Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Kwanini agano la Mungu kutoka kwa Ibrahim liwe legally binding in any court of law kiasi cha kuwaondoa na kuwany'ang'anya nchi wakaazi?
Kwa nini msielezee uhalali wa waisraeli kuwepo Jerusalem kwa kutumia sheria za kimataifa?
Hayo maagano, hakuna mtu yeyote aliyeyaona wala hakuna signature yeyote kwenye waraka au andiko lolote. There's no MoU (legally binding) other than the British government granting independence to the colony of Palestine.
So, the timeline should be zeroed at that point and all arguments should be based on the Palestine independence as a legally binding "henceforth"

Mkuu hapa hautaeleweka kabisa, watu hawataangalia mahitaji na mikataba ya kisasa wanaegemea ktk history na hapo ndo unaona binaadam anarudi nyuma hasa ikifika suala la Palestine/Israel issue

Uhalalishaji wa dhuluma kwa eti tu nchi ya ahadi na sijui 'superior race' ni blah blah tu ukijumuisha na sijui wamebarikiwa na tukiwabariki nasi tunabarikiwa ni kujitoa ufahamu na kushindwa kutatua changamoto zetu kulingana na nyakati hizi

Na kwa kumalizia tu kama mungu kaisha teua Taifa teule na sijui kawabariki je sisi wengine ndo nafasi yetu ipo wapi kwa baba muumba au ndo tujipendekeze tu dah huu ukakasi kweli wa ubaguzi
 
Ahsante sana,
Hata Wayahudi baada ya Mfalme Baldwin kupigwa na Salahadini wao pia walikuwa Stateless. Eneo lote la Uyahudi likawa ni Palestina ya Waislamu na kila aliyekaa pale aliitwa Mpalestina.

Kama unadai Wayahudi walifukuzwa Yerusalemu na leo wana haki ya kudai mji wao, unadhani Wasamaria nao hawana haki ya kudai mji wao unaotaka uvamiwe na Wayahudi ???

Kibaya zaidi na mimi naweza kutumia dini kuthibitisha hili kwamba Wasamaria walipewa ule mji na Mungu. Hivyo haujawahi kuwa mali ya Wayahudi hata siku moja.

Hivyo kidini na kihistoria vyote hivi vinamfanya Myahudi asiwe na haki juu ya Samaria.

NB: Halafu Yudea iliunganishwa na Warumi na kutawaliwa na Herode na siyo Wayahudi wenyewe. Hata hivyo bado Wasamaria na Wayahudi walitofautiana sana na hata Wayahudi walijua kwamba eneo lile siyo lao.......
Wasamaria niwatu gani hao,,naomba maelezo kwahilo sana,,asili yao
 
Maeneo mbalimbali ya Nchi ya Israel yaligawanywa kwa mujibu wa Makabila 12 ya wana wa Yakobo, sasa kwa nini leo wana wa Yuda ( Wayahudi) wadai maeneo ya makabila mengine?
Makabila mengine yapo wapi,,,pia ukumbuke Yuda ndio aliyebarikiwa sana kuliko wengine wote,
 
A bit confusing though! For us the 10 tribes make Israel after the schism of the Confederacy in 993 BC. Then the tribes of Judah and Benjamin make up Judah of Judea.

Its not confusing at all,
After the exodus from Egypt Caleb (A Jew) was given Jerusalem.
The Areas of Samaria were given to the House of Joseph (Manasseh and Ephraim)

At the times when Judges ruled over the Hebraic Confederacy under the status remained the same,
Moreover at the times of kings before and after the Schism the status remained the same.
Every tribe was given possession of land by Joshua after the capture of Canaan.
This possession was sealed by a covenant they made with God at the tabernacle.

Unfortunately for the Jews,
If they use the Bible to assert their claim over Israel then it means they cannot possess all of the land,
Because it does not belong to them wholly, Samaria is a property of Ephraim and Manasseh.
 
Saladini alikuwa Sultan wa eneo lote la Mashariki ya kati hadi kufika Misri.
Halafu wewe unasahau vitu vya msingi sana. Unajua nini maana ya neno "Palestina" au "kwa lugha za Mashariki ya kati ??? Hilo neno limekuwepo hata kabla ya Uingereza kuwepo.

Mwisho kabisa,
Eneo la Samaria haliko Lebenon wewe.
Acha wongo kabisaaa, Samaria inapakana na Ufalme wa Yordan na West Bank....hebu muwe mnapitia hata Ramani basi....
Ndio maana Kwanini hawakwenda jordan
 
Kuna manabii kama Eliya na Eliah hawakuwa Wayahudi,
Hili hawezi kujibu hata siku moja maana anajua kwamba amepuyanga.
Kuhusu Eliya ametajwa kuwa mzawa Wa uko Wa Benjamin soma 1 chronicles 8:27.

Hata jina Eliya ni la dini ya Judaism likiwa na kiambishi Yeho.

NoteYoheva ni jina la Mungu kwa Juda na lilikua linapingwa Northern State.

Note Eliya Kiebrania ni Eliyehu.. Yehu ni kifupisho cha Yehova.


Kuhusu Elisha Bible haijataja Ukoo wake na Kabila lakini alikua Muyahudi kiimani aliamini Judaism si katika dini ya Northern iliyoamini Baal.
 
Wasamaria niwatu gani hao,,naomba maelezo kwahilo sana,,asili yao

Ni wale wana wa Israel wenye makabila kumi ya Ufalme wa Israel tofauti na Yuda na Benjamini.
Ufalme wao Ulivamiwa na Mfalme Shelmanasser kutoka Ashuru na akawachukua kuwapeleka utumwani.
Huko utumwani walichanganyika na watu wa mataifa hivyo Wayahudi wakawatengwa kwasababu waliona wamekuwa najisi.
Ikumbukwe Wahebrania walikuwa hawachangamani na mataifa mengine.

NB: Samaria ndiyo ulikuwa mji mkuu wa Ufalme wa Israel kipindi cha Mfalme Yeroboam ambaye alikuwa ametokea kabila la Ephraimu. Ni sawa na leo mtu wa NEWYORK kujiita NEWYORKER.
 
Kihistoria Assyria ilipovamia Israel siyo wasamaria wote waliondoka Israel, baadhi walibaki and then dola ya WaAssyria ilichukua watu kutoka mataifa mengine na kuwasettle hapo Israel ( Hapa tunazungumza miaka zaidi ya 600) kabla ya Kristo. Kwa hiyo mpaka Yesu anakuja Israel ilikuwa na mchanganyiko wa damu ya watu wa mataifa mengi, wakiwemo ISRAELITES original, Kuna watu walioletwa na WaASsyria kuishi Israel miaka mingi iliyopita lakini wakaconvert kufuata dini ya Kiyahudi kabla hata ya Yesu hajaja.
Pia ukisoma Historia, ilikuwepo jamii ya Wasamaria hata kipindi cha Yesu, na pia hata Waislamu walipoiteka Jerusalem miaka zaidi ya 600 baada ya Kristo ilikuwepo jamii ya Wasamaria pale waliosilimu na kuwa Waislamu, wengine waliamua kuendelea na version yao ya dini ya Kiyahudi, Hawa walilindwa na Waislamu kwa sababu nao pia walitambulika kama " Watu wa Kitabu"
 
That's nonsense to think about who belong to Jerusalem
 
Israel anamsadia america?

Amesema nchi zitakazopingana na US kwenye kura UN za kupinga tamko la Trump kuutambua Yerusalem kama mji mkuu wa Israel hazitapata msaada tena kutoka US.
 
Misaada ni fedha za wananchi wa Marekani na siyo Trump.
Egypt itapinga mji mkuu kuwa Jerusalem na misaada watapata. Hii ni kwa faida ya US.

Mkuu hayo unasema wewe, umemsikia Trump alichokisema baada ya kuweka veto kwenye kikao cha dharura cha UN kitakachoitishwa kupinga tamko lake dhidi ya Yerusalem?
 
Kihistoria Assyria ilipovamia Israel siyo wasamaria wote waliondoka Israel, baadhi walibaki and then dola ya WaAssyria ilichukua watu kutoka mataifa mengine na kuwasettle hapo Israel ( Hapa tunazungumza miaka zaidi ya 600) kabla ya Kristo. Kwa hiyo mpaka Yesu anakuja Israel ilikuwa na mchanganyiko wa damu ya watu wa mataifa mengi, wakiwemo ISRAELITES original, Kuna watu walioletwa na WaASsyria kuishi Israel miaka mingi iliyopita lakini wakaconvert kufuata dini ya Kiyahudi kabla hata ya Yesu hajaja.
Pia ukisoma Historia, ilikuwepo jamii ya Wasamaria hata kipindi cha Yesu, na pia hata Waislamu walipoiteka Jerusalem miaka zaidi ya 600 baada ya Kristo ilikuwepo jamii ya Wasamaria pale waliosilimu na kuwa Waislamu, wengine waliamua kuendelea na version yao ya dini ya Kiyahudi, Hawa walilindwa na Waislamu kwa sababu nao pia walitambulika kama " Watu wa Kitabu"
Unachanganya mambo. Histiria ya Samaria haina tija tena as waliachana na agano la Mungu wakafata miungu wengine is Baal.

Nchi ya Yuda haikutekwa na Assyria. Ilikuja kutekwa na Babeli miaka mingi baada ya Samaria kuanguka.

Baadae Babel ikawaaachia wayahudi nao wakarudi Israel/ Judea. Tangu hapo hawakuwahi kupata taifa huru tena hadi mwaka 1948.

Kipindi chote hicho cha miaka 2000 na zaidi kidogo wamepitia majanga na harakati tofauti

1. Kuwa chini ya Warumi.
2. Kuwa chini ya Waislam.
3. Kuwa chini ya Crusader.
4. Kuwa chini ya Saladin
6 kuwa chini ya Crusader tena.
7. Kuwa chini ya Ottoman
8. Kuwa chini ya Waingereza.

Note Jews and Judaism hawajawi kuchangamna na mataifa hadi kesho.

Na hii ndo sababu ya kuchukiwa na kuuwawa Russia na German
 
What's difference between Jewish people and Israel?
It's biblical. Jews are Israelis because Israel is the father of Jude, one of the 12 sons. Samaria was a combination of 10 tribes that rebelled the living God and were wiped away leaving the tribe of juda as the only Israeli people. It's the people of tribe of Judah that are the JEWS.
 
Unachanganya mambo. Histiria ya Samaria haina tija tena as waliachana na agano la Mungu wakafata miungu wengine is Baal.
Note Jews and Judaism hawajawi kuchangamna na mataifa hadi kesho.

Kwa hiyo hapa unataka kusema Biblia na manabii wanaongopa, ???

11. And it shall come to pass on that day, that the Lord will set His hand again the second time to recover the remnant of His people, that shall remain from Assyria, and from Egypt and from Pathros and from Kush and from Eklam and from Shinar and from Hamath and from the islands of the sea.
12. And he shall set up an ensign for the nations and will assemble the dispersed of Israel and gather together the scattered of Judah from the four corners of the Earth.

Isaiah 11: 11-12

3 "The days are coming, 'declares the LORD,' when I will bring my people Israel and Judah back from captivity and restore them to the land I gave their ancestors to possess," says the LORD.

Jeremiah 30:3

NB: Teh teh teh teh, kweli manabii wa uwongo mpo wengi sana.
 
Back
Top Bottom