Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

Natamani ile namna ungebadilika uendane na maisha kwasababu ulikuwa muaminifu na hukuwa hata na chembe ya ukicheche ila sasa ndiyo hivyo
 
Maombi ya meshaanza kujibu,ameanza taratibu kuona dunia ilivyo na bado na mfungia siku saba tena ili azidi kujionea kuwa chozi l mtu haliendi bure, maana biblia inasema akupigie kwa upanga mlipe kwa upanga
mkuu naomba nipe kitabu na aya ya maneno hayo ktk biblia.
 
One of word i hate to hear is FOREVER,
i don't believe on it's existence.
She used to say it as many time
I will love u forever n' i am crying alone.

Too bad i can't love no more trusting non either its not in my control just happene' bein' so
Love do hurt do not hurt one for sure
I don't wish u bad good neither
They say time heal but this don't happen to me.
I loved u
Ooh! How touching,
Some people like to say, I WILL LOVE YOU FOREVER, damn! Who knows where Forever will take us.

I hate that word too, FOREVER.
 
Daa napata wakat mgum sana aoneshi kujali najaribu nam kukaa kimya ila inafika wakati nashindwa nafuta no zake ila inafika wakati natafuta tena no ila nimeweka nadhiri nisimtafute tena naomba mungu anisimamie kwa hilo
Hata mie iko hivi ila aishi kwa amani tu.
 
Daa napata wakat mgum sana aoneshi kujali najaribu nam kukaa kimya ila inafika wakati nashindwa nafuta no zake ila inafika wakati natafuta tena no ila nimeweka nadhiri nisimtafute tena naomba mungu anisimamie kwa hilo
Wewe Kama nashindwa kusahau kabsaa naishi kwenye maumivu yasiyo na mfano, daah Mungu nisaidie
 
Back
Top Bottom