Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Uko sahihi hakuliona, maana ahadi ni uzao wako utakuwa Taifa kubwa, siyo utauona uzao wako ukiwa Taifa kubwa

Sasa bwana nyabhera anakomaa kwamba Abrahamu ndiyo mwanzilishi wa taifa la Israeli.
Wakati hiyo kazi ilifanywa na Joshua na Kalebu.....!!!!
Btw thank you for understanding my assertion........
Merry Christmas in advance.......
 
Sasa bwana nyabhera anakomaa kwamba Abrahamu ndiyo mwanzilishi wa taifa la Israeli.
Wakati hiyo kazi ilifanywa na Joshua na Kalebu.....!!!!
Btw thank you for understanding my assertion........
Merry Christmas in advance.......
Anaweza kuwa yupo sahihi kwa kusema hivyo kwani ahadi alipewa Abrahamu na yeye ndiye aliyeipokea ahadi na uzao wake ukajakuwa kuwa Taifa kubwa, hivyo unaweza kuona usahihi wake
 
Anaweza kuwa yupo sahihi kwa kusema hivyo kwani ahadi alipewa Abrahamu na yeye ndiye aliyeipokea ahadi na uzao wake ukajakuwa kuwa Taifa kubwa, hivyo unaweza kuona usahihi wake

Abraham alipewa ahadi lakini hakuwahi kuona taifa la Israel.
 
Kwa wale wanaofuata Bible, Abraham aliahidiwa kuwa Uzao wake utakuwa mwingi kama Nyota za angani, Je ahadi hiyo imeshatimilizwa?, na kama imetimilizwa ushahidi ni upi?
 
Many people, especially Christians, support Israel in this issue based on religious beliefs. But this is a very misguided and dangerous precedent. Because if you want to give Israel the land that had been inhabited by other people for thousands of years, based on the claim that they have returned to their land given to them by their god....then what about the Boers in South Africa who also claimed the same? What about Istanbul which was the centre of the Eastern (Orthodox) Christianity? What about the region of Catalonia in Spain which for 400 years was the seat of the Islamic empire? Imagine, if the Black Americans return today to Mali, Nigeria, Angola, DRC, Tanzania etc and claim these lands are theirs!
Are you going to return all these lands to their old, historical owners? But why then are you treating the Jews differently? These guys came mainly from Eastern Europe- Poland, Bulgaria, Romania- how sure are you about their Jewishness? Judaism used to be a religion, not a race. That means you do not have to be in Jerusalem to be Jewish. In fact, most of those who claim to be Jews today, like Netanyahu, have their origins in Khazaria- Georgia- and have nothing whatsoever to do with the Middleast. Be educated.
Tanzania did the right thing to vote against Trump. She voted for international legality (The UN and before it the League of the Nations, had ruled that nobody should appropriate lands belonging to others through acts of war. That's why, though the USA defeated Germany, it did not "annex" that country- as did Israel to a vast swathe of land). I am horrified at the ignorance and outright heartlessness of those who support Israel in this, despite the horrendous crimes that Israel is committing on daily basis on the children, the elderly and people of Palestine. Does your religion justify this, simply because the victim is not of your belief? Do you think your god is happy for this injustice? And who said the Jews have anything in common with the Christians? Didn't they kill your Jesus? I think Jesus would be seething with anger at you where he is! Do you think Jesus will be happy that you love those who killed him? Can't make any sense this one!
 
Hivi waarabu ni watoto wa kabila lipi kati ya zile 12????

Waarabu hawapo katika kizazi cha watoto 12 wa Mzee Jackob, wao wanaanzia shina lao kutoka kwa mtoto wa Nuhu aitwaye Ham
 
Many people, especially Christians, support Israel in this issue based on religious beliefs. But this is a very misguided and dangerous precedent. Because if you want to give Israel the land that had been inhabited by other people for thousands of years, based on the claim that they have returned to their land given to them by their god....then what about the Boers in South Africa who also claimed the same? What about Istanbul which was the centre of the Eastern (Orthodox) Christianity? What about the region of Catalonia in Spain which for 400 years was the seat of the Islamic empire? Imagine, if the Black Americans return today to Mali, Nigeria, Angola, DRC, Tanzania etc and claim these lands are theirs!
Are you going to return all these lands to their old, historical owners? But why then are you treating the Jews differently? These guys came mainly from Eastern Europe- Poland, Bulgaria, Romania- how sure are you about their Jewishness? Judaism used to be a religion, not a race. That means you do not have to be in Jerusalem to be Jewish. In fact, most of those who claim to be Jews today, like Netanyahu, have their origins in Khazaria- Georgia- and have nothing whatsoever to do with the Middleast. Be educated.
Tanzania did the right thing to vote against Trump. She voted for international legality (The UN and before it the League of the Nations, had ruled that nobody should appropriate lands belonging to others through acts of war. That's why, though the USA defeated Germany, it did not "annex" that country- as did Israel to a vast swathe of land). I am horrified at the ignorance and outright heartlessness of those who support Israel in this, despite the horrendous crimes that Israel is committing on daily basis on the children, the elderly and people of Palestine. Does your religion justify this, simply because the victim is not of your belief? Do you think your god is happy for this injustice? And who said the Jews have anything in common with the Christians? Didn't they kill your Jesus? I think Jesus would be seething with anger at you where he is! Do you think Jesus will be happy that you love those who killed him? Can't make any sense this one!

My friend you nailed it!
But some people think God is Jewish!. absurd!
 
My friend you nailed it!
But some people think God is Jewish!. absurd!

Today the Majority of Christians are in palestine controlled areas compared to the number that is in Israel, but shockingly their fellow Christians ( Protestants and Evangelicals) wouldn't care about their plight.

I commend the Catholic and Orthodox churches for standing with the suffering people of Palestine, The Catholic church has been there for more than 16 centuries, while the orthodox church has been there since the early spread of christianity, they have more facts and know the situation in Israel and Palestine better than these "born again" churches.
 
Sasa bwana nyabhera anakomaa kwamba Abrahamu ndiyo mwanzilishi wa taifa la Israeli.
Wakati hiyo kazi ilifanywa na Joshua na Kalebu.....!!!!
Btw thank you for understanding my assertion........
Merry Christmas in advance.......
Mbona Kaka unamulisha maneno mtumishi wa Mungu Nyabhera.

Fact. Jerusalem shall be on Israel. Hapo wanasubiri ka Vita tu waichukua mazima.

Yao UN wanasemaga tu hawasaidiagi taifa mwenye hela za kuchezea Duniani ni America tu. Ndo anaweza kupoteA hata Matrion kufanya misheni zake za kimataifa.

Unaungwa mkono na Tz pia unashangilia wakati kula tu tabu.

Dunia kuna mataifa 11 tu Wengine ni makundi ya wenye njaaaaa (In Rungwe's voice) haya ndo mataifa ambayo vote zao huwa zinaifikirisha US.

1. US.
2. Russia.
3. China.
4. German
5. Japan
6. UK.
8.Canada
9. France
10. Australia
11. Saudia

Wengine hawanabajeti kabisa wakitaka kufanya international mission hufadhiliwa na US Via UN
 
Mbona Kaka unamulisha maneno mtumishi wa Mungu Nyabhera.

Fact. Jerusalem shall be on Israel. Hapo wanasubiri ka Vita tu waichukua mazima.

Yao UN wanasemaga tu hawasaidiagi taifa mwenye hela za kuchezea Duniani ni America tu. Ndo anaweza kupoteA hata Matrion kufanya misheni zake za kimataifa.

Unaungwa mkono na Tz pia unashangilia wakati kula tu tabu.

Dunia kuna mataifa 11 tu Wengine ni makundi ya wenye njaaaaa (In Rungwe's voice) haya ndo mataifa ambayo vote zao huwa zinaifikirisha US.

1. US.
2. Russia.
3. China.
4. German
5. Japan
6. UK.
8.Canada
9. France
10. Australia
11. Saudia

Wengine hawanabajeti kabisa wakitaka kufanya international mission hufadhiliwa na US Via UN

Only Western Jerusalem, Forget about Eastern Jerusalem
 
Only Western Jerusalem, Forget about Eastern Jerusalem
Hata East hawakupewa na UN. 1967 chini ya Kamanda Moshe Dayan Waisrael Walitwaa Jerusalem yote. Koroho safi wakawapa Palestine hiyo West Jerusalem.

Je wajua polisi wa Israel ndo wanalinda Jerusalem yote. Kiusalama Jerusalem Yote iko chini ya Israel hadi Kesho.
 
Wengi hawalioni hili,
kilichotokea,yakobo alifanya yake tena kama babake isaack kupora haki ya wengine,
kama kweli kuna mungu sijui wa isaack,sijui wa Esau,
alikuwa very specific,
"abraham mimi ndimi mungu wako,nitaubariki UZAO wako na watakuwa wengi kama mchanga",

sasa wajanja kina yakobo wakaja na yao,kwanza sasa wakamwita mungu wa israel,sasa sijui kabla hajazaliwa yakobo ndo walikuwa wanamwita mungu wa abrahamu,
kesho ukishaangaa utakutwa anaitwa mungu wa NETANYAU.
hawa watu wako very crafty,

maneno ya huyo mungu kwa abraham ni ,"nitaubariki uzao wako"

sio ,"nitaubariki uzao wa mtoto wako yakobo"


sasa hawa wabinafsi wameshabadili tena,eti kumbe waliobarikiwa ni wayahudi kutoka yudea,
yaani kama wewe si myahudi basi hizo baraka hazikuhusu,

ndivyo watu wanavyochotwa akili,sasa ni mungu wa yuda,simba wa yuda,bwana wa majeshi.

It was all about Nationalism
 
Mfalme wa kwanza wa israel ni Saul,

baada ya hapo mpiga zumari wa mfalme,yaani Daud wa kabila la yuda akajitenga na kutawadhwa na nabii samweli kuwa mfalme wa yuda,kisha akaanzisha vita,civil war na kumuua Saul,kisha mtoto wa saul akaapishwa kuwa mfalme wa israel,kisha tena Daud akamuua mtoto wa sauli na kujitangaza mfalme wa israel yote,United kingdom of israel,
Daud akamzaa suleiman,lakini seleman hakutakiwa kuwa mfalme,mtoto mkubwa wa Daud ndo alitaka awe mfalme,mamake selemani akacheza mpaka mwanae ndo akawa mfalme,
wakati wa seleman palitulia kidogo,lakini alipokufa tu,utawala ukaganyika na haukupata kuungana tena.
Eneo ilipo west bank ndo ilikuwepo judea,
tatizo hapa ni kuwa israel wanashindwa watawapeleka wapi wapalestina,wakitaka kuwaua wote hawawezi,
wakitaka kuwapa uraia,
tatizo wapalestina wanazaliana mno,waisrael wanaogopa watamezwa,
sasa wana opt kuwaua taratibuna kuwaweka mazingira magumu labda baada ya miaka 1000 watatoweka,na ni vigumu wapalestina nao ndo wanazaana sana kufidia wale wanaouawa,huku waisrael wakizaa kizungu kwa mpango,
sasa guesse baada ya miaka 200 hali itakuwaje,
japo waziri wa mambo ya nje wa zamani wa marekani ,Henry kissinger ambae pia ni myahudi,kanukuliwa akisema,israel haitakuwepo katika miaka 10 ijayo
Mkuu acha utani miaka kumi yaani 2027
 
Do you know the meaning of a nation ???
How can a single man "Abraham" with two wives form a nation ???
Abraham did not form a nation BUT Jacob did, through his 12 sons that were called tribes. Bila shaka jibu hili litamsaidia asomapo.

Vv
 
I said founder.
Mkuu, kwenye Bible, Yakobo (Israel ) ndiye baba wa wana wa Israel ambao ni 12 na ndio waliounda taifa la Israeli kabla ya kugawanyika kuwa falme 2, ufalme wa Yuda na ufalme wa Israeli (Samaria ).

Vv
 
Mfalme wa kwanza wa israel ni Saul,

baada ya hapo mpiga zumari wa mfalme,yaani Daud wa kabila la yuda akajitenga na kutawadhwa na nabii samweli kuwa mfalme wa yuda,kisha akaanzisha vita,civil war na kumuua Saul,kisha mtoto wa saul akaapishwa kuwa mfalme wa israel,kisha tena Daud akamuua mtoto wa sauli na kujitangaza mfalme wa israel yote,United kingdom of israel,
Daud akamzaa suleiman,lakini seleman hakutakiwa kuwa mfalme,mtoto mkubwa wa Daud ndo alitaka awe mfalme,mamake selemani akacheza mpaka mwanae ndo akawa mfalme,
wakati wa seleman palitulia kidogo,lakini alipokufa tu,utawala ukaganyika na haukupata kuungana tena.
Eneo ilipo west bank ndo ilikuwepo judea,
tatizo hapa ni kuwa israel wanashindwa watawapeleka wapi wapalestina,wakitaka kuwaua wote hawawezi,
wakitaka kuwapa uraia,
tatizo wapalestina wanazaliana mno,waisrael wanaogopa watamezwa,
sasa wana opt kuwaua taratibuna kuwaweka mazingira magumu labda baada ya miaka 1000 watatoweka,na ni vigumu wapalestina nao ndo wanazaana sana kufidia wale wanaouawa,huku waisrael wakizaa kizungu kwa mpango,
sasa guesse baada ya miaka 200 hali itakuwaje,
japo waziri wa mambo ya nje wa zamani wa marekani ,Henry kissinger ambae pia ni myahudi,kanukuliwa akisema,israel haitakuwepo katika miaka 10 ijayo
Elungata, umeisoma wapi hiyo historia?

Vv
 
Do you know the meaning of a nation ???
How can a single man "Abraham" with two wives form a nation ???
Co tu nation, mtu mmoja anaweza form ulimwengu mzima, kwani cc wote c tumetokana na Adam? Unashangaa Abraham kuform taifa! Tena co taifa tu, mungu alimuahidi atakua baba wa mataifa, we boya nn!
 
Abraham did not form a nation BUT Jacob did, through his 12 sons that were called tribes. Bila shaka jibu hili litamsaidia asomapo.

Vv

Not all twelve tribes were children of Jacob, two of those are sons of Joseph ( Manaseh and Ephraim)
 
Back
Top Bottom