mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
huyu kijana of 25yrs nimemkaribisha nyumbani kwangu tangu amemaliza chuo mwka huu.......ni kijana mstaarabu,mcha Mungu,mtanashati,mwanaume kamili kabisa kimtazamo na kimatendo...anaendelea na job searching yake hapa nilipo mimi na familia yangu.Nyumbani hatushindi mimi n amke wangu tunahangaika wiki nzima isipokua jumapili au kwasababu maalum..kijana anashinda nyumbani kwa uhuru wa kutosha kabisa.........
majuzi alitumia compyuta yangu ya nyumbani kusurf internet na kuedit CV nilimruhusu ukizingatia hana computer..kwa sisi wataalamu kidogo wa IT nikakuta history hakuclear...sikupenda sana kufuatilia lakini nilikuta pages za mambo ya magay.....nikauchuna..nikaclear!! after 2 dayz akaacha facebook page yake chafu imejaa inbox ambazo kwa harakaharak akama 50ivi ila sikusoma,anatumia jina la kizungu na picha ya kizungu inayoashiria kabisa kuwa ni mwanachama wa mambo ya cameroon...hiyo ni cha mtoto!!baadaye wakat naendelea kutafakari janga hilo nyumbani kwangu nikakuta kaacha moviclip ya gay kwenye compyuta ya nyumbani..ivi anafanya makusudi au?!!nimefanya kosa kunyamaza?au ananitaka ndugu yake?am not a member wala sisapot uchafu huo ila tabia yake imeniudh ukizingatia mke wangu huwa hatumii compyuta hiyo maana ni kwa ajili ya kazi zangu tu na nimemruhusu atumie ili kuedit CV naona kaamua kunionyesha uchafu wake kabisa....nashindwa kumuelewa!!Hii dunia inaelekea wapi jamaniii!!!
majuzi alitumia compyuta yangu ya nyumbani kusurf internet na kuedit CV nilimruhusu ukizingatia hana computer..kwa sisi wataalamu kidogo wa IT nikakuta history hakuclear...sikupenda sana kufuatilia lakini nilikuta pages za mambo ya magay.....nikauchuna..nikaclear!! after 2 dayz akaacha facebook page yake chafu imejaa inbox ambazo kwa harakaharak akama 50ivi ila sikusoma,anatumia jina la kizungu na picha ya kizungu inayoashiria kabisa kuwa ni mwanachama wa mambo ya cameroon...hiyo ni cha mtoto!!baadaye wakat naendelea kutafakari janga hilo nyumbani kwangu nikakuta kaacha moviclip ya gay kwenye compyuta ya nyumbani..ivi anafanya makusudi au?!!nimefanya kosa kunyamaza?au ananitaka ndugu yake?am not a member wala sisapot uchafu huo ila tabia yake imeniudh ukizingatia mke wangu huwa hatumii compyuta hiyo maana ni kwa ajili ya kazi zangu tu na nimemruhusu atumie ili kuedit CV naona kaamua kunionyesha uchafu wake kabisa....nashindwa kumuelewa!!Hii dunia inaelekea wapi jamaniii!!!