Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 757
Hiyo ya kwako haikuwa TanzaniaF ilianzia 21!!
Hiyo ya kwako haikuwa TanzaniaF ilianzia 21!!
Chukua certificates zingine. Kuna kilimo, public administration, ustawi wa jamii, Laboratory tech, nk. A ngalia Masomo uliyofaulu ndo uchague kozi hachana n.a. kureseatVyuo vya ualimu kwa sasa div. 4 yeyoye haina nafasi kabisa fikiria ku re seat ndugu
hujaeleweka. Weka yale madaraja yalivyokuwa tukumbukeKwanza kuna vitu havijawekwa sawa na baraza. Hivi kunatofauti gani kwenye madaraja kati ya GPA na Div? Maana nimeona akisema D inanzia 30 sawa na ilivokuwa kwenye GPA, A inanzia 75 kama ilivokuwa kwenye.GPA. Sasa kwa maelezo hayo mbona bado hatujarudi kule kwa division za zamani hasa pale ambapo A ilikuwa inaznia 81 kwa O-level.
Wakuu hivi mtoto mwenye Four ya 29 unampleka wapi?
Hivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
Anaweza kusoma certificate au diploma katika vyuo vinavyotambuliwa na taasisi husika then akaendelea na mfumo wa elimu ya juu huko mbeleni na hao mara nyingi wanakuwa wazuri sana kuliko waliopitia Form vi.
Mkuu mimi nimesoma FTC na hiyo ndo ilikuwa grade. 0 - 49 ilikuwa F. Tulisoma sana.KWA MWANAFUNZI MWENYE KUPENDA MASOMO HII IKO SAWA ,PIA F NINGEPENDEKEZA IANZIE 0-50 ILI VILAZA WANYOOKE!
Ha-ha ww jamaa umenikomaliaaa! Sijabisha babuHiyo ya kwako haikuwa Tanzania
C mbili ni za civics na kiswahiliVery posible, hizo C ni za masomo gani?
what is done is done.. ndo mana naomba ushauriUna F ya maths lakini una post zaidi ya elfu JF hapo hujaweka post za Insta, FB, Weechat, whatsapp, badoo etc...
Shule huwa ni ngumu sanaasante kwa kunitusi... yaani mi niko mjini kwahiyo nilime lami ????? 🙄🙄🙄🙄
UNaweza. Kwa kuanzia tafuta vyuo vya ualim. Maisha popote, hata Magufuli alianzia ualimu kabla ya leo kuwa Rais wa TZC mbili ni za civics na kiswahili
Vyuo vya ufundi, hao wanaitwa IRON STUDENTS. A.k.a ubongo wa chumaWakuu hivi mtoto mwenye Four ya 29 unampleka wapi?
Ualimu haiwezekani maana siku hizi wanapiga diploma kwahyo wanachukua kuanzia div 3 hadi 1 labda asubirie ajira za majeshiHaiwezekani, wee nenda ukarisiti kama unataka kwenda form 5 au nenda ualimu, polisi,jeshi (jkt) veta nk..
Sio lazima kwenda A level.. tafuta certificate hata ya mwaka then unaenda diploma.. from there utaangalia kama unataka kusoma degree au la! maisha lazima yaendeleeHivi jamani mimi nimepata IV ya 27 nna C mbili, D nne na F ya math.. kuna possibility ya kwenda form 5 hata ya private? Ama la haiwezekani kuna uwezekano wa kwenda hata chuo cha ualimu? naombeni msaada wenu wataalamu.
Duh! Ukifeli ndo unaukumbuka ualimu!! Duh kwa hiyo ualimu ndo special kwa vilaza ??Kwenda kidato cha tano haita wezekana hadi uwe Na C tatu hapo rudia mtihani Ili upate moja ualimu inategemea umemaliza mwaka gani