Ndugu zangu waislamu mnaposema peponi wanaume watakuta mabikra 72 na je wanawake watakuta wanaume mapafu ya mbwa 72

Ndugu zangu waislamu mnaposema peponi wanaume watakuta mabikra 72 na je wanawake watakuta wanaume mapafu ya mbwa 72

Hiyo surah imetaja wapi ,wanawake 72 ..Unafanya watu wajinga...Surah hiyo imeonesha sifa za wanawake walioko huko , kuonesha kwamba duniani ni mpito tu ,hata waliotaja huko sio pombe kama yeye yenye kulewesha na yenye madhara.

Elewa sifa ya vitu vilivyotajwa ili kuonesha duniani hakuna cha maana ,hizo pombe hazieleweshi hapa imetumika lugha ya kuonesha kuna kinywaji sio pombe ...Kumbuka pombe inayolewesha haitakiwi tu ,kinywaji chochote hata nvinyo unaweza kunywa... Wamefananisja na pombe ila haina sifa za pombe hizi za kulewesha wala kuwa na madhara.

Leo nikuambie twenda kutanywe ila hivyo vinywaji ,vina alcohol 0% na wala havina madhara ,hivyo vinjwaji vitakuwa pombe kweli?🤣🤣

Hata hapa mbona kuna vinywaji vyenye 0% alcohol vyenye ladha tofautitofauti vya kutosha, why tusilambe tu hapahapa tusubiri tufe kwanza ndo tukalambie firdaus?
 
Bro usipanick.
Soma tena vizur post zangu hapo juu kuhusu wanawake 72.

Mm hoja yangu ni kuwa
Mvinyo na wanawake tumeahidiwa.

Nakuwekea hapa kwa faida ya wengi.

Kuran 4 : 57
"Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa kudumu humo milele. Huko watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika vivuli vizuri kweli"

Quran 47:15
"Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya mvinyo yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?."
Nimekuambia taja hao mabikra 72 wapi wameandikwa ?
 
Hata hapa mbona kuna vinywaji vyenye 0% alcohol vyenye ladha tofautitofauti vya kutosha, why tusilambe tu hapahapa tusubiri tufe kwanza ndo tukalambie firdaus?
Sasa sio pombe hii iliyokatakatwa 🤣🤣🫠ile imefananishwa na pombe ili muache hiyo ya kulewa ,kunywa nyingine ni ruksa ...Uharamu mpaka ikaitaa pombe haramu ni kilevi na madhara mengine ya kisaikolojia.

Hakuna sehemu kumetajwa Konyagi ,kisugura ..Ila kama ina kilevi na madhara ni haramu , haitakiwi...
 
Bro usipanick.
Soma tena vizur post zangu hapo juu kuhusu wanawake 72.

Mm hoja yangu ni kuwa
Mvinyo na wanawake tumeahidiwa.

Nakuwekea hapa kwa faida ya wengi.

Kuran 4 : 57
"Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa kudumu humo milele. Huko watakuwa na wake walio takasika, na tutawaingiza katika vivuli vizuri kweli"

Quran 47:15
"Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya mvinyo yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?."
Usiwe mbishi. Soma Qur an 9.72 ..Wamwtajwa mpaka wanawake sio wanaume tu .


'Allah has promised the believers, both men and women, Gardens under which rivers flow, to stay there forever, and splendid homes in the Gardens of Eternity, and—above all—the pleasure of Allah. That is ˹truly˺ the ultimate triumph.''
 
meinkemp huon aibu kudanganya?
Andiko refu alaf quotes za Quran sio sahihi.

Nimegoogle Quotes zako 3 zote sio sawa.
Mfano
Quran 98:8
Quran 35 :34-35
Quran 41: 31

Mantiki na hoja yako inapotosha.
 
kabla sijafa mnikumbushe niwe muizilamu, nikaone hao mabikra nawaahidi sitofanya chochote ntawaangalia tu
 
Usiwe mbishi. Soma Qur an 9.72 ..Wamwtajwa mpaka wanawake sio wanaume tu .


'Allah has promised the believers, both men and women, Gardens under which rivers flow, to stay there forever, and splendid homes in the Gardens of Eternity, and—above all—the pleasure of Allah. That is ˹truly˺ the ultimate triumph.''
Eeeh sasa ulitaka tukae wenyewe.

Tunakaa nao tunakunywa mvinyo na tunafanya nao .
 
Eeeh sasa ulitaka tukae wenyewe.

Tunakaa nao tunakunywa mvinyo na tunafanya nao .
Okey ,hao wakristo mnakazania bikra 72 ,ambazo ni uongo wakati nyie wake 100, watoto 100 ,wazazi 100🤣🤣🥳
 
🤣🤣🤣 Peponi ni mwendo wa miti tu, tena mbele ya Mkuu
 
Nimekuambia taja hao mabikra 72 wapi wameandikwa ?

Kama umesoma hoja yangu na hujaelewa bas nikufafanulie zaid.

●Mm nimesema wanawake 72 ni story tu na hakuna kwenyw Quran
●Quran imeahidi kutakuwa na mvinyo
●Quran imeahidi tutakutana na wanawake. Wenza wetu wa Duniani.
 
"Bikra Maria, Mama wa Mungu"

Tafsiri isiyo rasmi:
👉Bikra Maria alizaa Mungu.
👉Kabla ya bikra kuzalishwa dunia haikua na Mungu(Yesu).
👉Mungu alizaliwa na sasa amekufa.


"Yesu Kristo Mungu baba wa mbinguni"

Tafsiri isiyo rasmi:
👉Yesi ni Mungu
👉Hakuna mwingine wa kumuomba isipokuwa Yesi kristo maana ni Mungu wa mbinguni.


Wakristo naomba mnieleweshe kidogo hii dini yenu kuna vipengele vingi vina tafsiri tata.
 
Quran 37:40.
Isipokuwa waja wa Mwenyeezi
Mungu waliosafishwa.
ﺃُﻭْﻟَﺌِﻚَ ﻟَﻬُﻢْ ﺭِﺯْﻕٌ ﻣَّﻌْﻠُﻮﻡٌ
41. Hao ndio watapata riziki maalumu.
ﻓَﻮَﺍﻛِﻪُ ﻭَﻫُﻢ ﻣُّﻜْﺮَﻣُﻮﻥَ
42. Matunda na wao wataheshimiwa.
ﻓِﻲ ﺟَﻨَّﺎﺕِ ﺍﻟﻨَّﻌِﻴﻢِ
43. Katika Bustani zenye neema.
ﻋَﻠَﻰ ﺳُﺮُﺭٍ ﻣُّﺘَﻘَﺎﺑِﻠِﻴﻦَ
44. Juu ya vitanda vya fahari wakikabiliana.
ﻳُﻄَﺎﻑُ ﻋَﻠَﻴْﻬِﻢ ﺑِﻜَﺄْﺱٍ ﻣِﻦ ﻣَّﻌِﻴﻦٍ
45. Wakizungushiwa kikombe chenye (kinywaji)
safi.
ﺑَﻴْﻀَﺎﺀ ﻟَﺬَّﺓٍ ﻟِّﻠﺸَّﺎﺭِﺑِﻴﻦَ
46. Cheupe chenye ladha kwa wanywao.
ﻟَﺎ ﻓِﻴﻬَﺎ ﻏَﻮْﻝٌ ﻭَﻟَﺎ ﻫُﻢْ ﻋَﻨْﻬَﺎ ﻳُﻨﺰَﻓُﻮﻥَ
47. Hakina. madhara, wala hakiwaleweshi.
ﻭَﻋِﻨْﺪَﻫُﻢْ ﻗَﺎﺻِﺮَﺍﺕُ ﺍﻟﻄَّﺮْﻑِ ﻋِﻴﻦٌ
48. Na pamoja nao watakuwa wanawake wenye
macho mazuri matulivu.
ﻛَﺄَﻧَّﻬُﻦَّ ﺑَﻴْﺾٌ ﻣَّﻜْﻨُﻮﻥٌ
49. Hao wanawake macho kama mayai (ya Mbuni) yaliyohifadhiwa.
Mkuu vip hili pia:

Ufunuo 7:13–17 (Biblia)
14: Hawa ndio waliotoka katika dhiki kuu, na wamefua mavazi yao, wakayafanya meupe katika damu ya Mwanakondoo.

15:Kwa sababu hiyo wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu, wakimwabudu usiku na mchana ndani ya hekalu lake.

16: Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena; wala jua halitawapiga, wala hari yoyote.

17: Kwa kuwa Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atawaongoza, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima; na Mungu atafuta machozi yote katika macho yao.

Waja wa Mungu waliotakaswa Waliovaa mavazi meupe kwa damu ya Mwanakondoo.

Riziki na neema → Hawatapata njaa, kiu, wala mateso.

Heshima na furaha → Kuwa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kuongozwa kwenye uzima wa milele.
 
Okey ,hao wakristo mnakazania bikra 72 ,ambazo ni uongo wakati nyie wake 100, watoto 100 ,wazazi 100🤣🤣🥳

Mathayo 19 : 29
"Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au mashamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na atarithi uzima wa milele."
 
Mkuu vip hili pia:

Ufunuo 7:13–17 (Biblia)
14: Hawa ndio waliotoka katika dhiki kuu, na wamefua mavazi yao, wakayafanya meupe katika damu ya Mwanakondoo.

15:Kwa sababu hiyo wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu, wakimwabudu usiku na mchana ndani ya hekalu lake.

16: Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena; wala jua halitawapiga, wala hari yoyote.

17: Kwa kuwa Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atawaongoza, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uzima; na Mungu atafuta machozi yote katika macho yao.

Waja wa Mungu waliotakaswa Waliovaa mavazi meupe kwa damu ya Mwanakondoo.

Riziki na neema → Hawatapata njaa, kiu, wala mateso.

Heshima na furaha → Kuwa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kuongozwa kwenye uzima wa milele.

Umelinganisha Pepo ya Biblia na ya Quran.

Iweke wazi hoja yako sasa.
 
Mathayo 19 : 29
"Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au mashamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na atarithi uzima wa milele."
1. Isaya 25:6–8
Bwana wa majeshi atawafanyia watu hawa wote karamu... ya vyakula vyema, ya divai safi, nyama iliyonona.

Atameza mauti milele; naye Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote.

Zaburi 16:11
“Utani julisha njia ya uzima; mbele zako ziko furaha tele, na katika mkono wako wa kuume kuna raha za milele.”

Ahadi ya raha na furaha isiyoisha kwa walio katika uwepo wa Mungu, unaijua au unapiga tu kelele
 
1. Isaya 25:6–8
Bwana wa majeshi atawafanyia watu hawa wote karamu... ya vyakula vyema, ya divai safi, nyama iliyonona.

Atameza mauti milele; naye Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote.

Zaburi 16:11
“Utani julisha njia ya uzima; mbele zako ziko furaha tele, na katika mkono wako wa kuume kuna raha za milele.”

Ahadi ya raha na furaha isiyoisha kwa walio katika uwepo wa Mungu, unaijua au unapiga tu kelele

Hakuna ahadi wala furaha itakayozidi ile ya Kuzagamua Mabikra kama tulioahidiwa kwenye Quran

Quran 56 :35-40
"Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya, Hakika Sisi tulianza kuwaumba Mahurulaini mwanzo, Na tukawaweka wawe mabikra, Wapenzi, wenye umri sawa, Kwa wale walio wa kulia."
 
Covax
Uzur mmoja Quran haina sehem hata moja inajichanganya.

Quran 40 : 60
"Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike".
 
Back
Top Bottom