shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,339
- Thread starter
- #21
generation ya kina adaeze kwenye miss nigeria. marafiki zake wote wamezaa na kuolewa na footballers na Basketball NBA players wa ki nigeria sasa ni kutambiana tu kwenye mitandao maisha wanayoishi.. stephanie kaolewa na uche kalu footballer. winnie kaolewa na Nba player okandi.
kipindi cha off season wanarud zao lagos na familia zao na ku run the town kwa matumizi ya anasa mbayaa.
sasa mume nba au mpira analipwa million 300 kwa wiki kwa nini wadada wasijilipue kuolewa nao au kuzaa nao.
mambo ya sijui banker, auditor, doctor sijui proffessional za kawaida wadada wa mjini hawazitaki hizo as mishahara midogo hairuhusu anasa. wao wanataka vipato vya kufa mtu mtoto awe na uhakika wa kusoma world class university. vacations in the most beautifully places on earth. driving posh cars. designers clothes etc etc ndio wanachotaka.
na hapo bado wakaka wa kibongo wakikaza wakacheza soka majuu wadada wataacha wazee na kula nao sahan moja nao wale gudtime za dunian
kipindi cha off season wanarud zao lagos na familia zao na ku run the town kwa matumizi ya anasa mbayaa.
sasa mume nba au mpira analipwa million 300 kwa wiki kwa nini wadada wasijilipue kuolewa nao au kuzaa nao.
mambo ya sijui banker, auditor, doctor sijui proffessional za kawaida wadada wa mjini hawazitaki hizo as mishahara midogo hairuhusu anasa. wao wanataka vipato vya kufa mtu mtoto awe na uhakika wa kusoma world class university. vacations in the most beautifully places on earth. driving posh cars. designers clothes etc etc ndio wanachotaka.
na hapo bado wakaka wa kibongo wakikaza wakacheza soka majuu wadada wataacha wazee na kula nao sahan moja nao wale gudtime za dunian