Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,884
- 2,375
Kiburi, jeuri na tamaa ya madaraka inapozidi ndo matokeo yake haya.Who is Zitto, Rais, Waziri mkuu?
Ofisi yake inatoa Press release ya safari zake?
Zito anaenda kubaya na uchu wa madaraka.
Huyu mtu ni hatari.Inabidi ajiangalie angalau awe myenyekevu kidogo
anajiona Rais wa Tanzania tayari
Wakati mwingine yatupasa kuwa objective, Nchi haijengwi na CCM au CDM, Nchi inajengwa na Watanzania, ZZK ni mmoja wao. ziara ya ZZK haionyeshi kama ni ya kubomoa nchi.
Hata kama inalenga kumjenga kisiasa, what is wrong with that? kazi ya mwanasiasa yeyote ni kujijenga kisiasa and Zito anatumia haki hiyo pia.