Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,812
- 6,327
Uwa natamani nimwambie hivi "Mikosi iendelee kumuandama na ulokole wake feki" lakini uwa naishia kumwambia " kila la heri"
umempata mwenye jipya mkuu
hakikaAtalia Mara 100 zaid yangu.kwani ukitend mema unalipwa mema.Na ukitenda mabaya utalipwa mabaya tna yatakuw yamemwagiliwa vizuri ili maumiv yawe machungu zaidi
sema unachojiskia mkuuUwa natamani nimwambie hivi "Mikosi iendelee kumuandama na ulokole wake feki" lakini uwa naishia kumwambia " kila la heri"
nadhani yatamfikiaSend my love [emoji173] to your new lover
Hapana mkuu ..Duh hao ni wengi inaonekana
masaa hayarudi nyumammmmh! Imebaki story tu...yaliyopita si ndwele, tu.....
ongeza maombi mkuu
- Aelewe tu nina kinyogo nae,na kila siku namuombea mungu amlipie hapa hapa duniani huku nikijionea,,
Namtakia heri na baraka katika maisha yake
duuhh mpenz yamenogaMi simkumbuki hata kdg mpaka sura nishaisahau...maana nilompata amenisahaulisha kabisaa hata sura ya x...Namshukuru Mungu kwa kweli