Chief_mataka
Member
- Jan 27, 2022
- 97
- 92
Watahiniwa 93,136 (98.97%) wamefaulu Mitihani yao, ikielezwa Wasichana ni 40,907 na Wavulana ni 52,229. Aidha, Baraza la Mitihani (NECTA) limesema jumla ya Watahiniwa 83,877 (99.24%) wamefaulu katika Daraja 1 hadi 3
Ufaulu katika Masomo ya Historia, Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Physics, Chemistry, Biology, Kilimo, Advanced Mathematics, Economics, Accountancy na Food/HumanNutrition umepanda ikilinganishwa na mwaka 2021
Hata hivyo, NECTA imesema Ufaulu wa Masomo mengine yakiwemo General Studies, Geography na Basic Applied Mathematics (BAM) umeshuka
=======
SHULE 10 BORA
10. Ziba, Tabora - Serikali
9. Mkindi, Tanga - Serikali
8. Mzumbe, Morogoro - Serikali
7. Nyaishozi, Kagera - Binafsi
6. Dareda, Manyara - Serikali
5. Ahmes, Pwani - binafsi
4. Tabora Girls - Serikali
3. Tabora Boys - Serikali
2. Kisimiri, Arusha - Serikali
1. Kemebos, Kagera - Binafsi
10 BORA KIDATO CHA 6 MASOMO YA SAYANSI
1: Catherine Mwakasege,- St.Mary's Mazinde Juu
2: Lucy Magashi - St.Mary's Mazinde Juu
3: Muhewa Kamando - Tabora Boys
4: Minael Mgonja - St.Mary's Mazinde Juu
5: Norah Eliaza - St.Mary's Mazinde Juu
6: Jenifer Chuwa- St.Mary's Mazinde Juu
7: Pauline Mabamba- St.Mary's Mazinde Juu
8: Rachel Joachim- St.Mary's Mazinde Juu
9: Kulwa Elias - Tabora Boys
10: Oscar Eliakim- Tabora Boys
Form Six 2022 Kachungulie Matokeo Yako.
Ufaulu katika Masomo ya Historia, Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Physics, Chemistry, Biology, Kilimo, Advanced Mathematics, Economics, Accountancy na Food/HumanNutrition umepanda ikilinganishwa na mwaka 2021
Hata hivyo, NECTA imesema Ufaulu wa Masomo mengine yakiwemo General Studies, Geography na Basic Applied Mathematics (BAM) umeshuka
=======
SHULE 10 BORA
10. Ziba, Tabora - Serikali
9. Mkindi, Tanga - Serikali
8. Mzumbe, Morogoro - Serikali
7. Nyaishozi, Kagera - Binafsi
6. Dareda, Manyara - Serikali
5. Ahmes, Pwani - binafsi
4. Tabora Girls - Serikali
3. Tabora Boys - Serikali
2. Kisimiri, Arusha - Serikali
1. Kemebos, Kagera - Binafsi
10 BORA KIDATO CHA 6 MASOMO YA SAYANSI
1: Catherine Mwakasege,- St.Mary's Mazinde Juu
2: Lucy Magashi - St.Mary's Mazinde Juu
3: Muhewa Kamando - Tabora Boys
4: Minael Mgonja - St.Mary's Mazinde Juu
5: Norah Eliaza - St.Mary's Mazinde Juu
6: Jenifer Chuwa- St.Mary's Mazinde Juu
7: Pauline Mabamba- St.Mary's Mazinde Juu
8: Rachel Joachim- St.Mary's Mazinde Juu
9: Kulwa Elias - Tabora Boys
10: Oscar Eliakim- Tabora Boys
Form Six 2022 Kachungulie Matokeo Yako.