Ualimu kwa matokeo hayo hapati na special diploma hata asijaribuhuwezi kujiunga na advance gadi uwe na c3...chuo cha walimu unaweza kwenda ....kama pia ni masomo ya sayansi jaribu kuomba udom special diploma
Ni kweli ndo maana div four haina nafasi tena vyuo vya ualimuIla mkuu linawezekana kwa vyuo vya serikali kweli...
Halafu pia, nilisikia hakuna certificates now days, ni diploma ya 3 yrs....mwaka Wa kwanza Wa masomo wana-assume ni level ya certificate then unaunganisha...
Hili ni la kweli wakuu?
Mkuu usiseseme hivo huwa inatokea inakuwa ngumu kabisa kupata hizo C3...Rudia shule kilaza inakuwa vipi kwenye masomo tisa unashindwa kupata angalau "C" tatu kwanza ambao wanaunganisha sijui vyeti viwili ndio kwenda A level anaona bado vilaza ata CV zao wakibahatika angalau kupata Three A level zinakuwa hazipo stable.Kupata Div One na Div Four ni rahisi kuliko kupata Div Two.ukiwa na misingi mizuri kupata kijiti O level na A level ni rahisi sana
Hiyo diploma anaipigia kwa matokeo yapi??kama ni div 4 asahauBora kupiga diploma ukimaliza unaanza life au km vp unaenda degree huku ukiwa fit kitaaluma kuliko kureseat halaf ukose credit au ukiipata halaf ukute kigingi tena A level...Think twice
Chiwaso kwa form v C mbili haiwezekani kwa mujibu wa waraka wa elimu namba 3 wa mwaka 2015 unaohusu sifa za mwanafunzi kujiunga na kidato cha tano.Very posible, hizo C ni za masomo gani?
Kijana Kama unataka kufanikiwa darasani, achana na ku-chart na internet na Smart phone. Hivi vitu ni fashion na vitapita.Hivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
waongeze kuwe na F+ na F . F+ iwe 15-34 na F iwe 0-14
Mku katibu mkuu wa NECTA aliulizwa na Ivona Kamuntu wa Azam tv kuhusu madaraja na tofauti zake ni zipi kutoka kwenye mfumo wa GPA kwenda kwenye mfumo wa division. Katibu huyo akasema namnukuu "tofauti ni namna tu ya daraja linavohesabika kwani wakati wa GPA D ilianzia 30 na A ilianzia 75 na kwa sasa kwenye division bado D imeanzia 30 na A imeanzia 75" mwisho wa kunukuu, Sasa hapo haijaeleweka bado madaraja yamekaje,kwanini nectar hawajutuwekea madarja yote kwa ujumla wake?hujaeleweka. Weka yale madaraja yalivyokuwa tukumbuke
Ni hapo hapo mkuu ilimradi isiwe 0-34. Na tumalize ubishe tuwe kwenye kueleweshanaEnzi zenu ilikuwa mwaka gani,maana najua F ilianzia 0-20
Leo nilikua nasikiliza Katibu mkuu wa necta akitoa taarifa ya matokeo. Kilicho nishangaza ni kuona Grade ya F ambayo ambayo inawakilisha kufeli inaanzia 0-34 kwa Olevel. Nakumbuka enzi zetu F ilikua 0-19.
Binafsi naomba waziri uliangalie upya. Hizi alama ni kubwa sana kwa grade ya F .
Hivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
Mku katibu mkuu wa NECTA aliulizwa na Ivona Kamuntu wa Azam tv kuhusu madaraja na tofauti zake ni zipi kutoka kwenye mfumo wa GPA kwenda kwenye mfumo wa division. Katibu huyo akasema namnukuu "tofauti ni namna tu ya daraja linavohesabika kwani wakati wa GPA D ilianzia 30 na A ilianzia 75 na kwa sasa kwenye division bado D imeanzia 30 na A imeanzia 75" mwisho wa kunukuu, Sasa hapo haijaeleweka bado madaraja yamekaje,kwanini nectar hawajutuwekea madarja yote kwa ujumla wake?
Kama tumerudi kwenye mfumo wa zamani wa division kwanini haturudi kikamilifu ambapo A ilianzia 81? Na kama kuna madaraja mapia tuelezwe maana kwa sasa hatujui madaraja yalotumika ni yapi hasa kulingana na kauli ya katibu mkuu wa NECTA. Tukumbuke tu tulishakuwa na mifumo mingi mpaka wa division V sasa madaraja yawekwe wazi vizuri
Kwanza niseme jambo moja... Watanzania hatuna kawaida ya kufuatilia mambo! Wewe leo anzisha jambo lolote kwa maslahi yako na watu watalichukua na kutokana na tabia hii wanasiasa wameshatufahamu!Kwanza kuna vitu havijawekwa sawa na baraza. Hivi kunatofauti gani kwenye madaraja kati ya GPA na Div? Maana nimeona akisema D inanzia 30 sawa na ilivokuwa kwenye GPA, A inanzia 75 kama ilivokuwa kwenye.GPA. Sasa kwa maelezo hayo mbona bado hatujarudi kule kwa division za zamani hasa pale ambapo A ilikuwa inaznia 81 kwa O-level.
Mkuu hata private vyuo hawapokei hiyo div 4? Aau unaongelea kupata nafas chuo cha serikaliVyuo vya ualimu kwa sasa div. 4 yeyoye haina nafasi kabisa fikiria ku re seat ndugu