Ndugai amefuata utaratibu wa kujiuzulu Uspika kwa mujibu wa Katiba. Mbatia hayupo sahihi na kesi yake haina mashiko

Kumekuwa na mjadala kutoka baadhi ya watu mbalimbali mtandaoni juu ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika Mh Job Ndugai.

Ulianza mjadala kwamba kwanini ktk barua yake ameandika herufi kubwa pekee? KIMSINGI kilichosambaa mtandaoni siyo barua bali ni TAARIFA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ambayo ni sawasawa tu na TANGAZO. Katika uandishi TANGAZO/TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NI KAWAIDA SANA KUANDIKWA KWA HERUFI KUBWA PEKEE. Barua za kujiuzulu zimewasilishwa katika bunge na katika Chama cha Mapinduzi.

Jambo la Pili nimeona Ndg James Mbatia amesema anakusudia kupeleka kesi mahakamani kupinga utaratibu uliotumika ktk kujiuzulu kwa spika. Kwamba kwa maelezo ya Mbatia ni kiwa Spika alitakiwa aende bungeni kujiuzulu kupitia ktk kamati ya bunge na bunge lenyewe.

Kimsingi hoja yake siyo sahihi. Kwa maoni yangu Mh Spika amefuata utaratibu wa kikatiba na ametimiza matakwa ya kisheria katika mchakato wa kujiuzulu.

Ukisoma katiba ya JMT sura ya 11 ibara ya 149(1)(c) imeeleza wazi kuwa endapo Spika au Naibu spika anataka kujiuzulu anatakiwa kuwasilisha taarifa hiyo katika bunge. Katiba haijatoa masharti kuwa taarifa hiyo iwe ktk mkutano, kamati au kwa barua original au nakala ya barua? Katiba imetaka tu kuwa Spika atoe taarifa katika Bunge.

Mh Spika Job Ndugai katika kujiuzulu ametoa taarifa katika bunge na chama cha mapinduzi na kwamba KWA KUWA BUNGE LIMEKIRI KUPOKEA TAARIFA YA KUJIUZULU KWA SPIKA (KAMA TAARIFA YA KATIBU WA BUNGE INAVYOJIELEZA) Basi tuhitimishe kwa kusema Spika amewasilisha taarifa yake ktk bunge na amefuata taratibu za kisheria za kujiuzulu kwa spika.

Kwa lugha rahisi Spika amejiuzulu kisheria na uchaguzi wa Spika mwingine utafanyika mwezi Februari kama ilivyotangazwa na BUNGE katika taarifa yake ya vyombo vya Habari.
View attachment 2072949
Mbona kanuni za kudumu za Bunge la JMT hujaziweka?
 
Kumekuwa na mjadala kutoka baadhi ya watu mbalimbali mtandaoni juu ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika Mh Job Ndugai.

Ulianza mjadala kwamba kwanini ktk barua yake ameandika herufi kubwa pekee? KIMSINGI kilichosambaa mtandaoni siyo barua bali ni TAARIFA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ambayo ni sawasawa tu na TANGAZO. Katika uandishi TANGAZO/TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NI KAWAIDA SANA KUANDIKWA KWA HERUFI KUBWA PEKEE. Barua za kujiuzulu zimewasilishwa katika bunge na katika Chama cha Mapinduzi.

Jambo la Pili nimeona Ndg James Mbatia amesema anakusudia kupeleka kesi mahakamani kupinga utaratibu uliotumika ktk kujiuzulu kwa spika. Kwamba kwa maelezo ya Mbatia ni kiwa Spika alitakiwa aende bungeni kujiuzulu kupitia ktk kamati ya bunge na bunge lenyewe.

Kimsingi hoja yake siyo sahihi. Kwa maoni yangu Mh Spika amefuata utaratibu wa kikatiba na ametimiza matakwa ya kisheria katika mchakato wa kujiuzulu.

Ukisoma katiba ya JMT sura ya 11 ibara ya 149(1)(c) imeeleza wazi kuwa endapo Spika au Naibu spika anataka kujiuzulu anatakiwa kuwasilisha taarifa hiyo katika bunge. Katiba haijatoa masharti kuwa taarifa hiyo iwe ktk mkutano, kamati au kwa barua original au nakala ya barua? Katiba imetaka tu kuwa Spika atoe taarifa katika Bunge.

Mh Spika Job Ndugai katika kujiuzulu ametoa taarifa katika bunge na chama cha mapinduzi na kwamba KWA KUWA BUNGE LIMEKIRI KUPOKEA TAARIFA YA KUJIUZULU KWA SPIKA (KAMA TAARIFA YA KATIBU WA BUNGE INAVYOJIELEZA) Basi tuhitimishe kwa kusema Spika amewasilisha taarifa yake ktk bunge na amefuata taratibu za kisheria za kujiuzulu kwa spika.

Kwa lugha rahisi Spika amejiuzulu kisheria na uchaguzi wa Spika mwingine utafanyika mwezi Februari kama ilivyotangazwa na BUNGE katika taarifa yake ya vyombo vya Habari.
View attachment 2072949
Kwa ninavojua mimi watu wenye akaunti verified huwa wanaandika hoja zenye maana, sasa wewe wamekuverify vipi huku unaandika matope/matiganga
 
Wewe ni Mahakama unayejuwa kutafsiri Sheria. Acha Mahakama ifanye kazi yake
 
Mbona kanuni za kudumu za Bunge la JMT hujaziweka?
Kanuni za kudumu za bunge hazijaeleza hatua za spika anayejiuzulu kwa hiyari

Imeeleza tu utaratibu wa kujiuzulu kama bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani naye baada ya kushitakiwa ktk kamati ya maadili

Kwa kuwa kanuni ziko kimya mbadala ni ibara ya 89 (1)(c) ya katiba
 
Kanuni za kudumu za bunge hazijaeleza hatua za spika anayejiuzulu kwa hiyari

Imeeleza tu utaratibu wa kujiuzulu kama bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani naye baada ya kushitakiwa ktk kamati ya maadili

Kwa kuwa kanuni ziko kimya mbadala ni ibara ya 89 (1)(c) ya katiba
Pumbavu
 
Kwa ninavojua mimi watu wenye akaunti verified huwa wanaandika hoja zenye maana, sasa wewe wamekuverify vipi huku unaandika matope/matiganga
Nimetoa maoni yangu. Kwa namna ulivyojibu ni wazi kuwa wewe ndiye una uelewa mdogo kwa sababh hoja hujibiwa kwa hoja. Toa maoni yako bila kutumia lugha isiyofaa.

Spika wa bunge amezingatia utaratibu wa kujiuzulu na bunge limethibitisha hilo.

Kama unataka kuoppose unashauriwa kuja na hoja mbadala.

Ahsante
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nafasi ya U spika inahudumia Watanzania regardless tofauti zetu za kiitikadi,means hawezi akawa anawajibika katika system's za kichama ,speaker alitakiwa awasiliane na Bunge sio political party ndio maana halipwi na political party,tatizo ni KATIBA na mbaya zaidi ccm wamejimilikisha nchi yetu,yaani wanaiona ni sehemu ya Lumumba na wengineo wote ni wakimbizi,Tanzania it belongs to all of us na wote tunawajibika kwa ustawi wake.
Yaani kama kitu hukielewi siyo lazima uchangie humu jf umeshaambiwa katibu wa bunge amepata barua ya kujiuzuru kwa spika wewe ulitaka nani aseme ndiyo ujue bunge limepewa taarifa? Wakati mwingine akili sijui mnazipelekaga wapi
 
Kikubwa ni Bunge kupata taarifa ya kujiuzulu kwake.

Suala la kukitaarifu chama kilichomdhamini ni hiyari yake na wala siyo kosa na haiathiri ukweli kuwa bunge limepewa taarifa ya kujiuzulu kwa spika na bunge lenyewe limekiri
Yaan Bunge linapata nakala bado unasema ni sawa, uoni hapo kama kuna kudharau mhimili. Kwan katiba inasema barua ya kujiuzulu itapelekwa kwenye chama?? Ni sawa nikupe kitu na mkono wa kushoto bado unasema ni sawa tu chamsingi kilekitu nimekipata.
 
Yawezekana unajua kusoma na kuandika vizuri ila umekosa analytical thinking.

Kwa fikra zako, na kwa uelewa tu wa kawaida, hivi tuseme umeajiriwa na kampuni fulani, kabla ya kuajiriwa ulidhaminiwa na Baba yako, unaweza kujiuzulu kazi kwa kumwandikia barua baba yako, na anakala ukampelekea mwajiri wako?

Katiba ipo wazi, spika akitaka kujiuzulu anapeleka taarifa Bungeni, huko kwenye chama chake, hakuna mahali popote katiba imetamka. Unaacha kitu kilichotamkwa kikatiba, unaenda kufanya upuuzi halafu unasema katiba imefuatwa!
Hii ni next level kbsa hongera sana
 
Yaani kama kitu hukielewi siyo lazima uchangie humu jf umeshaambiwa katibu wa bunge amepata barua ya kujiuzuru kwa spika wewe ulitaka nani aseme ndiyo ujue bunge limepewa taarifa? Wakati mwingine akili sijui mnazipelekaga wapi
Katibu wa Bunge amekili hajaandikiwa yeye, yeye kapewa nakala mlengwa wa barua ni KM CCM, akili za watu wa ccm ni Utopolo na Ndugai kawapima akili mmeingia mkenge poleni CCM-pwani na Zanzibar kwa huo undezi
 
Kumekuwa na mjadala kutoka baadhi ya watu mbalimbali mtandaoni juu ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika Mh Job Ndugai.

Ulianza mjadala kwamba kwanini ktk barua yake ameandika herufi kubwa pekee? KIMSINGI kilichosambaa mtandaoni siyo barua bali ni TAARIFA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ambayo ni sawasawa tu na TANGAZO. Katika uandishi TANGAZO/TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NI KAWAIDA SANA KUANDIKWA KWA HERUFI KUBWA PEKEE. Barua za kujiuzulu zimewasilishwa katika bunge na katika Chama cha Mapinduzi.

Jambo la Pili nimeona Ndg James Mbatia amesema anakusudia kupeleka kesi mahakamani kupinga utaratibu uliotumika ktk kujiuzulu kwa spika. Kwamba kwa maelezo ya Mbatia ni kiwa Spika alitakiwa aende bungeni kujiuzulu kupitia ktk kamati ya bunge na bunge lenyewe.

Kimsingi hoja yake siyo sahihi. Kwa maoni yangu Mh Spika amefuata utaratibu wa kikatiba na ametimiza matakwa ya kisheria katika mchakato wa kujiuzulu.

Ukisoma katiba ya JMT sura ya 11 ibara ya 149(1)(c) imeeleza wazi kuwa endapo Spika au Naibu spika anataka kujiuzulu anatakiwa kuwasilisha taarifa hiyo katika bunge. Katiba haijatoa masharti kuwa taarifa hiyo iwe ktk mkutano, kamati au kwa barua original au nakala ya barua? Katiba imetaka tu kuwa Spika atoe taarifa katika Bunge.

Mh Spika Job Ndugai katika kujiuzulu ametoa taarifa katika bunge na chama cha mapinduzi na kwamba KWA KUWA BUNGE LIMEKIRI KUPOKEA TAARIFA YA KUJIUZULU KWA SPIKA (KAMA TAARIFA YA KATIBU WA BUNGE INAVYOJIELEZA) Basi tuhitimishe kwa kusema Spika amewasilisha taarifa yake ktk bunge na amefuata taratibu za kisheria za kujiuzulu kwa spika.

Kwa lugha rahisi Spika amejiuzulu kisheria na uchaguzi wa Spika mwingine utafanyika mwezi Februari kama ilivyotangazwa na BUNGE katika taarifa yake ya vyombo vya Habari.
View attachment 2072949
Ndugai alimtaarif/alimwandikia katibu wa chama chake, nakala ya barua akampelekea katibu wa bunge. Kwa sheria ulio inukuu, katibu wa CCM ndie alipaswa kupewa nakala.
 
Kumekuwa na mjadala kutoka baadhi ya watu mbalimbali mtandaoni juu ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika Mh Job Ndugai.

Ulianza mjadala kwamba kwanini ktk barua yake ameandika herufi kubwa pekee? KIMSINGI kilichosambaa mtandaoni siyo barua bali ni TAARIFA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ambayo ni sawasawa tu na TANGAZO. Katika uandishi TANGAZO/TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NI KAWAIDA SANA KUANDIKWA KWA HERUFI KUBWA PEKEE. Barua za kujiuzulu zimewasilishwa katika bunge na katika Chama cha Mapinduzi.

Jambo la Pili nimeona Ndg James Mbatia amesema anakusudia kupeleka kesi mahakamani kupinga utaratibu uliotumika ktk kujiuzulu kwa spika. Kwamba kwa maelezo ya Mbatia ni kiwa Spika alitakiwa aende bungeni kujiuzulu kupitia ktk kamati ya bunge na bunge lenyewe.

Kimsingi hoja yake siyo sahihi. Kwa maoni yangu Mh Spika amefuata utaratibu wa kikatiba na ametimiza matakwa ya kisheria katika mchakato wa kujiuzulu.

Ukisoma katiba ya JMT sura ya 11 ibara ya 149(1)(c) imeeleza wazi kuwa endapo Spika au Naibu spika anataka kujiuzulu anatakiwa kuwasilisha taarifa hiyo katika bunge. Katiba haijatoa masharti kuwa taarifa hiyo iwe ktk mkutano, kamati au kwa barua original au nakala ya barua? Katiba imetaka tu kuwa Spika atoe taarifa katika Bunge.

Mh Spika Job Ndugai katika kujiuzulu ametoa taarifa katika bunge na chama cha mapinduzi na kwamba KWA KUWA BUNGE LIMEKIRI KUPOKEA TAARIFA YA KUJIUZULU KWA SPIKA (KAMA TAARIFA YA KATIBU WA BUNGE INAVYOJIELEZA) Basi tuhitimishe kwa kusema Spika amewasilisha taarifa yake ktk bunge na amefuata taratibu za kisheria za kujiuzulu kwa spika.

Kwa lugha rahisi Spika amejiuzulu kisheria na uchaguzi wa Spika mwingine utafanyika mwezi Februari kama ilivyotangazwa na BUNGE katika taarifa yake ya vyombo vya Habari.
View attachment 2072949
[https://res]

Baada ya kuibuka kwa mitazamo tofauti baada ya aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai kujiuzulu, tumemtafuta aliyekuwa Spika wa Bunge kuanzia 1994 hadi 2005 Pius Msekwa kwaajili ya ufafanuzi.

Msekwa ameeleza kuwa taratibu zote zimefuatwa na hakuna kilichoharibika kwa mujibu wa katiba ya Tanzania.

''Spika amechaguliwa na bunge, kwahiyo utaratibu sahihi barua ya Spika kujiuzulu ni lazima ipelekwe kwenye bunge na isomwe ndani ya bunge'' Spika Mstaafu Pius Msekwa ametoa ufafanuzi.

Zaidi msikilize hapa
 
Yaani kama kitu hukielewi siyo lazima uchangie humu jf umeshaambiwa katibu wa bunge amepata barua ya kujiuzuru kwa spika wewe ulitaka nani aseme ndiyo ujue bunge limepewa taarifa? Wakati mwingine akili sijui mnazipelekaga wapi
Wewe ndio una matatizo ya uelewa ila sitajiangaisha sana maana wewe ni matokeo ya shule za kata,speaker kaandika resignations letter kwa SG wa ccm SIO katibu wa Bunge!na hili ni kosa la kikatiba
 
Katibu wa Bunge amekili hajaandikiwa yeye, yeye kapewa nakala mlengwa wa barua ni KM CCM, akili za watu wa ccm ni Utopolo na Ndugai kawapima akili mmeingia mkenge poleni CCM-pwani na Zanzibar kwa huo undezi
Yaani we jamaa ni pimbi kwelikweli Tena hata pimbi ana akili we ni nyumbu kwani katiba inasemaje kuhusu hiyo taarifa iende original tu au hata copy? Ukionyesha katiba kama inataka origins basi umepona kama haijaonyesha wewe ni nyumbu tu na kwa taarifa yako katiba haijasema kama lazima iwe original
 
Wewe ndio una matatizo ya uelewa ila sitajiangaisha sana maana wewe ni matokeo ya shule za kata,speaker kaandika resignations letter kwa SG wa ccm SIO katibu wa Bunge!na hili ni kosa la kikatiba
Swali la kujiuluza ni Moja tu katibu wa bunge kapata barua au hajapata swala la origina au copy katiba haijasema acha u pimbi wewe
 
Back
Top Bottom