Ndugu Watanzania, Ripoti ya CAG kujadiliwa imeisha wapi?au tumesahau!!!

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
12,833
21,467
Nimeuliza baada ya kuona hii picha.
1C942AC5-5E22-4630-B94E-534443AA9830.jpeg
 
Nimeuliza baada ya kuona hii picha.
Huwa inajadiliwa bunge la baada ya bajeti hata mwaka Jana ilikua hivyo hivyo. Labda CAG awe anasubiri bajeti iishe ndio atoe ripoti yake Ili wakati ipo on fire ndio majadiliano nayo yaanze.

Lakini hii shida ya coordination ipo Kila mahala ndio usishangae Mama Samia kasign mkataba wa gesi wa trillion 60 alafu 2025 akiingia Rais mwingine akachana na gesi na bwawa la Nyerere aka focus kwenye umeme wa upepo!!

Hii nchi Ina vituko sana
 
ITAJADILIWA NA KAMATI INAYOONGOZWA NA WABUNGE WASIO NA CHAMA hii ndio TANZANIA
 
Ukiachana na hii ya sasa, Report ipi ya CAG iliwahi kujadiliwa na kuleta jambo la maana?

zote za nyuma zilikuwa na matokeo ya kisasa

kuna report ililetwa kumpoteza Jairo asiwe Katibu Mkuu Kiongozi na matokeo yake akala Ombeni Sefue

Kuna nyingine ilimtosa Prof Muhongo n.k


kuna ile ya kumtoa Kakoko Bandarini n.k
 
Mkeo Kila siku anakuibia Hela unaporudi umelewa, anasachi suruwali, Leo utaweza kujadili ripoti ya CAG
 
Ukiachana na hii ya sasa, Report ipi ya CAG iliwahi kujadiliwa na kuleta jambo la maana?

zote za nyuma zilikuwa na matokeo ya kisasa

kuna report ililetwa kumpoteza Jairo asiwe Katibu Mkuu Kiongozi na matokeo yake akala Ombeni Sefue

Kuna nyingine ilimtosa Prof Muhongo n.k


kuna ile ya kumtoa Kakoko Bandarini n.k
Ya sasa inamlenga Mbarawa pekee.
 
Mamlaka hazina nia ya dhati ya kuwawajibisha wahusika.

Mjadala ufungwe tuendelee na kuibiana na kudhulumu watanzania rasilimali zao.
 
Back
Top Bottom