Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,881
- 93,649
Naunga mkono hoja yako mkuu, kama wameiba kura watashindwa kugushi sahihi ya Mnyika?Tunasemaje ukimaanisha tuna imani na kinachosemwa na tume ama? Kama hiyo tume ilitoa matokeo ya kura za kwenye mabeg, sasa hii ndio it's sema ukweli? Cdm fukuza hao wahuni ili wao na tume wakajuane.