Wewe ni mjinga, Unapenda kumlaumu JPM hujui yote haya ni JK.
Utekaji wa kipindi cha JPM kililenga kumchafua na kama unaamini yeye alikuwa anaongoza hayo mambo kwa nini mpaka leo utekaji upo na unazidi kushamili.
JK alianza kumteka Kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka na kupigwa sana.
Alimteka pia Dr Mvungi wa katiba mpya na kumuua wakati anaelekea nyimbanii kwake.
Sasa mtu akija hapa kusema JPM ni mwasisi naona hajui chochote juu ya remote inayoitesa nchi hii kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.