Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

Kumbe nilikuwa nauziwa, licha ya kujitahidi kutafuta ili tuishi kumbe haikuwa hivyo. Nimemsamehe acha waoane na waishi kwa amani.
 
Nakuombea kama adui yangu kama maandiko matakatifu ya Biblia yanavonitaka,mtego mkubwa ulioweka kwenye maisha yangu umegeuka mbaraka mkubwa sanaa kuliko nilivyodhani
 
tena wagongwe na treni yeye na kibaasha chake wasiwepo kabisa katika uso huu wa dunia unaijua akaunti yangu nadhani umenipata na siku nikimiliki mguu wa kuku nawadungua hizo ngoko zenu mkiingia katika anga zangu
mfyuuuuuuuu !
Duh! Walikukosea nini mkuu? Ila dua ka kuku.......
 
Maneno yangu huwa yako kwenye wimbo wa mwanamuziki Michael Learns to Rock.... That's Why you go away...... Baby want tell me why there is sadness in your eyes... I don't wanna say goodbye to you... Love is one big illusion I should try to forget but there is something left in my head........duh!
 
Siwez kukulaumu kuniacha na kwenda ila moyo nitahukumu kuthubutu kukupenda kwani walee.. walokurubuni kwa mengi pengine walikosea..

Thanx jimmy chansa
 
Mahusiano nikama safari , na safari yangu na wewe imeishi hapo, hivyo uishi kwa amani na sitaki mawasiliano na wewe
 
Back
Top Bottom