Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Netanyahu: Jerusalem, Judea and Samaria will never again be taken from us!

Mfalme wa kwanza wa israel ni Saul,

baada ya hapo mpiga zumari wa mfalme,yaani Daud wa kabila la yuda akajitenga na kutawadhwa na nabii samweli kuwa mfalme wa yuda,kisha akaanzisha vita,civil war na kumuua Saul,kisha mtoto wa saul akaapishwa kuwa mfalme wa israel,kisha tena Daud akamuua mtoto wa sauli na kujitangaza mfalme wa israel yote,United kingdom of israel,
Daud akamzaa suleiman,lakini seleman hakutakiwa kuwa mfalme,mtoto mkubwa wa Daud ndo alitaka awe mfalme,mamake selemani akacheza mpaka mwanae ndo akawa mfalme,
wakati wa seleman palitulia kidogo,lakini alipokufa tu,utawala ukaganyika na haukupata kuungana tena.
Eneo ilipo west bank ndo ilikuwepo judea,
tatizo hapa ni kuwa israel wanashindwa watawapeleka wapi wapalestina,wakitaka kuwaua wote hawawezi,
wakitaka kuwapa uraia,
tatizo wapalestina wanazaliana mno,waisrael wanaogopa watamezwa,
sasa wana opt kuwaua taratibuna kuwaweka mazingira magumu labda baada ya miaka 1000 watatoweka,na ni vigumu wapalestina nao ndo wanazaana sana kufidia wale wanaouawa,huku waisrael wakizaa kizungu kwa mpango,
sasa guesse baada ya miaka 200 hali itakuwaje,
japo waziri wa mambo ya nje wa zamani wa marekani ,Henry kissinger ambae pia ni myahudi,kanukuliwa akisema,israel haitakuwepo katika miaka 10 ijayo
 
Mfalme wa kwanza wa israel ni Saul,

baada ya hapo mpiga zumari wa mfalme,yaani Daud wa kabila la yuda akajitenga na kutawadhwa na nabii samweli kuwa mfalme wa yuda,kisha akaanzisha vita,civil war na kumuua Saul,kisha mtoto wa saul akaapishwa kuwa mfalme wa israel,kisha tena Daud akamuua mtoto wa sauli na kujitangaza mfalme wa israel yote,United kingdom of israel,
Daud akamzaa suleiman,lakini seleman hakutakiwa kuwa mfalme,mtoto mkubwa wa Daud ndo alitaka awe mfalme,mamake selemani akacheza mpaka mwanae ndo akawa mfalme,
wakati wa seleman palitulia kidogo,lakini alipokufa tu,utawala ukaganyika na haukupata kuungana tena.
Eneo ilipo west bank ndo ilikuwepo judea,
tatizo hapa ni kuwa israel wanashindwa watawapeleka wapi wapalestina,wakitaka kuwaua wote hawawezi,
wakitaka kuwapa uraia,
tatizo wapalestina wanazaliana mno,waisrael wanaogopa watamezwa,
sasa wana opt kuwaua taratibuna kuwaweka mazingira magumu labda baada ya miaka 1000 watatoweka,na ni vigumu wapalestina nao ndo wanazaana sana kufidia wale wanaouawa,huku waisrael wakizaa kizungu kwa mpango,
sasa guesse baada ya miaka 200 hali itakuwaje,
japo waziri wa mambo ya nje wa zamani wa marekani ,Henry kissinger ambae pia ni myahudi,kanukuliwa akisema,israel haitakuwepo katika miaka 10 ijayo
Ukitazama documentary niliyoshea "Who owns Jerusalem?" utagundua hakukuwahi kuwa na taifa liitwalo Palestine. Wote wanaojiita Wapelestina ni waarabu na walianza kujiita wapalestina kama counter attack ili kulifuta Israel kwenye uso wa Dunia
 
Samaria ni makao makuu ya Ufalme wa Israel,
Wakati Yerusalemu ni makao makuu ya Ufalme wa Yuda.
Baada ya Mfalme Suleimani kufa Ufalme wa Israeli uligawanyika sehemu mbili.
Kaskazini makabila kumi ya Israel (Ufalme wa Israel) na Kusini makabila mawili ya Yuda na Benjamini (Ufalme wa Yuda)
Ngoja nikuendelezee baadae Taifa linaloitwa Israel lilimezwa na Assyria Wasamaria wakawa stateless. Walipokuja Warumi eneo lote la Israel na Juda likawa likaitwa Judea. Na kila aliyeishi Judea aliitwa a Jew.
 
From your arguments, no wonder you will call Tanzania or Kenya a nation.
Masahihisho.

Daudi hakumuua Saul bali sauli alijiua mwenyewe baada ya kuzidiwa vita na Wafilist.

Daudi hakumuua Mwana Wa Saul bali aliuuwa na wafanyakazi wake ili Israel iwe na mfalme mmoja.

Daudi ndiye iliyetawazwa kuwa mfalme si Mwana Wa Saul. Nabii ailiyempaka mafuta Saul ndiye aliyempaka mafuta Daudi.
Mfalme wa kwanza wa israel ni Saul,

baada ya hapo mpiga zumari wa mfalme,yaani Daud wa kabila la yuda akajitenga na kutawadhwa na nabii samweli kuwa mfalme wa yuda,kisha akaanzisha vita,civil war na kumuua Saul,kisha mtoto wa saul akaapishwa kuwa mfalme wa israel,kisha tena Daud akamuua mtoto wa sauli na kujitangaza mfalme wa israel yote,United kingdom of israel,
Daud akamzaa suleiman,lakini seleman hakutakiwa kuwa mfalme,mtoto mkubwa wa Daud ndo alitaka awe mfalme,mamake selemani akacheza mpaka mwanae ndo akawa mfalme,
wakati wa seleman palitulia kidogo,lakini alipokufa tu,utawala ukaganyika na haukupata kuungana tena.
Eneo ilipo west bank ndo ilikuwepo judea,
tatizo hapa ni kuwa israel wanashindwa watawapeleka wapi wapalestina,wakitaka kuwaua wote hawawezi,
wakitaka kuwapa uraia,
tatizo wapalestina wanazaliana mno,waisrael wanaogopa watamezwa,
sasa wana opt kuwaua taratibuna kuwaweka mazingira magumu labda baada ya miaka 1000 watatoweka,na ni vigumu wapalestina nao ndo wanazaana sana kufidia wale wanaouawa,huku waisrael wakizaa kizungu kwa mpango,
sasa guesse baada ya miaka 200 hali itakuwaje,
japo waziri wa mambo ya nje wa zamani wa marekani ,Henry kissinger ambae pia ni myahudi,kanukuliwa akisema,israel haitakuwepo katika miaka 10 ijayo
 
Ukitazama documentary niliyoshea "Who owns Jerusalem?" utagundua hakukuwahi kuwa na taifa liitwalo Palestine. Wote wanaojiita Wapelestina ni waarabu na walianza kujiita wapalestina kama counter attack ili kulifuta Israel kwenye uso wa Dunia.

Yes ni kweli ni waarabu. Sema ndo ivo wana world support
 
Ngoja nikuendelezee baadae Taifa linaloitwa Israel lilimezwa na Assyria Wasamaria wakawa stateless. Walipokuja Warumi eneo lote la Israel na Juda likawa likaitwa Judea. Na kila aliyeishi Judea aliitwa a Jew.
Ahsante sana,
Hata Wayahudi baada ya Mfalme Baldwin kupigwa na Salahadini wao pia walikuwa Stateless. Eneo lote la Uyahudi likawa ni Palestina ya Waislamu na kila aliyekaa pale aliitwa Mpalestina.

Kama unadai Wayahudi walifukuzwa Yerusalemu na leo wana haki ya kudai mji wao, unadhani Wasamaria nao hawana haki ya kudai mji wao unaotaka uvamiwe na Wayahudi ???

Kibaya zaidi na mimi naweza kutumia dini kuthibitisha hili kwamba Wasamaria walipewa ule mji na Mungu. Hivyo haujawahi kuwa mali ya Wayahudi hata siku moja.

Hivyo kidini na kihistoria vyote hivi vinamfanya Myahudi asiwe na haki juu ya Samaria.

NB: Halafu Yudea iliunganishwa na Warumi na kutawaliwa na Herode na siyo Wayahudi wenyewe. Hata hivyo bado Wasamaria na Wayahudi walitofautiana sana na hata Wayahudi walijua kwamba eneo lile siyo lao.......
 
Ahsante sana,
Hata Wayahudi baada ya Mfalme Baldwin kupigwa na Salahadini wao pia walikuwa Stateless. Eneo lote la Uyahudi likawa ni Palestina ya Waislamu na kila aliyekaa pale aliitwa Mpalestina.

Kama unadai Wayahudi walifukuzwa Yerusalemu na leo wana haki ya kudai mji wao, unadhani Wasamaria nao hawana haki ya kudai mji wao unaotaka uvamiwe na Wayahudi ???

Kibaya zaidi na mimi naweza kutumia dini kuthibitisha hili kwamba Wasamaria walipewa ule mji na Mungu. Hivyo haujawahi kuwa mali ya Wayahudi hata siku moja.

Hivyo kidini na kihistoria vyote hivi vinamfanya Myahudi asiwe na haki juu ya Samaria.

NB: Halafu Yudea iliunganishwa na Warumi na kutawaliwa na Herode na siyo Wayahudi wenyewe. Hata hivyo bado Wasamaria na Wayahudi walitofautiana sana na hata Wayahudi walijua kwamba eneo lile siyo lao.......
Malcolm.

Thibitisha kuwa Saladin aliita Judea kuwa Palestine.

Fact. Judea na Israel imeitwa Palestine na Waingereza Juzi tu baada ya WW1.

Na Samaria ni Lebanon si Israel ya sasa hii ni Judea tangu na tangu
 
Malcolm.

Thibitisha kuwa Saladin aliita Judea kuwa Palestine.

Fact. Judea na Israel imeitwa Palestine na Waingereza Juzi tu baada ya WW1.

Na Samaria ni Lebanon si Israel ya sasa hii ni Judea tangu na tangu
Saladini alikuwa Sultan wa eneo lote la Mashariki ya kati hadi kufika Misri.
Halafu wewe unasahau vitu vya msingi sana. Unajua nini maana ya neno "Palestina" au "kwa lugha za Mashariki ya kati ??? Hilo neno limekuwepo hata kabla ya Uingereza kuwepo.

Mwisho kabisa,
Eneo la Samaria haliko Lebenon wewe.
Acha wongo kabisaaa, Samaria inapakana na Ufalme wa Yordan na West Bank....hebu muwe mnapitia hata Ramani basi....
 
Ukitazama documentary niliyoshea "Who owns Jerusalem?" utagundua hakukuwahi kuwa na taifa liitwalo Palestine. Wote wanaojiita Wapelestina ni waarabu na walianza kujiita wapalestina kama counter attack ili kulifuta Israel kwenye uso wa Dunia
Mbona hata hawa Wayahudi hasa Ashkenazi wanalalamikiwa kwamba ni Wazungu kutokea Ulaya Mashariki ???

Watu wa Mashariki ya kati wanakuwaje na macho ya bluu na nywele nyeupe kama alivyo bwana Speilberg ???
 
Back
Top Bottom