Siku hizi Jf kuna kejeli na mizaha mingiii kama Insta vile!Kwani jf chombo Cha Moto?
Hivi kupakia mishikaki kuna madhara zaidi ya kukiuka masharti ya alama za usalama barabarani?Ni kweri kabisa ijapo boda boda nao walitumia mwanya huo vibaya kwa kupakia abilia zaidi ya mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mishikaki kuliko kukiuka alama na sheria za barabarani. Ila askari wetu hawaoni na kutambua hiloHivi kupakia mishikaki kuna madhara zaidi ya kukiuka masharti ya alama za usalama barabarani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna zuri hata moja alilofanya? Au tunasibiri hadi afe ndo tuseme?
Kafukuzwa kazi na mwalimu wake akamshangaa alivyo kuwepo kwenye uzinduzi wa nyumba za magerezaFull 8, Sijakaa na kufungua vyombo vya habari. Kwani kawaje Kangi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna zuri hata moja alilofanya? Au tunasibiri hadi afe ndo tuseme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wote tutankumbuka kwa ruksa yake mabasi kutembea Usiku kucha, imetupunguzia adha ya kulala Msamvu pasipo sababu za msingi. Hongera sana Ninja