NECTA/TAMISEMI/Wizara ya Elimu na hili nalo mlitazame

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Feb 6, 2017
24,039
71,272
Mara baada ya Matokeo ya Jana ya Darasa la Saba, niliamua kufanya utafiti wangu Mdogo.

Kwanza, nilichagua Mikoa ya Tanzania 20 randomly.

Pili, Kila Mkoa nikachagua wilaya 2 .
Tatu, Kila Wilaya nikachagua Shule 5 za Serikali ( Kidumu mfagio ,wanyonge ) ... Na shule 1 ya Magari ya njano( Wakishuaaa/Walamba Asali ).

Nikagundua ya kwamba .

Kwenye hizo Shule 5 za Serikali, HAMNA USHINDI WA DARAJA ""A"". Wachache wameanzia Daraja B, wengi wameangukia Daraja C.

Kwa upande wa "Magari ya Njano, Wakishuaaa .. UNAKUTA SHULE INA WATOTO 50, WOTE WANA DARAJA "A"

yaan mpaka hiyo HESABU /HISABATI ambayo wengine wakati tunasoma , ukipata "A" , Kuanzia Shule, Diwani ,Wazazi, ni wanakufanyia Sherehe ... Ila watoto wa MAGARI YA NJANO, kwao Hesabu ni Maji ya kunywa, Usishangae Darasa Zima Kupata A.

Ni kweli Hawa wote ni watoto wetu, na lengo ni Moja tu, kuwapa ELIMU !!.

Ila Sasa Ndugu zangu, Ni kweli hizi shule binafsi, Zina fundisha vizuri Kwa kiwango hicho kwamba Darasa Zima lipate A, ?? A mpaka ya Hisabati ?.

Hivi ni kweli, watoto wa Magari ya njano, wako na intelligence hiyo hata Darasa Zima wapate A ?.

Hivi kweli, Watoto wetu wa Kidumu Mfagio , ni wajinga sana mpaka waishie kupata B, C, D ?.

Au ndo kwamba, shule za Kidumu mfagio, Walimu hawajali na hawafundishi au malupulupu au nini??.

OMBI LANGU KWENU WAHUSIKA.

1-TAMISEMI, Wakati wa upangaji wa majina ya kwenda Sekondari, niwaombe sana, WALE WANAFUNZI WA KIDUMU NA UFAGIO, WALOBATIKA KUPATA UFAULU WA "B" , Tena akiwa amefaulu SOMO LA HESABU Kwa UFAULU WA " B ", wafikirieni Mara tatutatu kwenye Shule za Vipaji .

2-Wizara ya Elimu, hizi shule binafsi zinafanya Biashara, Hawa watoto sanasana wanachojua ni lugha tu ya kingereza, ila uwezo wao ni Mdogo , wanapata ufaulu mkubwa sababu ya WIZI WA MITIHANI ....NA KWA MAWAZO YANGU , WIZI WA MITIHANI UNAFANYIKA NDANI YA CHUMBA CHA MTIHANI , YAAN MSIMAMIZI/WASIMAMIZI WANAPIGWA MLUNGULA, KISHA MWALIMU AU MSAMIZI HUYOHUYO ATAANZA KUSOVU MTIHANI, KISHA MAJIBU WATAPEWA WANAFUNZI HAWA .

Sio haki, na haiwezekan Mwanafunzi alofaulu Kwa wizi WA MITIHANI wa SHULE BINAFSI, Apelekwe shule za Kipaji maalaumu ili hali amechukua Nafasi ya Mwanafunzi wa serikali alofaulu Kwa Daraja B lakini Kwa nguvu zake na Akili yake yaaan 'Kuvuna sawa na ulichopanda'.
 
Kuwa tu mpole. Maana hayo ndiyo matunda yenyewe ya elimu bure.

Unafikiri wanasiasa ni wajinga kuwapeleka watoto wao kwenye hizo shule zenye magari ya njano, huku wakijisifia majukwaani kujenga vyumba vya madarasa nchi nzima na kutoa elimu bure?

Wanajua wanachokifanya bila shaka.
 
Kuwa tu mpole. Maana hayo ndiyo matunda yenyewe ya elimu bure.

Unafikiri wanasiasa ni wajinga kuwapeleka watoto wao kwenye hizo shule zenye magari ya njano, huku wakijisifia majukwaani kujenga vyumba vya madarasa nchi nzima na kutoa elimu bure?

Wanajua wanachokifanya bila shaka.
Its always been like that hata kabla ya elimu bure
 
Kwenye hizo Shule 5 za Serikali, HAMNA USHINDI WA DARAJA ""A"". Wachache wameanzia Daraja B, wengi wameangukia Daraja C.
Sio kweli kuna cousin wangu kapiga A za kutosha kasoro ana B moja tu ya Hesabu na anasoma Shule za Serikali za kawaida tu hizo unazosema mfagio na kidumu ila usisahau siku hizi hawabebi kidumu na mfagio wanaenda mikono mitupu na mabeg tu mgongoni, hizo zama za kidumu na mfagio zilishapitaga, angalia Shule inaitwa Mlimani Primary School
 
Mara baada ya Matokeo ya Jana ya Darasa la Saba, niliamua kufanya utafiti wangu Mdogo.

Kwanza, nilichagua Mikoa ya Tanzania 20 randomly.

Pili, Kila Mkoa nikachagua wilaya 2 .
Tatu, Kila Wilaya nikachagua Shule 5 za Serikali ( Kidumu mfagio ,wanyonge ) ... Na shule 1 ya Magari ya njano( Wakishuaaa/Walamba Asali ).

Nikagundua ya kwamba .

Kwenye hizo Shule 5 za Serikali, HAMNA USHINDI WA DARAJA ""A"". Wachache wameanzia Daraja B, wengi wameangukia Daraja C.

Kwa upande wa "Magari ya Njano, Wakishuaaa .. UNAKUTA SHULE INA WATOTO 50, WOTE WANA DARAJA "A"

yaan mpaka hiyo HESABU /HISABATI ambayo wengine wakati tunasoma , ukipata "A" , Kuanzia Shule, Diwani ,Wazazi, ni wanakufanyia Sherehe ... Ila watoto wa MAGARI YA NJANO, kwao Hesabu ni Maji ya kunywa, Usishangae Darasa Zima Kupata A.

Ni kweli Hawa wote ni watoto wetu, na lengo ni Moja tu, kuwapa ELIMU !!.

Ila Sasa Ndugu zangu, Ni kweli hizi shule binafsi, Zina fundisha vizuri Kwa kiwango hicho kwamba Darasa Zima lipate A, ?? A mpaka ya Hisabati ?.

Hivi ni kweli, watoto wa Magari ya njano, wako na intelligence hiyo hata Darasa Zima wapate A ?.

Hivi kweli, Watoto wetu wa Kidumu Mfagio , ni wajinga sana mpaka waishie kupata B, C, D ?.

Au ndo kwamba, shule za Kidumu mfagio, Walimu hawajali na hawafundishi au malupulupu au nini??.

OMBI LANGU KWENU WAHUSIKA.

1-TAMISEMI, Wakati wa upangaji wa majina ya kwenda Sekondari, niwaombe sana, WALE WANAFUNZI WA KIDUMU NA UFAGIO, WALOBATIKA KUPATA UFAULU WA "B" , Tena akiwa amefaulu SOMO LA HESABU Kwa UFAULU WA " B ", wafikirieni Mara tatutatu kwenye Shule za Vipaji .

2-Wizara ya Elimu, hizi shule binafsi zinafanya Biashara, Hawa watoto sanasana wanachojua ni lugha tu ya kingereza, ila uwezo wao ni Mdogo , wanapata ufaulu mkubwa sababu ya WIZI WA MITIHANI ....NA KWA MAWAZO YANGU , WIZI WA MITIHANI UNAFANYIKA NDANI YA CHUMBA CHA MTIHANI , YAAN MSIMAMIZI/WASIMAMIZI WANAPIGWA MLUNGULA, KISHA MWALIMU AU MSAMIZI HUYOHUYO ATAANZA KUSOVU MTIHANI, KISHA MAJIBU WATAPEWA WANAFUNZI HAWA .

Sio haki, na haiwezekan Mwanafunzi alofaulu Kwa wizi WA MITIHANI wa SHULE BINAFSI, Apelekwe shule za Kipaji maalaumu ili hali amechukua Nafasi ya Mwanafunzi wa serikali alofaulu Kwa Daraja B lakini Kwa nguvu zake na Akili yake yaaan 'Kuvuna sawa na ulichopanda'.
Acha uongo Basi Nani anaiba mitihani?
 
Acha uongo Basi Nani anaiba mitihani?
Mkuu necta imezifungia shule 24 kwa udanganyifu wa mitihani

Moja ya shule hyo n st anne Marie ya ubungo ambayo mwaka juz ilishika nafas za juu kat ya shule kum bora kitaifa na ikatoa wanafunz 4 katka kum bora kitaifa

Shule nyingne iliyofungiwa n kidama ya chato geita mwaka Jana iliingia kumi bora kitaifa

Huon Kama kuna ukweli hapo mkuu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
hata hizo za kidumu na mfagio nazo zinaiba mitihani, ukitaka kuamini hilo, linganisha matokeo yao ya nyuma na ya mwaka huu, utagundua kitu.

zama za mama watu wanafanya watakavyo, mama amekaa kimya hasemi kitu. ufisadi na wizi umerudi kwa kishindo.
 
Hiyo paragraph ya 2 ya ombi lako haina ushahidi wowote.Mere speculations.Hao wa private wanafundisha aisee.Kama una mtoto huko kagua daftari zake.Mara nyingi wanamaliza syllabus napema na kufanya mazoezi ya kutosha.Kwanini wasifaulu.
Madogo wanajua mkuu, awe anaangalia hata vipindi vya watoto mfano watoto wetu ITV atajifunza Jambo,
 
Mkuu necta imezifungia shule 24 kwa udanganyifu wa mitihani

Moja ya shule hyo n st anne Marie ya ubungo ambayo mwaka juz ilishika nafas za juu kat ya shule kum bora kitaifa na ikatoa wanafunz 4 katka kum bora kitaifa

Shule nyingne iliyofungiwa n kidama ya chato geita mwaka Jana iliingia kumi bora kitaifa

Huon Kama kuna ukweli hapo mkuu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Usimamizi wa mitihani kwa Sasa ni serious mno.Anayefanya udanganyifu anakamatwa,mfano ni hizo shule. Lakini wale wengine walifaulu kwa juhudi tusiwabebeshe mizigo ya udanganyifu wasiyostahili
 
Hakuna kitu kama hicho,je ukiambiwa utoe ushahidi kwa kitu ulichokisema upo tayari???na nani aliyeiba hiyo mitihani??
Tatizo letu sisi ngozi nyeusi wivu umetujaa,kama huna pesa za kumpeleka mtoto wako hizo shule,tafuta pesa broo watoto wasome shule nzuri,acha wivu,acha kuropoka,watu wanakuangalia tu pale wamekaa
 
Mara baada ya Matokeo ya Jana ya Darasa la Saba, niliamua kufanya utafiti wangu Mdogo.

Kwanza, nilichagua Mikoa ya Tanzania 20 randomly.

Pili, Kila Mkoa nikachagua wilaya 2 .
Tatu, Kila Wilaya nikachagua Shule 5 za Serikali ( Kidumu mfagio ,wanyonge ) ... Na shule 1 ya Magari ya njano( Wakishuaaa/Walamba Asali ).

Nikagundua ya kwamba .

Kwenye hizo Shule 5 za Serikali, HAMNA USHINDI WA DARAJA ""A"". Wachache wameanzia Daraja B, wengi wameangukia Daraja C.

Kwa upande wa "Magari ya Njano, Wakishuaaa .. UNAKUTA SHULE INA WATOTO 50, WOTE WANA DARAJA "A"

yaan mpaka hiyo HESABU /HISABATI ambayo wengine wakati tunasoma , ukipata "A" , Kuanzia Shule, Diwani ,Wazazi, ni wanakufanyia Sherehe ... Ila watoto wa MAGARI YA NJANO, kwao Hesabu ni Maji ya kunywa, Usishangae Darasa Zima Kupata A.

Ni kweli Hawa wote ni watoto wetu, na lengo ni Moja tu, kuwapa ELIMU !!.

Ila Sasa Ndugu zangu, Ni kweli hizi shule binafsi, Zina fundisha vizuri Kwa kiwango hicho kwamba Darasa Zima lipate A, ?? A mpaka ya Hisabati ?.

Hivi ni kweli, watoto wa Magari ya njano, wako na intelligence hiyo hata Darasa Zima wapate A ?.

Hivi kweli, Watoto wetu wa Kidumu Mfagio , ni wajinga sana mpaka waishie kupata B, C, D ?.

Au ndo kwamba, shule za Kidumu mfagio, Walimu hawajali na hawafundishi au malupulupu au nini??.

OMBI LANGU KWENU WAHUSIKA.

1-TAMISEMI, Wakati wa upangaji wa majina ya kwenda Sekondari, niwaombe sana, WALE WANAFUNZI WA KIDUMU NA UFAGIO, WALOBATIKA KUPATA UFAULU WA "B" , Tena akiwa amefaulu SOMO LA HESABU Kwa UFAULU WA " B ", wafikirieni Mara tatutatu kwenye Shule za Vipaji .

2-Wizara ya Elimu, hizi shule binafsi zinafanya Biashara, Hawa watoto sanasana wanachojua ni lugha tu ya kingereza, ila uwezo wao ni Mdogo , wanapata ufaulu mkubwa sababu ya WIZI WA MITIHANI ....NA KWA MAWAZO YANGU , WIZI WA MITIHANI UNAFANYIKA NDANI YA CHUMBA CHA MTIHANI , YAAN MSIMAMIZI/WASIMAMIZI WANAPIGWA MLUNGULA, KISHA MWALIMU AU MSAMIZI HUYOHUYO ATAANZA KUSOVU MTIHANI, KISHA MAJIBU WATAPEWA WANAFUNZI HAWA .

Sio haki, na haiwezekan Mwanafunzi alofaulu Kwa wizi WA MITIHANI wa SHULE BINAFSI, Apelekwe shule za Kipaji maalaumu ili hali amechukua Nafasi ya Mwanafunzi wa serikali alofaulu Kwa Daraja B lakini Kwa nguvu zake na Akili yake yaaan 'Kuvuna sawa na ulichopanda'.
magari ya njano asubui wakiamka wanakutana na chai blueband na mayai ya kukaanga{hawapati kusinzia class},mchana wanakutana na wali nyama au maharage na juice au maji{hawapati stree} muda wa kutoka shule haooo wanakwea magari yao na kurudi home kwa furaha{ no stress}..walimu nao wanapata bonus watoto wakifaulu,achana na mshahra mkubwa wanaopata{hawana haja ya kuuza ubuyu---no stress mazee ni kufundisha kwa bidii ili wapate bonus},wanapewa nyumba au pesa za kupanga,wanatumia computer {hamna kukohoa kwa ajili ya vumbi la makaratasi''''''kuhusu shule za mama samia,watoto wakiamka wanakutana na kiporo au mihogo{inatia usingizi sana na wanasinzia class}..mchana wanachukua kamia mbili walikopewa na kununua ubuyu au viazi vya walimu{stress tupu},muda wa kutoka shule wanafikiria namna watakavodhalilishwa na makondakta wa daladala{maximum stress}..mwalimu ata afaulishe kiasi gani hamna cha bonus wala nini,sanasana walimu wenzake watamchukia na kumwita kiherehere au kazi kunoga na head master anaanza kumwekea bifu kwani anaogopa asije akatwaa kiti chake kwani anaogopa taarifa za mwalimu zikiwafikia wakubwa atapandishwa cheo{full stress}.....na mwalimu hajui alale wapi kwani hamna nyumba wala banda.......sasa ndugu yangu hapo ufaulu utatoka wapi?
 
Mkuu necta imezifungia shule 24 kwa udanganyifu wa mitihani

Moja ya shule hyo n st anne Marie ya ubungo ambayo mwaka juz ilishika nafas za juu kat ya shule kum bora kitaifa na ikatoa wanafunz 4 katka kum bora kitaifa

Shule nyingne iliyofungiwa n kidama ya chato geita mwaka Jana iliingia kumi bora kitaifa

Huon Kama kuna ukweli hapo mkuu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Shule hazijafungiwa viliyofungiwa ni vituo vya mitihani,mwenye mamlaka ya kufunga shule ni kamshina wa elimu siyo necta
 
Hakuna kitu kama hicho,je ukiambiwa utoe ushahidi kwa kitu ulichokisema upo tayari???na nani aliyeiba hiyo mitihani??
Tatizo letu sisi ngozi nyeusi wivu umetujaa,kama huna pesa za kumpeleka mtoto wako hizo shule,tafuta pesa broo watoto wasome shule nzuri,acha wivu,acha kuropoka,watu wanakuangalia tu pale wamekaa
Pesa naendelea kutafuta, Siunajua Pesa haitoshi ?.

Ukweli nikua Shule binafsi... WANAIBA MITIHANI.
 
Hiyo paragraph ya 2 ya ombi lako haina ushahidi wowote.Mere speculations.Hao wa private wanafundisha aisee.Kama una mtoto huko kagua daftari zake.Mara nyingi wanamaliza syllabus napema na kufanya mazoezi ya kutosha.Kwanini wasifaulu.

Wewe bwanaaaeeee , Private wanafundisha ndio, ila Uhalisia haudanganyi.

Kufundisha ni suala Moja, mtoto kuweka kichwan alichofundishwa, na kukijibia mtihani ni suala lingine.

Wanaibaaa!!.
 
Back
Top Bottom