Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Wakuu Sina la kusema Sana nitaatach maswal ya MALISA ambayo amewauliza NECTA
Kama haitofunguka
Anauliza shule ya SEKONDARI ANWARITE ina watoto 76 wote wamepata daraja la 1 na imekuwa ya 11 kitaifa
Lakn sule ya SEKONDARI FEZA WAVULANA ina watoto 62 lakn 59 wamepata daraja la 1 na 2 daraja la 2 na 1 daraja la 3 imekuwa ya 7 kitaifa
Sasa upangaji huu umetumia vigezo gani
Attachment ipo chini
--
UPDATE:
MAJIBU KUTOKA NECTA
Kama haitofunguka
Anauliza shule ya SEKONDARI ANWARITE ina watoto 76 wote wamepata daraja la 1 na imekuwa ya 11 kitaifa
Lakn sule ya SEKONDARI FEZA WAVULANA ina watoto 62 lakn 59 wamepata daraja la 1 na 2 daraja la 2 na 1 daraja la 3 imekuwa ya 7 kitaifa
Sasa upangaji huu umetumia vigezo gani
Attachment ipo chini
--
UPDATE:
MAJIBU KUTOKA NECTA