peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,833
- 21,467
Nimeuliza baada ya kuona hii picha.
Itajadiliwa na nani, wakati waliopo bungeni wako kwa kunajisi uchaguzi?Nimeuliza baada ya kuona hii picha.
Huwa inajadiliwa bunge la baada ya bajeti hata mwaka Jana ilikua hivyo hivyo. Labda CAG awe anasubiri bajeti iishe ndio atoe ripoti yake Ili wakati ipo on fire ndio majadiliano nayo yaanze.Nimeuliza baada ya kuona hii picha.
Ulikosa ubunge? Make wewe kilio chako ni hicho hicho tu. Fanya kazi zingine usijeolewa kijanaItajadiliwa na nani, wakati waliopo bungeni wako kwa kunajisi uchaguzi?
Ngoja Tumalize Tulia MarathonNimeuliza baada ya kuona hii picha.
Tatizo ni nini mkojo?Ulikosa ubunge? Make wewe kilio chako ni hicho hicho tu. Fanya kazi zingine usijeolewa kijana
Ya sasa inamlenga Mbarawa pekee.Ukiachana na hii ya sasa, Report ipi ya CAG iliwahi kujadiliwa na kuleta jambo la maana?
zote za nyuma zilikuwa na matokeo ya kisasa
kuna report ililetwa kumpoteza Jairo asiwe Katibu Mkuu Kiongozi na matokeo yake akala Ombeni Sefue
Kuna nyingine ilimtosa Prof Muhongo n.k
kuna ile ya kumtoa Kakoko Bandarini n.k
Watu wanakula maisha !! Siasa ni raha !Nimeuliza baada ya kuona hii picha.
View attachment 2611929
Sa100 ni kikundi cha wahuniNimeuliza baada ya kuona hii picha.
View attachment 2611929