shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,339
Wadau niaje.
Leo tujadili kuhusu mawazo ya dada zetu wanaofaa kuwekwa ndan na vijana wenzao hapa tanzania as k lyn, nancy sumari, faraja kota na wengineo wengi wasio na majina makubwa as lara 1.
Mifano hai ipo mingi but ndoto za wanawake wa kisasa ipo hivi
Kwanza 18 years iwe imemkuta anamaliza secondary nzuri. Kizungu kimesimama, at hiyo age 18 imkute anagombea u miss, kwa kutumia adaeze as case study at 18 she wins miss Nigeria na kupata chance ya kushiriki miss world ( hii ni same as nancy sumari, faraja kota, k lyn na wengineo wengi).
At 20 u miss umeshaexpire akakutana na Joseph yobo ( everton superstar 10 years in premier league mishahara sijui million mia ngapi kwa wiki kwenye party huko lagos, alipotongozwa kidogo tu hakulaza damu na mimba akaibeba fasta within 3 months akaolewa na football superstar wa kinageria aliye hustle miaka kibao.
Nina imani angekuwa kapuku asingemkubali na mimba asingeibeba hata iweje ( same as dada zetu wengi tz wakikutana na ready made fasta ni kubeba mimba tu) hawataki ku hustle na wanaume kabisa kuanzia chini).
Baada ya kuolewa tu ajajifungua zake mtoto na kuanza maisha ya mashauzi kwenye facebook, twitter, instagram kulingishia wenzake, vacation za kila siku mara miami, mara kapeleka mtoto disneyland, mara wapi yaani ni kutumia tu hela ambazo mwanaume kazisaka wakati yeye hayupo( hii ni same as mange na wengineo wengi Tanzania).
Kwa maisha haya ndio maana wadada wa kibongo wanachagua chagua sana as wanataka mume wa kumpeleka vacation za kutosha, watoto wawe na better future na mengineyo.
Na hii inasababisha bongo wadada watembee na waume za watu as age mate zao bongo hawana hela au kuolewa na wazee as Mengi, Nyalandu, luca etc.
Nigeria na other african countries atleast wadada wana bahati as vijana wenzao wana hela as wanacheza soccer majuu NBA, Music etc.
Wadada wa dot com wanapenda sana kutambiana kwenye mitandao, kitchen parties, kwenye events etc. so maisha ya kutambiana wame zao walivyo, vipato, watoto wanasoma wapi, vacations, nguo na mikoba ya designers. Yapo kwenye damu yao kila mdada wa dot com Africa na ndio maana kila siku wanahangaika kusaka wanaume wa kueleweka au mambo safi huku wakilalamika waoaji hakuna.
Adaeze yeye ni vacations na vacations na yeye na mtoto wake, mumewe yupo busy na UEFA, yeye anawaza fashion and vacations, off season kazi ni kumbeba mumewe na mtoto vacations series inaanza upya.
Faraja Kota, Nancy na Klyn nae mapacha wakikukua kua utaona vacations zitavyochanganya na trip za disneyland, dada zetu wengi akili zao zimevurugwa nowdays na vacations kwenye ndoa zao na hapo vidume hali ngumu.
Kwa West Africa mdada yoyote class hagusiki kama hauchez football Ulaya.
Kwa mwendo huu ni bora umege na kusepa kama unataka kuoa mrembo kaza msuli sana kwa unachofanya.
Leo tujadili kuhusu mawazo ya dada zetu wanaofaa kuwekwa ndan na vijana wenzao hapa tanzania as k lyn, nancy sumari, faraja kota na wengineo wengi wasio na majina makubwa as lara 1.
Mifano hai ipo mingi but ndoto za wanawake wa kisasa ipo hivi
Kwanza 18 years iwe imemkuta anamaliza secondary nzuri. Kizungu kimesimama, at hiyo age 18 imkute anagombea u miss, kwa kutumia adaeze as case study at 18 she wins miss Nigeria na kupata chance ya kushiriki miss world ( hii ni same as nancy sumari, faraja kota, k lyn na wengineo wengi).
At 20 u miss umeshaexpire akakutana na Joseph yobo ( everton superstar 10 years in premier league mishahara sijui million mia ngapi kwa wiki kwenye party huko lagos, alipotongozwa kidogo tu hakulaza damu na mimba akaibeba fasta within 3 months akaolewa na football superstar wa kinageria aliye hustle miaka kibao.
Nina imani angekuwa kapuku asingemkubali na mimba asingeibeba hata iweje ( same as dada zetu wengi tz wakikutana na ready made fasta ni kubeba mimba tu) hawataki ku hustle na wanaume kabisa kuanzia chini).
Baada ya kuolewa tu ajajifungua zake mtoto na kuanza maisha ya mashauzi kwenye facebook, twitter, instagram kulingishia wenzake, vacation za kila siku mara miami, mara kapeleka mtoto disneyland, mara wapi yaani ni kutumia tu hela ambazo mwanaume kazisaka wakati yeye hayupo( hii ni same as mange na wengineo wengi Tanzania).
Kwa maisha haya ndio maana wadada wa kibongo wanachagua chagua sana as wanataka mume wa kumpeleka vacation za kutosha, watoto wawe na better future na mengineyo.
Na hii inasababisha bongo wadada watembee na waume za watu as age mate zao bongo hawana hela au kuolewa na wazee as Mengi, Nyalandu, luca etc.
Nigeria na other african countries atleast wadada wana bahati as vijana wenzao wana hela as wanacheza soccer majuu NBA, Music etc.
Wadada wa dot com wanapenda sana kutambiana kwenye mitandao, kitchen parties, kwenye events etc. so maisha ya kutambiana wame zao walivyo, vipato, watoto wanasoma wapi, vacations, nguo na mikoba ya designers. Yapo kwenye damu yao kila mdada wa dot com Africa na ndio maana kila siku wanahangaika kusaka wanaume wa kueleweka au mambo safi huku wakilalamika waoaji hakuna.
Adaeze yeye ni vacations na vacations na yeye na mtoto wake, mumewe yupo busy na UEFA, yeye anawaza fashion and vacations, off season kazi ni kumbeba mumewe na mtoto vacations series inaanza upya.
Faraja Kota, Nancy na Klyn nae mapacha wakikukua kua utaona vacations zitavyochanganya na trip za disneyland, dada zetu wengi akili zao zimevurugwa nowdays na vacations kwenye ndoa zao na hapo vidume hali ngumu.
Kwa West Africa mdada yoyote class hagusiki kama hauchez football Ulaya.
Kwa mwendo huu ni bora umege na kusepa kama unataka kuoa mrembo kaza msuli sana kwa unachofanya.
Attachments
-
yobo family.jpg55 KB · Views: 1,186 -
1129310_yobo20wife_png7a53ca7211a4e8dc2bf8b45d80816e38.png36.6 KB · Views: 1,206 -
Adaeze-Joseph-Yobo-January-2014-BellaNaija-08-597x600.jpg62.9 KB · Views: 1,216 -
380402_ada3_jpga2949ff1ce82254bf39650fc5c212d43.jpg79.9 KB · Views: 1,124 -
926556_yobo_1_yeoal_jpge96df0c894b0b0cf3f381c13a1e05e94.jpg51.4 KB · Views: 1,107 -
1213729_image_jpg0d5b1c4c7f720f698946c7f6ab08f687.jpg13.2 KB · Views: 1,071 -
1301866_yobo_jpgaf3d72d302bfe101f9ad9924bdcccdb5.jpg31.8 KB · Views: 1,079 -
926558_yobo_4_yeoal_jpg140ed89378d32118ea450f85781af833.jpg50.4 KB · Views: 1,106 -
yobo.jpg79.8 KB · Views: 1,019