Ndoto yangu ni kuja kusomea Uinjinia wa ndege

Dec 20, 2023
23
26
Habari wadau wa JF,

Natumai mu wazima. Mimi ndoto yangu ni kuja kusomea uengineer wa ndege ila sina idea sana kuhusu hiyo kozi kwa hapa Tanzania.

Nimejaribu kutafuta ma experts wa io kozi sijapata na pia mitandaoni wanaongelea juu juu. Jivyo nilikua naomba kama kuna mtu anaejua zaidi kuhusu io kozi na gharama zake na je ? ni degree and diploma kwa hapa bongo,muda wa kusomea na upande wa ajira zake umekaaje?

Naombeni msaada wana JF kwa anejua naomba asiupite huu UZI tafadhali.

Utakuwa umenisaidia sana.
 
Habari wadau wa JF,natumai mu wazima
mimi ndoto yangu ni kuja kusomea uengineer wa ndege
ila sina idea sana kuhusu io kozi kwa hapa Tanzania ,nimejaribu kutafuta ma experts wa io kozi sijapata na pia mitandaoni wanaongelea juu juu,
hivyo nilikua naomba kama kuna mtu anaejua zaidi kuhusu io kozi na gharama zake na je ? ni degree and diploma kwa hapa bongo,muda wa kusomea na upande wa ajira zake umekaaje?
naombeni msaada wana JF kwa anejua naomba asiupite huu UZI tafadhali,utakua umenisaidia sana.
Wanakuja.
 
Nationa Institute Of Transport ( NIT) wanatoa... kuhusu gharama na Muda wa Masomo nikushauri ingia kwa Website yao
 
Bachelor degree in Aircraft Maintenance Engineering inatolewa na National Institute of Transport kwa Tanzania Bara na Zanzibar kuna Karume Institute of Technology

Kuhusu ada ni mkasi kweli hadi 6m kwa mwaka

Kila la'kheri kwenye kutimiza ndoto yako
 
Bachelor degree in Aircraft Maintenance Engineering inatolewa na National Institute of Transport kwa Tanzania Bara na Zanzibar kuna Karume Institute of Technology

Kuhusu ada ni mkasi kweli hadi 6m kwa mwaka

Kila la'kheri kwenye kutimiza ndoto yako
Na kwa wastani Huwa ukiajiriwa unalipwa si chini ya shingapi?
 
Na kwa wastani Huwa ukiajiriwa unalipwa si chini ya shingapi?
Mkuu acha utoto soma kwanza serikalini kote watu hawazingatii mishahara ni mwendo wa posho so hata kama mshahara ukiwa millions 2 jua posho yaweza kuwa mara tano yake kutegemea na safari,bonus,stahiki ,n.k
 
Kama unajiweza kiuchumi soma nit ada 6m kama pangu pakavu soma electrical, electronics, telecommunications, computer then masters nje ukipata scholarship ndo usome aircraft maintenance au aerospace
 
Sio mbaya wewe soma tu,maana hata kozi zingine ajira kizungumkuti.
Sio mbaya aircraft maintanance ukaja kuiapply kwenye genge la nyanya
 
Mkuu acha utoto soma kwanza serikalini kote watu hawazingatii mishahara ni mwendo wa posho so hata kama mshahara ukiwa millions 2 jua posho yaweza kuwa mara tano yake kutegemea na safari,bonus,stahiki ,n.k
Sawa nmeuliza maan nlipata hofu Kuna jamaa alinambia wanalipwa lakin 4 had 6
 
Back
Top Bottom