Napenda sana kusikiliza mawiza yenu ili kujifunza.Ila kuna mda naona kama mada zenu ni kama mimi naweza waza nilichoweka kwenye kichwa cha habari.
Ni kwamba kule mnapofahamu ukifa ni sehemu porn mbinguni.
Ijumaa njema tukutane kwenye biriani
Kwahiyo wewe ukisikia waislam wanasema utapata bikira 72 una shangaaa
Ila Yesu aliposema utapata bikira 100 haujashangaa
Nyinyi makafiri mna shida sana
Mathayo 19:27
Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?
Mathayo 19:28
Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
Mathayo 19:29
Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.
Hilo neno nyumba hapo linawakilisha mke
Sasa wewe badala umshangae Yesu aliyesema mtapata mabikira 100 unamshangaa Muhammad aliyesema aliyesema mtapata mabikira 72