Unaleta uzi huna taatifa yoyote juu ya facts za unacholeta. Ni uboya tu. Eti unataka uwe wa kwanza kureport huku huna taarifa yoyote. Only dogs can behave like that. Only dogs.Jinga sn hilo
Unaleta uzi huna taatifa yoyote juu ya facts za unacholeta. Ni uboya tu. Eti unataka uwe wa kwanza kureport huku huna taarifa yoyote. Only dogs can behave like that. Only dogs.Jinga sn hilo
Unatakaa uwe wa kwanza kupost sio? Ndo akili zenu hizi ccmTaarifa kamili inakuja.
Source Radio One!
Ungesubiri taarifa kamili kamandaTaarifa kamili inakuja.
Source Radio One!
Unaota eee?? Mbeya hatutaki flat screenWell noted. Tunasubiri kipyenga, tumstaafishe Sugu hapa Mbeya (M). Tumechoka blah blah na maandamano
Endelea kuota tu..usitufananishe na wagogoSugu bye
Vipi kuhusu vitambulisho vya kura wametoa muda wa kurekebisha? Vinginevyo kuna kura hazitapigwa.Figisu za nini sasa?
Si jina tu limebadilishwa kwani kuna nini zaidi?
Naweza kuwa nina mbwa wangu nikamuita Simba, akiwa legelege nitambadilisha na kuwa Koko/Nyumbu nk
Au kuna kitu ambacho sijui?
Wangetuchia tu jina letu la Kijito Upele🤣🤣Ila Zanzibar wana majina ya ajabu kweli kweli, eti Kijito upele🤔🤔
Yaani mzee akikohoa tu utitiri unaanza kudondoka wenyewe! Mzee kazungumza jana tu leo tayari yameshabadili na majina ya majimbo?? Jaji unajishushia heshimaaaaa!!
Sijasikia/sijui kuhusu vitambulisho vya mpiga kura, siwezi kusema chochote.Vipi kuhusu vitambulisho vya kura wametoa muda wa kurekebisha? Vinginevyo kuna kura hazitapigwa.
Yes, ilikuwa kwenye hafla ya kuzindua jengo la Uchaguzi na lile la TAKUKURU Chamwino, alisema anashangaa kwanini hilo jimbo lisiitwe Chamwino badala ya Chilonwa? Akasema namwachia Spika ma Waziri mkuu muangalie! Sasa hamaad leo tayari limeshabadilishwa!!Alisemaje jana mkuu??
Aliongelea majina ya majimbo?? Ilinipita hii