Umesoma vizuri barua ya NEC hapo juu? Au umeanza kuchangia bila kusoma barua ya NEC? Wanasema walipokea barua tarehe 19/11/2020.Majna yanawasilishwa kwa fomu , si barua. Kuna fomu zinajazwa, wanaapa, hakimu anasaini etc.... stupid Mahela
Umesoma vizuri barua ya NEC hapo juu? Au umeanza kuchangia bila kusoma barua ya NEC? Wanasema walipokea barua tarehe 19/11/2020.Majna yanawasilishwa kwa fomu , si barua. Kuna fomu zinajazwa, wanaapa, hakimu anasaini etc.... stupid Mahela
Hakuna kosa kubwa Tz kama kugushi sahihi ya mtu sasa kama NEC wamegushi mimi naomba Chadema wafungue kesi ya kugushi sahihi.Wamegushi sahihi yake hawa wapuuzi kutafuta namna ya kujisafisha
hivi na wewe unawaamini hawa kokroch wa TUMECCM?Tatizo lenu mnawaamini Sana viongozi wa chadema kana kwamba wao ni Malaika hapana
Nimekuelewa bwashee!Yote hii htaki kumgusa Mbowe, Mbowe ndo criminal hapa, ...
Mbona unamsemea Mnyika? Hiyo Saccos yenu inamatatizo makubwa sana hapo ndani!Kwa mlolongo wa matukio mbali mbali tata ya hii Tume ya Mahera, naelekea kumuamini Mnyika kuliko yeye. Kuna JINAI imefanyika kughushi sahihi ya J.J.Mnyika ili kuhalalisha HARAMU! Yajayo yanatia KICHEFUCHEFU sana.
Haya sasa wanasaccos mnasemaje??
Sasa unataka akuamini wewe ambaye una ID Fake kweli??hivi na wewe unawaamini hawa kokroch wa TUMECCM?
Wafungue kesi kwa mahakama ipi ambayo itatenda haki? hivi CHADEMA wateue mbunge wa viti maalum akatolewe gerezani usiku wa manane kuja kuapisha tena anashitakiwa na jamhuri?Hakuna kosa kubwa Tz kama kugushi sahihi ya mtu sasa kama NEC wamegushi mimi naomba Chadema wafungue kesi ya kugushi sahihi.
CHADEMA WAKIFUNGUA KESI NAOMBA MNITAG.
Hiyo kesi wanafungulia mahakama ya nchi gani?Hakuna kosa kubwa Tz kama kugushi sahihi ya mtu sasa kama NEC wamegushi mimi naomba Chadema wafungue kesi ya kugushi sahihi.
CHADEMA WAKIFUNGUA KESI NAOMBA MNITAG.
Ni kweli, Ila sio kwenye matokea ya uchaguzi huu.Mbona unamsemea Mnyika? Hiyo Saccos yenu inamatatizo makubwa sana hapo ndani!
Hapana nini kengeLE weweTatizo lenu mnawaamini Sana viongozi wa chadema kana kwamba wao ni Malaika hapana
CHADEMA wateue mbunge viti maalum akatolewe gerezani na kufutiwa kesi usiku wa manane tena anashitakiwa na jamhuri? fikiri upya mzeeNilishasema siasa ni zaidi ya ukahaba.
Usimwamini mwanasiasa yeyote.
Mahela ni wa kunyonga akipatikana na hatiaHuyu Mahera tapeli nani ana mwamini?
Ngoja Faru John arudi toka Nairobi aseme walipeleka hayo majina labda ndiyo utaamini wewe Mwanasaccos. Wakati mwingine tumia akili zako vizuri mkuu!!Tunasemaje ukimaanisha tuna imani na kinachosemwa na tume ama? Kama hiyo tume ilitoa matokeo ya kura za kwenye mabeg, sasa hii ndio it's sema ukweli? Cdm fukuza hao wahuni ili wao na tume wakajuane.
Si wamesema walipokea tarehe 19/11/2020? Au sielewi mimi?