Nenda Lugola, Bodaboda watakukumbuka

Nenda Lugola, Bodaboda watakukumbuka

Ila wakuu tukitafakari vyema hivi kweli mpk hawa wakuu kwenda kusaini huo mkataba wa takribani 1t ikulu isijue kweli kwanza waliendaje bila kibali maana tuliambiwa hakuna mtumishi kwenda nje bila kibali cha ikulu

Nadhani hapa tumelishwa taarifa mbaya ili tuwaone hawa wakuu hawafai na kwa kuwa wana kiapo hawawezi kusema

Hapo dish liliyumba, kwa hy tv ilionesha chenga chenga
 
Ila wakuu tukitafakari vyema hivi kweli mpk hawa wakuu kwenda kusaini huo mkataba wa takribani 1t ikulu isijue kweli kwanza waliendaje bila kibali maana tuliambiwa hakuna mtumishi kwenda nje bila kibali cha ikulu

Nadhani hapa tumelishwa taarifa mbaya ili tuwaone hawa wakuu hawafai na kwa kuwa wana kiapo hawawezi kusema
Mie naona hata mkataba ulikwa na lengo zuri, tatizo ni kupewa posho ya vikao na tiketi. Technology ya drone yaweza kuwa muhimu na si lazima kuzimia moto, bali kutumika kwenye kuhakiki taarifa za majanga, mara ngapi tumesikia zimamoto wameenda kwenye tukio bila maji? Mara ngapi tumesikia watu wakituma taarifa za uongo za majanga? Basi drone zitakuwa zinahakiki ili kupata taarifa sahihi, na kupunguza ucheleweshaji wa uokozi. Tunaenda kuwa Nchi ya kipato cha kati, hivyo hatuwezi kuliacha jeshi la uokozi nyuma, posho za vikao kugharamia usafiri si rushwa. Vikao vingapi vinafanyika Nchini watu wanapata posho?
 
Watanzania wote tutankumbuka kwa ruksa yake mabasi kutembea Usiku kucha, imetupunguzia adha ya kulala Msamvu pasipo sababu za msingi. Hongera sana Ninja
Hili ni Bomu lililotegeshwa Siku likilipuka ndio Utajua Kwa nini yalizuiwa kupita Usiku.
 
Hili ni Bomu lililotegeshwa Siku likilipuka ndio Utajua Kwa nini yalizuiwa kupita Usiku.
Bomu gani mkuu, nadhani kama madereva wakifuata sheria vizuri na polisi wakafanya kazi yao ipasavyo, kulala njiani itakua historia
 
Back
Top Bottom