Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Mjomba maneno gani ya kashfa unayoingea hata mjomba ni mama kwahyo wewe ni mama kuwa na huruma basiRudisha kijijini hiyo ng'ombe ilienda chuoni kukua! Vijana wa siku hizi kazi hawawezi aisee! Kwani mkuu ni kazi gani hiyo? Na mimi napita changamoto kama yako, nina toto la sister kichwani hazimo eti linataka nilitafutie kazi za ofisini. Nikaliambia ujinga sifanyi shule ulichemka mwenyewe hizo kazi za ofisini utaweza? Nikalipeleka VETA limesomea ufundi wa umeme sasa hivi tena halitaki kufanya kazi za kuongeza ujuzi kwa kujishikiza kwa mafundi linasubiri interview za kwenye miradi. Hizi mkuu ni ng'ombe