Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Mungu anaweza yote, mtu mmoja anaweza kulifanya Taifa kutoka kwake huyo, hata wewe Mungu akikuchagua kutoka kwako litakuwepo Taifa

In English,
"Out of you, a great nation shall come"
Hii ni ahadi kwa uzao wa Ibrahimu, lakini yeye binafsi hakuwahi kuona taifa la Israel.
Huu ndiyo ukweli Mchunguuu!
 
Mtu anaechangia akaandika maneno ya kiswahili kachanganya na kingereza hua sijui namuonaje basi tu.
 
@malcomlumumba

tatizo maandiko yamekuwa overated mno,
"nitakufanya uwe taifa kubwa"

israel haipata kuwa taifa kubwa,
mataifa makubwa ya zama zile yanafahamika,egypt,asyria,aram,babel,alexandra the great,ottoman empire etc.

Hivi ni lini israel imewahi kuwa taifakubwa?
 
@malcomlumumba

tatizo maandiko yamekuwa overated mno,
"nitakufanya uwe taifa kubwa"

israel haipata kuwa taifa kubwa,
mataifa makubwa ya zama zile yanafahamika,egypt,asyria,aram,babel,alexandra the great,ottoman empire etc.

Hivi ni lini israel imewahi kuwa taifakubwa?
 
@malcomlumumba

tatizo maandiko yamekuwa overated mno,
"nitakufanya uwe taifa kubwa"

israel haipata kuwa taifa kubwa,
mataifa makubwa ya zama zile yanafahamika,egypt,asyria,aram,babel,alexandra the great,ottoman empire etc.

Hivi ni lini israel imewahi kuwa taifakubwa?
It depend on definition ya Taifa kubwa.

Note. Israel ndo taifa la kale zaidi likuwa na Peopling ile ile.

Misiri ndo taifa la kale zaidi ila peopling yake ikibadilika badilika.
 
Sasa kwa nini mnajipendekeza kwao wakati wao ni " Wapinga Kristo"?
Hatuwatetei kwamba ni wakristu bali kwa sababu hayo maeneo kihistoria ni ya kwao, hata wangekuwa wapagani bado hilo eneo ni la kwao

Ras clamat domino!
 
It depend on definition ya Taifa kubwa.

Note. Israel ndo taifa la kale zaidi likuwa na Peopling ile ile.

Misiri ndo taifa la kale zaidi ila peopling yake ikibadilika badilika.
hujajichimbua tu,kuna mataifa eneo hilo kama sumerian,akadian etc ni wa kale kuliko hata hawa babel,

israel wakati wanatoka misri ilikuwa ni zama za bronze age,
wakati kuna jamii za tangu enzi za iron age.

Watu husema eti misri asili yao ni weusi,mimi siamini kuwa entire population ya wamisri walikuwa black.

Bali misri ilipata kuvamiwa na Cushite empire na waliikalia kwa miaka mamia kabla hawajarudishwa nyuma na waasyria kama sikosei
 
It depend on definition ya Taifa kubwa.

Note. Israel ndo taifa la kale zaidi likuwa na Peopling ile ile.

Misiri ndo taifa la kale zaidi ila peopling yake ikibadilika badilika.
hujajichimbua tu,kuna mataifa eneo hilo kama sumerian,akadian etc ni wa kale kuliko hata hawa babel,

israel wakati wanatoka misri ilikuwa ni zama za bronze age,
wakati kuna jamii za tangu enzi za iron age.

Watu husema eti misri asili yao ni weusi,mimi siamini kuwa entire population ya wamisri walikuwa black.

Bali misri ilipata kuvamiwa na Cushite empire na waliikalia kwa miaka mamia kabla hawajarudishwa nyuma na waasyria kama sikosei
 
Hatuwatetei kwamba ni wakristu bali kwa sababu hayo maeneo kihistoria ni ya kwao, hata wangekuwa wapagani bado hilo eneo ni la kwao

Ras clamat domino!

Tetea wafilisti basi maana hata Wana wa Israel waliwakuta wenyeji pale canaan
 
@malcomlumumba

tatizo maandiko yamekuwa overated mno,
"nitakufanya uwe taifa kubwa"

israel haipata kuwa taifa kubwa,
mataifa makubwa ya zama zile yanafahamika,egypt,asyria,aram,babel,alexandra the great,ottoman empire etc.

Hivi ni lini israel imewahi kuwa taifakubwa?

Inawezekana kabisa mkuu,
Lakini hebu tuangalie hili suala katika mapana kidogo.
Ukubwa wa taifa unaangalia mambo mengi sanaaaaa.
Ardhi,Rasilimali,Idadi ya watu, nguvu ya kijeshi, nguvu ya kiuchumi na ushawishi wake katika jamii inayowazunguka.

Leo hii tukizungumzia ukubwa wa kijeographia wa taifa na Idadi ya watu,
Basi nadhani nchi Kama Brazil, Uchina na India ndiyo yanaweza kuwa mataifa makubwa duniani.
Tukiangalia kwenye suala la rasilimali basi tunaweza kusema mataifa ya Afrika ndiyo makubwa sana duniani.

Lakini tukiangalia kwa mtazamo wa uhalisia,
Vitu kama rasilimali, idadi ya watu na eneo kubwa la ardhi havilifanyi taifa kuwa kubwa.
Bali hivi vinaweza kuwa viashiria kwamba taifa hili lina nguvu au linaweza kuwa na nguvu huko mbeleni.
Hii kwenye lugha ya Malkia tunasema "A nation has a potential to be great and powerful in the future"

Nikupe mifano mizuri tu:
Afrika tuna "Potential" ya kuwa Bara lenye nguvu sana kwasababu tuna kila kitu lakini sisi siyo Taifa kubwa.
Katika historia ya dunia hii, falme iliyowahi kuwa kubwa sana ni ile ya Mongolia chini ya Chengis Khan na Qublai Khan.
Ilikuwa inamiliki kama asilimia 16% ya ardhi ya dunia kama nakumbuka vizuri lakini ufalme ule haukuwahi kuwa na nguvu zaidi ya kutumia majeshi na kumwaga damu tu. Mfumo wa siasa ulikuwa mbovu, Uchumi mbovu na elimu mbovu, wakashindwa kutengeneza mfumo mzuri wa mawasiliano baina yao wenyewe na hivyo taifa likaanguka lenyewe tu.

Halafu tuangalie upande wa pili wa shilingi,
Mataifa ya Ugiriki yalikuwa ni madogo sana kieneo.
Ukiangalia taifa kama Athene, Sparta, Thebes, Corinth yalikuwa madogo lakini yalikuwa ni mataifa yenye nguvu sana.
Ushawishi wa Athene uliweza kusambaa Ulaya yote hadi kutishia mustakabali wa taifa lenye nguvu kijeshi kama Sparta.

Tena ukiangalia katika historia,
Ufalme wa Umedi na Uajemi (Persian/ Achemenid Empire) wakati unatawala dunia ulikuwa na watu millioni 45,
Sawa na idadi ya Watanzania kwa Sensa ya miaka kama 4 au 5 hivi iliyopita, lakini walikuwa wanaogopa sana nguvu ya vitaifa hivyo vidogo vya Ugiriki. Hii ni kwasababu vilikuwa vina ushawishi mkubwa Kidini, Kisiasa, Kiuchumi na Kielimu.

Wakati Mfalme Dario na Mtoto wake Xerxes wamevamia Ugiriki kwenye The Battle of Marathon walipigwa sana na Athens,
Wakaja kurudia tena wakatwangwa kwenye The Battle of Salamis na hivyo wakaamua kuwaacha Wagiriki na maisha yao.
Kifupi hawakufanikiwa kabisa kuwatawala Wagiriki hadi wagiriki walivyounga chini ya Alexander na kuwasambaratisha waajemi na ufalme wao.

Sasa basi,
Hadi kama hadi leo hii tunawasoma Wagiriki wa miaka zaidi ya 4000 iliyopita utasemaje haya ni mataifa madogo ???
Mifumo yetu ya Kidemokrasia ndiyo ile ile ya Waathene wa Ugiriki ya zamani: Mawazo yutu ni yale yale ya Plato, Aristotle au Socrates. Warumi katika Jeuri yao yote walikuwa wanatumia falsafa za Wagiriki kutawala dola lao ambalo lilikuwa kubwa sana hapa duniani.

NB 1: Leo hii Falme za Uingereza ni ndogo sanaa,
Zinaweza zikaingia mara hata 50 kwenye nchi ya Tanzania (Kieneo)
Lakini lile ni taifa kubwa sana na lenye nguvu kubwa mno kiushawishi hapa duniani.
Kuanzia mifumo yao ya kielimu (Cambridge System), mifumo yao ya Kisheria (The Common Law) na Mifumo yao ya Kisiasa (Parliamentary Democracy): Dunia nzima tuna vitu vizuri vya KUJIFUNZA KUTOKA KWAO na huu ndiyo ukweli usiopingika.

Hata Marekani katika Jehuri yake yoteee,
Amechukua vitu vingi sana kutoka kwa Waingereza,
Pia ushawishi wa Muingereza ndiyo ulifanya taifa la Marekani liwepo tokea kwenye Mkataba wa Paris wa mwaka 1782.

NB 2: Upande mwingine wa hilii ni huu.
Mataifa makubwa huwa hayalingani kabisaa.
Kila taifa linakuwa na nguvu yake ye kipekee ambalo taifa jingine halina.
Na ukishindwa kuheshimu hili basi ndiyo utaishia kuamini kwamba mataifa ya Afrika ya zamani kama Ufalme wa Congo, Ufalme wa Mwenemutapa, Ufalme wa Meroe, Ufalme wa Zanzibar walikuwa hawana chochote hapa duniani.

Siyo kweli hata kidogo,
Kwasababu taifa linakuwa na nguvu sana pale tu linapowafanya watu wake waendelee,
Ukiangalia maisha ya watu wa Athens, Rumi, Uturuki, Uajemi, Qing, Mali au Uingereza utakubali ninachokisema hapa.
Nchi ikiweza kujenga mifumo imara ya kisiasa na watu wakafaidika nayo basi ni lazima nchi hiyo itakuwa na ushawishi tu.

Sasa kule Mongolia,
Kulikuwa na mauji makubwa, Ubakaji, Vurug kila siku.
Watu watapataje kuendelea wakati vimejaa vifo, vita na magonjwa kisa tamaa za mtu moja tu ??
Japo lilikuwa dola lenye uwezo "Potential" wa kutawala dunia kwa miaka zaidi ya 400 hivi.
Lakini walishindwa vibayaaaaa.

NB 3: Sasa ukubwa wa mataifa ya Mashariki ya kati yaangalie katika minajili ya ushawishi wao.
Leo hii hapa duniani dini kubwa na zenye ushawishi usio mithiriki na Ukristo na Uislamu.
Bahati mbaya sanaa hizi dini zilianzishwa na Wayahudi na Waarabu.
Historia za hizi dini ndizo zimeigawanya dunia kwa miaka mingi sana hata kabla ya kizazi hiki.

Dini hizi zimefanikiwa kuathiri hata uwezo wetu wa kufikiri na hata mitazamo ya kidunia (Huu ni ukweli mchungu)
Leo hii hata huu uzi wengi wetu tunaungalia kwa minajili ya kidini tu.
Hivyo utasemaje kwamba hawa watu hawakuwahi kuwa taifa kubwa ???
Israeli chini ya Suleimani, Uzziah na Ahabu liliwahi kuwa taifa lenye nguvu sana sema kwa muda mfupi.

NB 4: Kwenye Ukweli tukubali na kwenye Uongo tukaetae kabisa.
 
Haramu unasema wewe !
Mbona Mungu alimbariki sana ???
Hata Mfalme Suleimani naye alikuwa haramu hivi unajua ???
Hata Yesu mwenyewe Wayahudi wanamwita mwanaharamu lakini leo hii mnamwabud!

NB: Shirikisha ubongo kabla ya kuropoka.
Watu wa zamani walikuwa wanaruhusiwa kuoa wake zaidi ya moja.
Hata makabila kumi na mbili ya Israel hayajatokana na Rebeka na Raheli pekee.
Yakobo alizaa watoto wake wengine kutoka kwa vijakazi wa wake zake.
Tena ukiisoma biblia, Yuda mwenyewe mwana wa Yakobo alilala na mke wa mwanae wa kumzaa akazaa naye mtoto ambaye kutokana na line ya mtoto huyo Suleimani, Daudi hata Yesu wametokana nayo.

Hawa wenye kumnyooshea kidole BABA wa IMANI ABRAHAM wanajua wanachokiongea au wanajiropokea tu?

Maandiko yanasema, "Sara akamtwaa Hajra akampa Abraham ili awe Mkewe", sasa uliona wapi mtu akalala na mkewe wakazaa Haramu?
wapi Sarai alipata authority ya kuoza
 
Mkuu hapa hautaeleweka kabisa, watu hawataangalia mahitaji na mikataba ya kisasa wanaegemea ktk history na hapo ndo unaona binaadam anarudi nyuma hasa ikifika suala la Palestine/Israel issue

Uhalalishaji wa dhuluma kwa eti tu nchi ya ahadi na sijui 'superior race' ni blah blah tu ukijumuisha na sijui wamebarikiwa na tukiwabariki nasi tunabarikiwa ni kujitoa ufahamu na kushindwa kutatua changamoto zetu kulingana na nyakati hizi

Na kwa kumalizia tu kama mungu kaisha teua Taifa teule na sijui kawabariki je sisi wengine ndo nafasi yetu ipo wapi kwa baba muumba au ndo tujipendekeze tu dah huu ukakasi kweli wa ubaguzi
Ila ni blah blah zinazoishi na kwa matakwa ya Israel na us sio UN wala mtu mwingine yeyote
 
wapi Sarai alipata authority ya kuoza

Wewe unadhani ancient times ni sawasawa na sasa?.
Enzi hizo Mjakazi wako unakuwa unammiliki kama mali yako na unaweza kumuoza ukitaka.

Nitakupa mfano, SARAI kwa mujibu wa Biblia alikuwa ni MKE na wakati huohuo ni DADA wa damu wa Abraham, Yaani BABA yao ni mmoja lakini MAMA tofauti, Sasa unadhani hii ingewezekana katika dunia ya leo?

Nitamshangaa kweli mtu atakayemnyooshea Kidole Abraham kwamba alioa dada yake wa damu.
 
Wewe unadhani ancient times ni sawasawa na sasa?.
Enzi hizo Mjakazi wako unakuwa unammiliki kama mali yako na unaweza kumuoza ukitaka.

Nitakupa mfano, SARAI kwa mujibu wa Biblia alikuwa ni MKE na wakati huohuo ni DADA wa damu wa Abraham, Yaani BABA yao ni mmoja lakini MAMA tofauti, Sasa unadhani hii ingewezekana katika dunia ya leo?

Nitamshangaa kweli mtu atakayemnyooshea Kidole Abraham kwamba alioa dada yake wa damu.

Teh teh teh teh teh!
Mkuu Gamba la Nyoka wakikujibu hili naomba uniite.


Halafu ngoja tumuite na huyu Msukuma Victoire anayesema Ishmael alikuwa mtoto haramu.
Haya sasa Abrahamu alimuoa dada yake wa damu.
Je, Isaka alikuwa ni mtoto haramu ??? (Incestuous Child)

Halafu nyabhera bado hujaniwekea kifungu cha Biblia yako (Kiorthodoksi) kinachosema kwamba Wamakabayo kushindwa vita dhidi ya Wagiriki wa Selucid....(teh teh teh teh teh!!!!)
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Wewe unadhani ancient times ni sawasawa na sasa?.
Enzi hizo Mjakazi wako unakuwa unammiliki kama mali yako na unaweza kumuoza ukitaka.

Nitakupa mfano, SARAI kwa mujibu wa Biblia alikuwa ni MKE na wakati huohuo ni DADA wa damu wa Abraham, Yaani BABA yao ni mmoja lakini MAMA tofauti, Sasa unadhani hii ingewezekana katika dunia ya leo?

Nitamshangaa kweli mtu atakayemnyooshea Kidole Abraham kwamba alioa dada yake wa damu.

You are misinformed ndugu. Authorities zimekuwepo since ancient times na ndiko ilikotokea dhana nzima ya authority. Au labda tuanzie kwa kutambua authority ni nini ni biblia context. Utakubaliana nami kuwa abram hakuelekezwa kuwa na watoto wawili wa ahadi. Hapo imapoanzia the fact that both abram and Sarai were wrong and God said it was not right. Kwangju Mimi Mungu alimnyooshea kidole abram. Siwezi kusita kusema kuwa he was wrong like Jacob was wrong somewhere like Moses, David, Eliah were wrong somewhere. Being wrong at kuzaa Ishmael says kulikuwa na authority iliyokuwa breached.
 
You are misinformed ndugu. Authorities zimekuwepo since ancient times na ndiko ilikotokea dhana nzima ya authority. Au labda tuanzie kwa kutambua authority ni nini ni biblia context. Utakubaliana nami kuwa abram hakuelekezwa kuwa na watoto wawili wa ahadi. Hapo imapoanzia the fact that both abram and Sarai were wrong and God said it was not right. Kwangju Mimi Mungu alimnyooshea kidole abram. Siwezi kusita kusema kuwa he was wrong like Jacob was wrong somewhere like Moses, David, Eliah were wrong somewhere. Being wrong at kuzaa Ishmael says kulikuwa na authority iliyokuwa breached.

Hiyo wrong unaipima kwa mizani ipi?. Hiyo authority unayoizungumza nyakati za Abraham zilizoharamisha mtu kumuoa Mjakazi wake ni zipi?.

Kumbuka, Genesis imeandikwa na Musa kwa kupewa ufunuo na Mungu, kwa hiyo kama andiko linasema kuwa Sara alimtwaa Hajira na kumpa Abraham ili awe mkewe, basi ni mkewe, kama hutaki basi, lakini andiko linasema alikuwa ni mkewe
 
In English,
"Out of you, a great nation shall come"
Hii ni ahadi kwa uzao wa Ibrahimu, lakini yeye binafsi hakuwahi kuona taifa la Israel.
Huu ndiyo ukweli Mchunguuu!
Uko sahihi hakuliona, maana ahadi ni uzao wako utakuwa Taifa kubwa, siyo utauona uzao wako ukiwa Taifa kubwa
 
Back
Top Bottom