Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

Maombi ya meshaanza kujibu,ameanza taratibu kuona dunia ilivyo na bado na mfungia siku saba tena ili azidi kujionea kuwa chozi l mtu haliendi bure, maana biblia inasema akupigie kwa upanga mlipe kwa upanga
asa hvi biblia hairuhusu malipizi mkuu
 
humu inawezekana kuna ma X na wanaombeana mabaya
yaani kwamba ma X wote n wabaya ila ww ndo ulikuwa mwema.
 
Back
Top Bottom