Maybe he is just curious..........we endelea kumfatilia zaidi, kama utajagundua for sure mshauri kuhusiana na tabia hiyo na kumkanya kama akiendekeza hizo tabia mwambie huezi ishi na sampuli hiyo
mwambie akikataa chukua hatua
Magay wapo wa aina mbili....'walaji' na 'waliwa', be careful...kama ni mlaji halafu una vitoto vya kiume hapo home!
Pole ya nini?? wakati huyu mleta mada anataka kuingilia uhuru wa ndugu yake
Curiosity Killed the cat my dia...
Magay wapo wa aina mbili....'walaji' na 'waliwa', be careful...kama ni mlaji halafu una vitoto vya kiume hapo home!
Mawazo yako tu mkuu, huyo sio Gay but anawazingua tu magay humo kwenye ma site hayoo
mimi nikisema boflo ni punga la kameron huwa mnanisuta, hawa jamaa ndugu zake boflo hatuwataki hapa tz.....Pole ya nini?? wakati huyu mleta mada anataka kuingilia uhuru wa ndugu yake
Mhh, Manoa mbona unaongea kwa uhakika sana, kwa jinsi alivyoandika huyu bwana, nahisi kama huyo jamaa ameenda deep sana, manake jamaa kasoma hizo message huko inbox!! Nadhani amejiridhisha kuwa kijana anatabia hiyo...
Maybe he is just curious..........we endelea kumfatilia zaidi, kama utajagundua for sure mshauri kuhusiana na tabia hiyo na kumkanya kama akiendekeza hizo tabia mwambie huezi ishi na sampuli hiyo[/QUOTE
Yes,He may just be curious
Mweeh! Haya mambo ya porn haya! Kuna mtu niliona ana cd za animal porn, niweke bata wangu mbali? Asije akaniwekea najisi nikakosa vitoweo.