Neno lolote kwa ex wako

Neno lolote kwa ex wako

Aache kunisumbua mbona mimi simfatiliii nimemove on huu mwaka wa 3 ila bado ananisumbua na ameishaoa ila bado kunifatilia ili iweje.
 
Mambo haya yanaumiza sana na upande wako umeumiza sana. Mara nyingi inatokea hivyo, ila kibaya kutapeliwa penzi na mali inauma zaidi. Mmekutana anasingizia umesababisha aachwe unabeba mzigo una invest ukimweka pazuri akiona kapata basi unapigwa teke. Waache waoane nawaombea maisha marefu, nimeshasamehe ila inauma sana.
 
Mambo haya yanaumiza sana na upande wako umeumiza sana. Mara nyingi inatokea hivyo, ila kibaya kutapeliwa penzi na mali inauma zaidi. Mmekutana anasingizia umesababisha aachwe unabeba mzigo una invest ukimweka pazuri akiona kapata basi unapigwa teke. Waache waoane nawaombea maisha marefu, nimeshasamehe ila inauma sana.
pole mkuu hayo ndo matokeo ya mapenzi ni kuumia au kuumizwa
 
Back
Top Bottom