashariki ya kati hadi kufika Misri.
Halafu wewe unasahau vitu vya msingi sana. Unajua nini maana ya neno "Palestina" au "kwa lugha za Mashariki ya kati ??? Hilo neno limekuwepo hata kabla ya Uingereza kuwepo.
Mwisho kabisa,
Eneo la Samaria haliko Lebenon wewe.
Acha wongo kabisaaa, Samaria inapakana na Ufalme wa Yordan na West Bank....hebu muwe mnapitia hata Ramani basi....
Haramu unasema wewe !He never had two wives,Ishmael ni mtoto haramu.
Tumia akili wewe,All in all the land belong to Israelites.
Na kweli Mungu yu juu yao kwa miaka 3000 jamaa wapo wamepigana na kuangamizwa lakini wapo tu..
Mamisri walivamiwa mara chache tu taifa ilakangamia hadi sasa wamebaki Historia.
Wapi red Indian.
Kuna vingi umeandika ambavyo siyo vya kweli.. according to Bible.Mfalme wa kwanza wa israel ni Saul,
baada ya hapo mpiga zumari wa mfalme,yaani Daud wa kabila la yuda akajitenga na kutawadhwa na nabii samweli kuwa mfalme wa yuda,kisha akaanzisha vita,civil war na kumuua Saul,kisha mtoto wa saul akaapishwa kuwa mfalme wa israel,kisha tena Daud akamuua mtoto wa sauli na kujitangaza mfalme wa israel yote,United kingdom of israel,
Daud akamzaa suleiman,lakini seleman hakutakiwa kuwa mfalme,mtoto mkubwa wa Daud ndo alitaka awe mfalme,mamake selemani akacheza mpaka mwanae ndo akawa mfalme,
wakati wa seleman palitulia kidogo,lakini alipokufa tu,utawala ukaganyika na haukupata kuungana tena.
Eneo ilipo west bank ndo ilikuwepo judea,
tatizo hapa ni kuwa israel wanashindwa watawapeleka wapi wapalestina,wakitaka kuwaua wote hawawezi,
wakitaka kuwapa uraia,
tatizo wapalestina wanazaliana mno,waisrael wanaogopa watamezwa,
sasa wana opt kuwaua taratibuna kuwaweka mazingira magumu labda baada ya miaka 1000 watatoweka,na ni vigumu wapalestina nao ndo wanazaana sana kufidia wale wanaouawa,huku waisrael wakizaa kizungu kwa mpango,
sasa guesse baada ya miaka 200 hali itakuwaje,
japo waziri wa mambo ya nje wa zamani wa marekani ,Henry kissinger ambae pia ni myahudi,kanukuliwa akisema,israel haitakuwepo katika miaka 10 ijayo
Kwani hii sio sawa na kusema mkwawa alitawala uhehe na mirambo tabora lakini yote ni Tanganyika ?Samaria ni makao makuu ya Ufalme wa Israel,
Wakati Yerusalemu ni makao makuu ya Ufalme wa Yuda.
Baada ya Mfalme Suleimani kufa Ufalme wa Israeli uligawanyika sehemu mbili.
Kaskazini makabila kumi ya Israel (Ufalme wa Israel) na Kusini makabila mawili ya Yuda na Benjamini (Ufalme wa Yuda)
Kwanza hujui maana ya Neno Hebrania.Tumia akili wewe,
Wayahudi ni sehemu ndogo mno kwenye jamii ya Kihebrania wewe.
Yuda alipewa Yerusalem,
Manasseh na Ephraim walitawala Samaria. Lakini leo hii Manasseh na Ephraim hawajulikani walipo na Samaria walipewa na Mungu. Wewe utasemaje ni eneo la Wayahudi ???
Marekani ashatumia veto hakuna effect yoyote ktk kura za UN ni protocol tuu wanafuata. Na Leo UN wakipiga kura ya tifauti na US ndogo mwanzo wa kukosa misaada kasema Trump kuwa hatosaidia kifedha UN wala hizo nchi America doesn't care anymoresisi nao tutapiga kura kutotambua alichosema trump?
Kwanini agano la Mungu kutoka kwa Ibrahim liwe legally binding in any court of law kiasi cha kuwaondoa na kuwany'ang'anya nchi wakaazi?Kwanza hujui maana ya Neno Hebrania.
Pili jua issue ya Uyahudi si suala la Genetic kwamba wayahudi ni superior genetically lah.
Issue ni kutunza agano la Mungu kutoka kwa Ibrahim via Isaac via Jacobs ambaye ndiye Israel.
Taifa la Israel lilipogawanyika waliobaki wakitunza angano la Mungu ni Wayahudi hivyo mkataba uliendelea kupitia wayahudi si wengine.
Wingi si tija. Agano linasema watasimamisha taifa lenye Nguvu pale Kanani no matter what.
Na kwa kukusaidia hakuwai kutokea Nabii nje ya Yuda na Benjamin. Unajua kwa nini..... Yuda ndiye alipewa kutunza na kulinda agano toka kwa Yakobo.
Marekani ashatumia veto hakuna effect yoyote ktk kura za UN ni protocol tuu wanafuata. Na Leo UN wakipiga kura ya tifauti na US ndogo mwanzo wa kukosa misaada kasema Trump kuwa hatosaidia kifedha UN wala hizo nchi America doesn't care anymore
Kwa Abrahamu au Eliya au Elisha etc w alikuwa wakristo ? Suala hapo ni imani iliyojengwa na Mungu kipitia hao watu sio jina la ukristo. Yesu alikuwepo kipindi chote tangu kuumbwa kwa dunia angeamua hao wawe wote wakristo angeweza lakini apiwatumia pasipo hilo jina la wakristo. Na bado wengine answatumia pasipo kuwa na hiyo title ktk huohuo uyahudi wao.Tunajua ninyi ndo mnafikiri hatujui. Tu najua Jews si wakristo.
Misaada ni fedha za wananchi wa Marekani na siyo Trump.Trump sio mnafiki kwenye hili. Kasema wazi, hatuwezi kuwa tunafaidika na mabilioni ya pesa zao kama misaada huku tunapiga kura kupingana nao.
Tutie akili kwamba misaada huwa ina makusudi yake.
Unajua Mungu hajaanzisha Dini. Hao manabii walileta ujumbe Wa Mungu. Nikisema dini namaanisha tamaduni na taratibu za kuabudu katika iman Fulani.Kwa Abrahamu au Eliya au Elisha etc w alikuwa wakristo ? Suala hapo ni imani iliyojengwa na Mungu kipitia hao watu sio jina la ukristo. Yesu alikuwepo kipindi chote tangu kuumbwa kwa dunia angeamua hao wawe wote wakristo angeweza lakini apiwatumia pasipo hilo jina la wakristo. Na bado wengine answatumia pasipo kuwa na hiyo title ktk huohuo uyahudi wao.
Wapalestina ndo wapelekwe kigomaHawa watu wanazingua...
Wangekuja kigoma kuna maeneo mengi mazuri... tungewapa mlima mmoja wajenge hekalu ugonvi wote ukaisha
Fafanua kidogoUkitazama documentary niliyoshea "Who owns Jerusalem?" utagundua hakukuwahi kuwa na taifa liitwalo Palestine. Wote wanaojiita Wapelestina ni waarabu na walianza kujiita wapalestina kama counter attack ili kulifuta Israel kwenye uso wa Dunia
Na kwa kukusaidia hakuwai kutokea Nabii nje ya Yuda na Benjamin. Unajua kwa nini..... Yuda ndiye alipewa kutunza na kulinda agano toka kwa Yakobo.
Hahaha umenifurahisha sana. Sababu ni kwamba Mungu mwenyewe alichagua Jerusalem kupaita kwa jina lake. Hii mivutano tunayoishuhudia ni matokeo ya roho zinazopingana ndani ya watu husika.Hawa watu wanazingua...
Wangekuja kigoma kuna maeneo mengi mazuri... tungewapa mlima mmoja wajenge hekalu ugonvi wote ukaisha
Israel anamsadia america?Trump sio mnafiki kwenye hili. Kasema wazi, hatuwezi kuwa tunafaidika na mabilioni ya pesa zao kama misaada huku tunapiga kura kupingana nao.
Tutie akili kwamba misaada huwa ina makusudi yake.