Nenda Lugola, Bodaboda watakukumbuka

Nenda Lugola, Bodaboda watakukumbuka

Lugola ingawa aliwahi kuwa polis ila alikuwa waziri Wa mambo hovyo Mara kumi ya mwigulu, alichojua Ni kuzungusha viuno tu Na tambo zisizo Na mashiko
 
ni sahihi kabisa Lugola alidhibiti. unyanyasaji wa bodaboda na ajari zilipungua sana kwa sababu kukimbizana kwenye mataa na kwingineko kulipungua. Jpm naye amewasemea makundi yote Ila hajawahi kuwasemea bodaboda kwa kuwa anaamini kura zote za bodaboda zilienda ukawa 2015.
 
Mimi sio bodaboda ila nimeshuhudia leo vijana wanakimbizwa kwenye vijiwe vyao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mtetezi wa boda boda.

Je umefanya kautafiti kadogo ka kubaini tangia Lugola awatete hao mabodaboda wao mabodaboda wamesabanisha vifo na ulemavu wa kudumu kwa watu wangapi? Lkn pia umebaini ni bodaboda wangapi wamekufa na kujisababishia ulemavu wa kudumu.

Penda kujua pande zote mbili za shillingi ndiyo utaitafasili vizuri hiyo shillingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada, Fanya utafiti ndio uandike.
Kangi Ligola ndiye waziri wa mambo ya Ndani aliyeyumba sana hapa tz tangu Zinja thropas Agundulike pale Ngorongoro.
1.Boda boda ajal za wao kwa wao ziliongezeka mara dufu
2.Ajali za boda boda na vyombo vingine ziliongezeka
3.Boda kwa pedestrian ndio ilikuwa janga la taifa. Acha wanyoshwe tena ikiwezekana wamkamate na Kangi.
Namba unayopiga kwa kangi haipatikan
 
Kabla ya Lugola kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani bodaboda walikuwa wananyanyaswa sana na askari, kila askari aliyekuwa ana shida na pesa alikuwa anazitafutia kwa bodaboda, lakini Lugola alidhibiti hali hii na huenda ikawa sababu ya kuchukiwa na askari polisi maana alikata mirija yao.

Leo nimeshuhudia tena polisi wakianza kukamata pikipiki tena kwa kuwafukuza waendesha bodaboda kwenye vijiwe ni dhahiri kuwa pikipiki zinaenda kujazana tena kwenye vituo vya polisi, lakini ajali nyingi za bodaboda zinasababishwa na kufukuzwa na askari polisi.

Wito kwa waziri mpya azuie hili la polisi kuwafanya bodaboda mitaji zuio la Lugola liendelee kufanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
We waambie wafate sheria basi sio ukisimamishwa unakimbia
 
Lugola ingawa aliwahi kuwa polis ila alikuwa waziri Wa mambo hovyo Mara kumi ya mwigulu, alichojua Ni kuzungusha viuno tu Na tambo zisizo Na mashiko
Ubovu wake ulikuwa kwenye nini hasa?? Au akishaongea mkulu basi wote mnafatisha kama manyumbu? Akisema alikosea na kumrudisha mnageuka na kuanza kusifu na kupongeza!! Wooiiii
 
Tusubiri tena akiwa rais wa nchi
 
Mh Rais ulipokuwa unafungua nyumba za askari magereza kule Ukonga ulisema unampenda sana Lugola na alikuwa mwanafunzi wako pale sengerema sekondari. Ila kwa yaliyotokea ndio hivyo tena. Ila ulisisitiza unampenda.

Nimezunguka zunguka kwenye vijiwe vya bodaboda, kahawa na sehemu mbalimbali Kangi Lugola ni kipenzi cha wananchi maskini na wanyonge. Wanasema alikuwa msaada kwa waliokuwa wanaonewa na askari wasio na maadili (PT) Aliwanyoosha na alijitahidi sana japokuwa hakumaliza kabisa kero zote (hasa ubambikizaji kesi) Alafu wananchi wengi wanahoji mbona (PT) pekee ndio wamefurahi sana?

Sio Magereza au ZM? Tuache vyombo vya kiuchunguzi vitende haki kama kweli alihusika ijulikane. Ila Mh Simbachawene atembelee mule mule kama alivyokuwa anafanya ninja.
 
Lionchawene anaweza tumpe muda, sidhani na yeye ataingia kwenye mtego wa ufisadi
 
Ila wakuu tukitafakari vyema hivi kweli mpk hawa wakuu kwenda kusaini huo mkataba wa takribani 1t ikulu isijue kweli kwanza waliendaje bila kibali maana tuliambiwa hakuna mtumishi kwenda nje bila kibali cha ikulu

Nadhani hapa tumelishwa taarifa mbaya ili tuwaone hawa wakuu hawafai na kwa kuwa wana kiapo hawawezi kusema
Word

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugora!!!
Nliiandika humu.wee Lugora achana kunyanyasa walokole mitume na manabii akajitia mjuaji na hajali Kiko wapi aende zake huko na amwambie Sophia Mjema mkuu wa wilaya ya Ilala anayejifanya babe pamoja na kuonywa .Ajiandae na ujuaji wake wa kuegemea kwa Lugora Ajiandae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom