witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Sasa hivi ukimuona police ukiita hamzaaa kwa sauti kubwa....hiyo speed yake kama jet
Sasa hivi ukimuona police ukiita hamzaaa kwa sauti kubwa....hiyo speed yake kama jet
Chama cha magaidi!
Hilo linafanyika km huyo muhusika ni mpalestina lkn km ni muisrael nyumba haivunjwiHili linafanyika ili kutoa fundisho kwa mtu yoyote ambaye anataka kufanya ugaidi. Ukifanya ugaidi, utaisumbua na kuiletea matatizo familia yako kwa hiyo ni bora usifanye. Ni aina ya deterrent. Tena afadhali ya Bongo, kule Israel serikali wanavunja kabisa nyumba za familia ya yoyote anayefanya ugaidi ili iwe ni fundisho kwa yoyote anayetaka kufanya ugaidi.