Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,435
- 4,151
Tayari wanajua sababu iliyomsukuma kuwafanyia ugaidi polisi - jambo ambalo hawakulitarajia kabisa toka kwa Mtanzania. Maswali yanayowasumbua sasa ni: wapi na lini alipata hiyo jeuri, mafunzo na silaha (kama si mmiliki halali)?Hivi kama walitaka kujua mengi ya Kiundani njia sahihi ilikuwa ni Kutomuua Kwanza bali wampige tu Risasi za Miguuni au Mikononi wayajue au Kumuua kisha waanze Kusumbua hivi Ndugu zake? Police wetu ni very unprofessional kwakweli.
Watumie fursa hii kujua na kujiandaa kukutana na Watanzania "vichaa" wachache ambao hawatakubali kuwa "wapole" wakidhulumiwa au kunyanyaswa kama wengi tulivyo.