zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,907
- 6,629
AAs
Dini ni Imani ndio maana vingi unatakiwa kuamin maana vinawezekana
Kulala na wanawake 72 na tukio la yesu kufa na kufufuka ni kipi kigumu kuamin?Napenda sana kusikiliza mawiza yenu ili kujifunza.Ila kuna mda naona kama mada zenu ni kama mimi naweza waza nilichoweka kwenye kichwa cha habari.
Ni kwamba kule mnapofahamu ukifa ni sehemu porn mbinguni.
Ijumaa njema tukutane kwenye biriani
Dini ni Imani ndio maana vingi unatakiwa kuamin maana vinawezekana