Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Baada ya minyanduano ya hapa na pale, neno gani la shukurani huwa unamwambia mwenza wako?
😃😃 kwa nini mkuu? Huwa hakufurahishi?Vaa nguo uondoke. Ntakupiga. Na usije tena hapa
Don't be that much serious,fella!Sasa mambo ya faragha yanafaidia nini kuyaweka hapa?
Hao ndio wale madingi wanokoDon't be that much serious,fella!
Unamuonea.Ana aibuaibu anaonekana.Hao ndio wale madingi wanoko
Heh unamwambia Duh aiseee unakuwa umechoka sana auDuh aiseee
Wa hapa Nord Kivu;Hatumalizi vita mpaka muitike ya bien.Bana Congo balizoea kukamata magitaa na kutosha mizique ya muzuri.Eske tunataka bayue kushika mabunduki na kutumika marisasi mzuri mpaka bapate le'ipedence mara ya pili.WA Iringa Tanzania Kwann Kongo Wasimalize Hiyo Vita Maan Inavuruga Uchumi WA Nchi Yao