Well noted. Tunasubiri kipyenga, tumstaafishe Sugu hapa Mbeya (M). Tumechoka blah blah na maandamano
Mkuu Analogia Malenga, asante kwa taarifa.Aidha majimbo yamebaki kuwa 264 kama ilivyokuwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2019, Tanzania bara ikiwa na majimbo 214 na Tanzania Zanzibar ikiwa na majimbo 50