Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,720
asante kwa kunitusi... yaani mi niko mjini kwahiyo nilime lami ????? 🙄🙄🙄🙄kalime,,
asante kwa kunitusi... yaani mi niko mjini kwahiyo nilime lami ????? 🙄🙄🙄🙄kalime,,
atakua ni wa GPA uyoEnzi zenu ilikuwa mwaka gani,maana najua F ilianzia 0-20
Vyuo vya ualimu kwa sasa div. 4 yeyoye haina nafasi kabisa fikiria ku re seat nduguHivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
Haiwezekani, wee nenda ukarisiti kama unataka kwenda form 5 au nenda ualimu, polisi,jeshi (jkt) veta nk..Hivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
HAIWEZEKANI....hujafikisha credit 3 (C 3)..km uwezo unaruhusu kasome diploma/certificate hukosi chuo cha binafsi tena course chaguo lakoHivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
majaribio kila kukicha, hii ndo inaacha tusiendeleeJamani kweli mnataka nchi iendelee kwa kushusha elimu
Chuo certificate....Wakuu hivi mtoto mwenye Four ya 29 unampleka wapi?
Aliekwambia Jeshin ndio wanakuja waliofeli…? jeshin wapo watu wenye timamu zao na walio vizuri, rekebisha mawazo yako juu ya hiliHaiwezekani, wee nenda ukarisiti kama unataka kwenda form 5 au nenda ualimu, polisi,jeshi (jkt) veta nk..
Pembezoni mwa lami dogo panafaaasante kwa kunitusi... yaani mi niko mjini kwahiyo nilime lami ????? 🙄🙄🙄🙄
Inategemea ndugu yako ni wa namna gani,maana wengine ukimwambia nje ya kusoma hatakuelewa wakati wengine ukiwaambia kurudia mitihani hapo utataka ugomvi...just msikilize nini anahitaji then mshauri kwa kadiri uonavyo inamfaa kulingana na uwezo wake,ujuzi wake,juhudi,kipaji bidii na hobby yake. Then hapo ndo unaweza kuleta hilo hapaWakuu hivi mtoto mwenye Four ya 29 unampleka wapi?
Ila mkuu linawezekana kwa vyuo vya serikali kweli...Chuo certificate....
Mdogomdogo had degree
Kwa hiyo ualimu ndo wanaenda waliofeliUsiogope ualimu nadhani utapata nacte wakitoa nafasi apply usijichoshe njoo huku ule hela!!
Asante sana mkuu,Inategemea ndugu yako ni wa namna gani,maana wengine ukimwambia nje ya kusoma hatakuelewa wakati wengine ukiwaambia kurudia mitihani hapo utataka ugomvi...just msikilize nini anahitaji then mshauri kwa kadiri uonavyo inamfaa kulingana na uwezo wake,ujuzi wake na hobby yake. Then hapo ndo unaweza kuleta hilo hapa
Kwa hiyo ualimu,police ndo sehemu zinazofaa watu waliofeli,huoni anaweza tengeneza bomu jingine tena?Haiwezekani, wee nenda ukarisiti kama unataka kwenda form 5 au nenda ualimu, polisi,jeshi (jkt) veta nk..