Ndugu wa Polepole ateta na Askofu!

Ndugu wa Polepole ateta na Askofu!

Wewe ni mjinga, Unapenda kumlaumu JPM hujui yote haya ni JK.
Utekaji wa kipindi cha JPM kililenga kumchafua na kama unaamini yeye alikuwa anaongoza hayo mambo kwa nini mpaka leo utekaji upo na unazidi kushamili.
JK alianza kumteka Kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka na kupigwa sana.
Alimteka pia Dr Mvungi wa katiba mpya na kumuua wakati anaelekea nyimbanii kwake.
Sasa mtu akija hapa kusema JPM ni mwasisi naona hajui chochote juu ya remote inayoitesa nchi hii kwa sasa.
 
Back
Top Bottom